JamiiForums Usiku wa manane
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Mkuu me nimekaa tu, napanda kitandani hakulaliki, nimejaribu kulala kwa kiti napo naona km pana moto, nimetandika nguo chini napo tabu, imenibidi nifungue mlango nikae nnje, yaani sijapata usingizi hata kidogo mpaka muda huu,

Nafikiri kutoa nguo walau nifue nimalizie masaa yalobaki
 
Back
Top Bottom