JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaka Ahsante saaana unajua huku niliko nilivyocheka kwa furahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uzuri wake wewe ni miongoni mwa wajuao uhalisia wangu, sitakuangushaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji8]
 
Bwana kaka angu Miller alisha kuwa na mke na kijij kizima kina mjua.
Sasa mumu ndio kagundua
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nani huyo???
 
Kaka ulevi wangu naujua, nikipenda hupitiliza, ni mbaya nikikosea maana ntateseka.
Huwa anakiri yeye hawezi kupenda tena zaidi atanikwangua hadi damu akijua kuwa mi mpita njia.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni maneno yake so sijitafutii shari mie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We kajiweke maisha

Mtaenda poa
 
Back
Top Bottom