JamiiForums Usiku wa manane
Oooooh kumbe ebu weka picha yake basi
Yaani muundo wake siuelewi hata kidogo asee nimeupdate application yao daah imeniuma
9c038910e4cfa5d3d3dc9ddcea9fea39.jpg
 
Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi
pole...huyo mkeo hakupendi maana nyie c mwili mmoja kwann msikeshe wote wakat wa shida
 
Ifungue baada ya kuifungua kuna dash tatu kwa juu click hapo zitatokea option nyingi, zikishatokea option nyingi nenda mpk appcontrol fungua hapo italeta option kama una memory card itakwambia chagua memory card haya chagua hiyo njia baada ya hapo itakuleta mpk huku ,hapo utakutana na application zote ulizoinstall kutoka playstore ,haya utabonyeza jamii forum ,vitatokea vipengele ukibonyeza jamii forum haya ww click export apk file then itacreat apk rudi kaicheki utaikuta kwenye internal storage kwenye folder la /download/fungua hapo utaikuta namna hii ,mpk hapo utaweza nitumia telegram au mega au 4shared au google drive..
Screenshot_20180216-001128.jpg
Screenshot_20180216-001140.jpg
Screenshot_20180216-001207.jpg
Screenshot_20180216-001214.jpg
Screenshot_20180216-001843.jpg


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom