Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
AiseeeKhaaa! Leo mmekaza wakuu
Mlilala mapeema
AiseeeKhaaa! Leo mmekaza wakuu
Mlilala mapeema
Wengine tumehamishwa kitengoUsalama uko poa na popoz wote wamesepa
Asante mkuu ,, daaah ila wadada wana mitego sana akikuamulia hutoki kwa kweli nimetumia mbinu zote ikashindikana
Hivi umeniachi?Umenifatia nini huku? Si nimekuachia Samaritan wako lakini? Au unataka na sisi tutengeneze network?![]()
![]()
![]()
baada ya kuona nimeachwa ndio unajitia kuniachiabila shaka ndo mmWe ndio wakili carbamazepine amekuleta kwenye kesi dhidi yangu?
please weit....... loading ......Checking in
bila shaka ndo mm
bado mteja wangu ajanipa picha halisi ya kesi ilivo ila natumaini atanielezea mwanzo mwishoUnaweza kuieleza mahakama nimeshtakiwabkwa makosa gani? Wakati huohuo jiandae kutueleza jinsi unavyokidhi vigezo vya kuwa wakili kiwango cha kusimamia hii kesi.
bado mteja wangu ajanipa picha halisi ya kesi ilivo ila natumaini atanielezea mwanzo mwisho
Tumewasili kama wakili mtiifu tunamashaka huu utenguzi je umepewa vitisho au umetoa vitisho?carbamazepine , Kichwa Kichafu. , Iceman 3D naomba mje mfute hii kesi haraka, sitadai fidia yeyote. Naomba Maserati aarifiwe kwamba kingzard hana kiwango cha kuiendesha hii kesi. Khantwe apewe ujumbe kwamba sina kesi ila am not available, maamuzi ya mahakama hayana manufaa yoyote kwake. Mfungua mashitaka Thad athibitishe na kukubali kuifuta hii kesi.