Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Daah mkuu, hilo huwa silifahamu, nashukuru, ntaanza kujitathmini boss.Mzima ndugu yangu mambo yako huwa yana hekima sana nakukubaki mzee.
Endelea kuchapa kazi![]()
Pande za huko wazima?
Daah mkuu, hilo huwa silifahamu, nashukuru, ntaanza kujitathmini boss.Mzima ndugu yangu mambo yako huwa yana hekima sana nakukubaki mzee.
Endelea kuchapa kazi![]()
Acha tuuKwanini?????!!!!!!!!!![]()
yaani nalia mpaka nahisi kupoteza fahamuNaona usingizi umekua mzito Agash.Mlale saaa
Unaniachaje?Mlale saaa
Ila braza pale ulitaka kuniuzia msala
Ujue![]()


u did well tho, hahaha ningekuuzia kweli braza 


Ahahahaaaaaamaji yakiisha nitakuja mwaalimuila baba kasema maji yataisha hadi mwezi ujaoo
![]()
![]()
![]()
![]()
sikitiko la mahaba lashinda msiba
Waii bora niwe PadiriiHahaha
Braza utapata shida we muwahi miss natafuta
Ha ha ha ha ha. Umemaliza kuuguza wewe??Unaniachaje?
Leo ntakosea sana mbona,..mm mwenyewe hata sielewi nlichoandikatuganye ndio nn?

Sijui..niulizie baba chanjaNaona usingizi umekua mzito Agash.![]()
![]()
Nimekuona nikamkumbuka last man standing Chepe ni chepe yu wapi siku izi?
Ntafurah sana jirani yangu![]()
![]()
Jirani ngoja nikutafutie kile kitabu cha kumfanya mwanafunzi mtoro ahudhurie darasa bila kukosa![]()
hahahaJust here and there,mvua nyingi nakuta sms zimehama inbox zinaelea tu kwa water,sometimes missed call re swimming, jf is walking under the rain. Mitihani tupu



Haya mpenzi ntakusibiri kesho. Unipe na hiyo habari.Yaan baby wangu yaliyonikuta ntakuhadithia kesho wee kuwa mpole tuu, meskia uchungu kukuacha mwenyewe![]()
Ni kazi ndogo, mwalimu aanze kugawa ubuyu kila siku, watoro watahudhuria![]()
![]()
Jirani ngoja nikutafutie kile kitabu cha kumfanya mwanafunzi mtoro ahudhurie darasa bila kukosa![]()

![]()
![]()
![]()
![]()
Ila its kinda your better off! Alikuwa anadhani kitatokea nn?
Kama utahiari kubali hiyo hiyo second position lakin



Ooh,ungekuja mapema pengine ungeokoa jahazi,..lakini lishazama sasa,Just here and there,mvua nyingi nakuta sms zimehama inbox zinaelea tu kwa water,sometimes missed call re swimming, jf is walking under the rain. Mitihani tupu
halipo tena wiiiii