Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,020
Huku pia hakuna fire..... nikireport kutoka tabataGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Huku pia hakuna fire..... nikireport kutoka tabataGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Uku pia hakuna.koreaGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Nipo kiongoziNani yupo lindoni muda huu?
Vipi usalama ukoje humu?Nipo kiongozi
Hali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?Vipi usalama ukoje humu?
Kwema kabisa, ebu tia kufuli tena.Hali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?
usalama mzuri na wakati nimeibiwa kapelo yangu!![emoji20][emoji20] ilikua hapo karibu na getiHali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?
Chukua hii basi Mr [emoji18]usalama mzuri na wakati nimeibiwa kapelo yangu!![emoji20][emoji20] ilikua hapo karibu na geti
Haaaah![emoji3]Chukua hii basi Mr [emoji18] View attachment 710848
Hizi wanavaa mabitoziChukua hii basi Mr [emoji18] View attachment 710848
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Hizi wanavaa mabitozi
ndio mumu [emoji1][emoji1] nikivaa hizo sitakuwa na amani kwakweli[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Wewe unapenda IPI nikutafutie??ndio mumu [emoji1][emoji1] nikivaa hizo sitakuwa na amani kwakweli