Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Endelea kusubiria subiria kidogo mpaka saa 9.00wewe ndio unanifanya niendelee kuwepo hapa..
nakusubiria.
Endelea kusubiria subiria kidogo mpaka saa 9.00wewe ndio unanifanya niendelee kuwepo hapa..
nakusubiria.
Thad ni inbox mwaya wangu!Hapana kwa kweli![]()
![]()
![]()
Wajanja wameniharibia, nikidekoreti inatoa maandishi ya vibwengo, nahisi nikiendelea dear wangu ataumia!
mgema akisifiwa....tembo hulitia majihahahaha mbona jana hukufika muda huo?Endelea kusubiria subiria kidogo mpaka saa 9.00
Hayupo kaniambia nije kumsaidia kutoa uzuruNleterewa Nganengo popote ulipo njoo,kuna kesi yako hapa.
No Escape plz ninaombi kwako

Mmmh! Namuogopa MaseratiThad ni inbox mwaya wangu!
Maserati wangu jamaniiii! Sitaki hata awaze tu kuharibiwa na hivyo vikatuni!![]()
![]()
![]()
mgema akisifiwa....tembo hulitia maji
Nmeona nikishindana nao ntakuwa paka.. Nmewaacha wajidaiVp,![]()
![]()
Panya wako washatulia huko?
Mmmh! Namuogopa Maserati

Avatar yako inasadifu usingizi ulionao sasa
Yaani kila ukiwazungumzia hao panya wako mi hoi kwa chekoNmeona nikishindana nao ntakuwa paka.. Nmewaacha wajidai

Hahahah.. Adi nkawafungulia uzi spesho ujue ni hatari..Yaani kila ukiwazungumzia hao panya wako mi hoi kwa cheko![]()
![]()
![]()
Barua yangu niliyomtuma mshiki wako ilikufikia?Hayupo kaniambia nije kumsaidia kutoa uzuru![]()
![]()
![]()
Nilikuwa naogopa,wanaume hamkuwepohahahaha mbona jana hukufika muda huo?
Wanacheka au wanakucheka?Wana tabia ikifika usiku unaskia wanacheka