Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Mbona unatembea kama unarudi nyuma
Mbona unatembea kama unarudi nyuma
Sasa hv nafanyaIvi kwa nini muongo hivyo?
jana kuna mtu ulikua unamchombeza sasa niliona mmechana njia pandaSwali lako
Mi nilikuhamu sana ila sasa nimekuona moyo wangu baridi kabisaMi mzima hofu yangu kwako
Naelekea kukata konaMbona unatembea kama unarudi nyuma
Nakuona tu ulivyokuwa unatumia ugeni sijui ugeni upiMacho kodoooo![]()
Kipenz mzima weye
Me mgeni buana,nikaribishe basiNakuona tu ulivyokuwa unatumia ugeni sijui ugeni upi


Ubaridi huo hebu agiza kama kawaida nakuja kulipa.Mi nilikuhamu sana ila sasa nimekuona moyo wangu baridi kabisa
Naumwa leo kipenz changuKipenz mzima weye
Hiyo kona ina balaaNaelekea kukata kona
Wewe Karibu hadi kuleeeeMe mgeni buana,nikaribishe basi![]()
Nini tena??Naumwa leo kipenz changu
Tuanzishe uzi jf doctor kipenz utapata majibuJaman watu wa Mungu hiv ugonjwa wa mapafu kujaa maji unasababishwa na nini
jana kuna mtu ulikua unamchombeza sasa niliona mmechana njia panda
Tatizo ni kuzimikia mtuJaman watu wa Mungu hiv ugonjwa wa mapafu kujaa maji unasababishwa na nini
Sawa kipenz tutafanya hivyoTuanzishe uzi jf doctor kipenz utapata majibu