JamiiForums Usiku wa manane
Wee endelea tu kunivuruga, utakipata unachokitafuta. Mahondaw kaharibu sana kusema wagombanao ndio wapatanao.

Hayo maji umetia iliki na mdalasini? Kuna kigoda na kisosi?
Kigoda na kisosi unataka kuogeshwa na dada au?
Nimeweka mdalasini iliki pilipili manga. Ukitoka hapo unanunia kama chai ya waarabu my love
 
Back
Top Bottom