HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Kiongozi mbona mapema Leo?[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kiongozi mbona mapema Leo?[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Duh!jamani ungenambia mapema nishamaliza chote
Mambo mazuri yanahitaji subiraNimekuelewa mkuu acha nivute subira
Hahaahahahha
BoraHahaaaaa....
Basi ngoja nikae nae mbali usije ukanililia kishumundu!
Huyu ananinyima tu, kiporo kipoWe naweee umekuwa mzungu na bajet?
Sisi lazima tubakize kiporo bhana
mweh!Duh!
Niombee hata kwa majirani vinginevyo nitashindwa kuliona jua la baadae
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Naongea na HB ananielewa tuache
NimeonaMambo mazuri yanahitaji subira
mie nikunyime wewe kweli?Huyu ananinyima tu, kiporo kipo
Aisee naona mwenzangu una wa kukupikia....[emoji39] [emoji39] [emoji39]hahaha yaani kama yeye alivyoshinda kutwa hajala ndicho kilichonikuta na mimi pia leo...
tofauti nikuwa usiku nimekula ila kwa ile njaa kiporo kisingeweza kubaki kwa kweli
mchaga huyu nae mbabe dohNisaidie ndugu yangu, huyo mchaga atanin'goa macho
Asante kwa dodoso. Nipe muda kidogo kwenye hilo swalaNimeona
Kwa style yako hii nimeamin
Ila ngoja nichukulie testimony kwako kama subira huleta mafanikio chanya
Njaa niliyonayo siwezi kumaliza nayo hata nusu saa mbele....fanya fanya maarifa uniokoeTunafanyaje sasa mida hii. Komaa kisabuni tu
hahaha atoke wapi??Aisee naona mwenzangu una wa kukupikia....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Haki hata mm nimeonaHuyu ananinyima tu, kiporo kipo
inategemea na mtu na chakula..We muongo ukiwa una njaa sana huwez kula sana
My research proved
Miss you my ex teacher![emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Uchovu mwingi kama njuguKiongozi mbona mapema Leo?
Aisee naona hii ni pilipili ya shamba wacha nikae nayo mbali isije niwasha bureBaharia lazima usome upepo kwanza maana cha mbavu kinauma kweli
Naongea na HB ananielewa tuache