Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
hahahahaha mbona patamu leoYaan umeona yeye ndo mwenye majibu ama?
Nauliza tu
hahahahaha mbona patamu leoYaan umeona yeye ndo mwenye majibu ama?
Nauliza tu
We naweee umekuwa mzungu na bajet?jamani ungenambia mapema nishamaliza chote
Wewe kweli bure kabisa
Nisamehe tu kwa sentensi yangu
Nilidhani unaniletea mrejesho kumbe ndo kwanza hujatangaza hata nia?
Kweli kwenye miti .......
kuna nini hapa?

Ile likizo naona imekaribia kufika mwisho.Ukishatangaza nia uniambie ili nikuandalie kabisa mchango wa harusi![]()
![]()
![]()
Najua but at least ungeshaanza![]()
![]()
![]()
hiyo mambo sio vita
Hahaaaaa....Uwiii
Nitalia kichaga tu utamuacha
hahaha yaani kama yeye alivyoshinda kutwa hajala ndicho kilichonikuta na mimi pia leo...We naweee umekuwa mzungu na bajet?
Sisi lazima tubakize kiporo bhana
Tunafanyaje sasa mida hii. Komaa kisabuni tuKwema, ila nina njaa![]()
![]()
![]()
Tulia upewe dawa![]()
![]()
kuna nini hapa?
![]()
![]()
![]()
Umeanza lini hii tabia ya uchochezi?Najua but at least ungeshaanza
Au ndo zile ukipewa namba unasubiri week kwanza
Teh teh
We muongo ukiwa una njaa sana huwez kula sanahahaha yaani kama yeye alivyoshinda kutwa hajala ndicho kilichonikuta na mimi pia leo...
tofauti nikuwa usiku nimekula ila kwa ile njaa kiporo kisingeweza kubaki kwa kweli
Likizo ipi tena?Ile likizo naona imekaribia kufika mwisho.
Baharia lazima usome upepo kwanza maana cha mbavu kinauma kweliNajua but at least ungeshaanza
Au ndo zile ukipewa namba unasubiri week kwanza
Teh teh
Naongea na HB ananielewa tuacheUmeanza lini hii tabia ya uchochezi?
Nisaidie ndugu yangu, huyo mchaga atanin'goa machohahahahaha mbona patamu leo
Nimekuelewa mkuu acha nivute subiraBaharia lazima usome upepo kwanza maana cha mbavu kinauma kweli