JamiiForums Usiku wa manane
Kuna mdada alikuwa ananitega sana tangu nihamie mtaani kwao sasa leo tumekutana kwenye sherehe , sinika tupia ndoano akawa hana la kujibu katikati za nyimbo za mark anthony na west life tukawa tumehug tightly baadae tuka toka nje nikamsindikiza kujisaidia daaah si tuka sex without protector
Hahahaaaaaaaaaa duuh ....majuto badae
 
Kuna mdada alikuwa ananitega sana tangu nihamie mtaani kwao sasa leo tumekutana kwenye sherehe , sinika tupia ndoano akawa hana la kujibu katikati za nyimbo za mark anthony na west life tukawa tumehug tightly baadae tuka toka nje nikamsindikiza kujisaidia daaah si tuka sex without protector
Kosa lishafanyika sasa ata ukijilaumu ni bure

Just stay positively amini hakuna baya lolote wala ugonjwa utakao pata
Then sikunyingine usipelekeshwe na hisia
 
Yani tunakuwa na maamuzi ya kipuuzi sana mda mwingine , yani nilikua na protector kabisi nilivyoona wajerumani wapo mbali nikavua gwanda sasa hivi najilaumu sana kwa mistake ile.
Braza hii nayo ni kosa la u single!?
Una be too much bro!
 
Back
Top Bottom