Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
mzima kabisa kabisa, vipi na ww mzima?Poa rafiki, mzima?
mzima kabisa kabisa, vipi na ww mzima?Poa rafiki, mzima?
better brazaHaki ya Mungu nimeona vile you guys are pained!
Kule skuwa siriaz ki hiivo msjali

Mwanafunzi mvivu utamjua tuu, basi sawa wewe endelea kufurahia mvuaMaji kwetu yamejaa mwaalim, hatutoki nje![]()
Mungu mwema, uzima upo, mvua zina ku nya vizuri, hali ya hewa saafi kabisamzima kabisa kabisa, vipi na ww mzima?
Tuganye mwaka huu tukamuone igwee buana...Namiss ile asili yetu...Abuja one

Oya man vipi naona tunapishanaga sana humu.Poa rafiki, mzima?
maji yakiisha nitakuja mwaalimuMwanafunzi mvivu utamjua tuu, basi sawa wewe endelea kufurahia mvua

ila baba kasema maji yataisha hadi mwezi ujaoo 


WifiiiiTuganye mwaka huu tukamuone igwee buana...![]()
hahaha safi kabisa ni jambo jema piaMungu mwema, uzima upo, mvua zina ku nya vizuri, hali ya hewa saafi kabisa
Kakaaaamzima kabisa kabisa, vipi na ww mzima?
Kwa mpenzi wangush em kwa nani tenaa
Hakika twapishana sana boss wangu.Oya man vipi naona tunapishanaga sana humu.
Hebu tusalimiane
Amenhahaha safi kabisa ni jambo jema pia