Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Suka kama hizi zangu, utapendeza...Nawaza kesho nisuke unywele gani
Maana hapa namsubir mtu chake anikute mtt mashaaalah asije akanikimbia na msura wang mbaya
MarhabaaShikamooo
Ngoja nikajimwagie maji jaman narudndio nakuchokoza cha mdeko wangu![]()
![]()
![]()
![]()
Suka kama hizi zangu, utapendeza...
Kumbe kesho una miadi na mtu chake, halafu jumamosi una miadi na Mwifwa,Ushimen je, yeye mtaonana lini?



hunipend kabisa ngoja nikatafute unywele ambao unaficha mpaka masikio na mashavu nionekane kasura tu asije kusema nina kisogooourudi na hodi sawaNgoja nikajimwagie maji jaman narud
Ndo namtaka huyo mwingne mm kipikipik posta niko vizurNdio, ila hiyo nimemwandika mwingine, sio niliyekuwa nimemwandikia mwanzo
Ukojoe kbsNgoja nikajimwagie maji jaman narud
hizo ni twende kilioni zinaitwa enheeSuka kama hizi zangu, utapendeza...
Kumbe kesho una miadi na mtu chake, halafu jumamosi una miadi na Mwifwa,Ushimen je, yeye mtaonana lini?

Mie Nina ahadi nani ?,mbn diary yangu haioneshi hivyo?Suka kama hizi zangu, utapendeza...
Kumbe kesho una miadi na mtu chake, halafu jumamosi una miadi na Mwifwa,Ushimen je, yeye mtaonana lini?
Niliona pic yako juzi huku mtandaoni, nikqsema haki kweli wewe ni HB wa kigogoSalam kwenu wadau/popoz
Salama, uko poa?Salam kwenu wadau/popoz
UshachelewaNdo namtaka huyo mwingne mm kipikipik posta niko vizur
hunipend kabisa ngoja nikatafute unywele ambao unaficha mpaka masikio na mashavu nionekane kasura tu asije kusema nina kisogooo

Iko wapi hiyo, nami nimuone huyo hb?Niliona pic yako juzi huku mtandaoni, nikqsema haki kweli wewe ni HB wa kigogo
Dah watu wanaandikiwa barua ,maramamae wengine vya mbavu,aargh hii JF/dunia haikp Fair
yako utaipata keshoPicha gani tenaNiliona pic yako juzi huku mtandaoni, nikqsema haki kweli wewe ni HB wa kigogo