Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,364
Ndio maana ukichukua paka wa Dar itakuwa kama TOM & JERRYHahahah.. Paka wa mikoani watawaweza hawa panya wa Dar walvo na mbinu mkuu

Ndio maana ukichukua paka wa Dar itakuwa kama TOM & JERRYHahahah.. Paka wa mikoani watawaweza hawa panya wa Dar walvo na mbinu mkuu

Anasema alvyokwambia imetoka kwangu ulimfukuza kwamba asikuingilie....
Huo ndio msingi wa kesi, .... why?

Naona mtu nashiki wake mnataka kunizunguka....sasa nasema hivi, mnirudishie barua yangu, nimpe mtu mwingine![]()
![]()
![]()
Umesemaah, hebu ngoja niongee nae kiundugu anieleze vizuri. Labda aliogopa kukwambia imechanwa![]()
Hebu nidokeze basi kidogo yaliyokuamo, usikute unataka kunichonganisha na mshiki wangu![]()
Tuko hapa totoz wataka upetiwee nn babu kijanaLeo naona hkn totoz ktk lindo
Nipate kamoja tu kakulaliaTuko hapa totoz wataka upetiwee nn babu kijana
Nilivyolala jana naona mkaamua kuniteta nimewaona nimewaona mlivyokuwa mnakula ubuyuToba....![]()
![]()
Hapa leo sio pakukaa wallah
Hakuna cha kesho leo leo kabla sijasahauKesi yangu isikilizwe kesho, leo naogopa hicho kiatu chako
Hatar yan nasikia mlio wa kokokokoSkonkinko pweza
Nilikua nashawishiwa nipande treni kutoka Ushirombo nikuje kukutafuta Dar...Nilivyolala jana naona mkaamua kuniteta nimewaona nimewaona mlivyokuwa mnakula ubuyu

Hujazeeka maini babuNipate kamoja tu kakulalia
Wewee usije kujaribu binti ,we tania tu humu humuHujazeeka maini babu
Hebu punguza kwanza jazba bibie, haya mambo yanazungumzika ujue, kama ulikua siriazi hebu nitumie kopi yake ili niwe na uhakika.Naona mtu nashiki wake mnataka kunizunguka....sasa nasema hivi, mnirudishie barua yangu, nimpe mtu mwingine

Mm ni kuzimisha .com jiandae babuWewee usije kujaribu binti ,we tania tu humu humu
Niko strong mbaya,ila we mzugajiMm ni kuzimisha .com jiandae babu
Au bado upo strong
Atakuja hapa kukujibu asubuhi wewe mtag tu kesii mm sipooo
Na ndipo ajue kwamba kazuri kula na nduguyo....Atakuja hapa kukujibu asubuhi wewe mtag tu kesii mm sipooo

Niko strong mbaya,ila we mzugaji





