Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Huku pia hakuna fire..... nikireport kutoka tabataGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Huku pia hakuna fire..... nikireport kutoka tabataGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Uku pia hakuna.koreaGiza nene,kumbe umeme umekatika,vipi huko kwenu..!
Nipo kiongoziNani yupo lindoni muda huu?
Vipi usalama ukoje humu?Nipo kiongozi
Hali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?Vipi usalama ukoje humu?
Kwema kabisa, ebu tia kufuli tena.Hali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?
usalama mzuri na wakati nimeibiwa kapelo yangu!!Hali ya usalama ni nzuri Kabisa. Kwema?

ilikua hapo karibu na getiChukua hii basi Mrusalama mzuri na wakati nimeibiwa kapelo yangu!!ilikua hapo karibu na geti
Hizi wanavaa mabitoziChukua hii basi MrView attachment 710848
Wewe unapenda IPI nikutafutie??ndio mumunikivaa hizo sitakuwa na amani kwakweli