JamiiForums Usiku wa manane
We naweee umekuwa mzungu na bajet?
Sisi lazima tubakize kiporo bhana
hahaha yaani kama yeye alivyoshinda kutwa hajala ndicho kilichonikuta na mimi pia leo...
tofauti nikuwa usiku nimekula ila kwa ile njaa kiporo kisingeweza kubaki kwa kweli
 
Back
Top Bottom