Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Shikamooo
Shikamooo
Yupo makao makuu au yan huku wanabebwa na gari full tinted kama hun macho huwez kuwajuaaDaaaah mamaaaaeee kwa hiyo na wangu kuna mtu ana mpeti peti huko saaa hizi...
Tunalinda wasichan wenyewUchoyo wenu hata haunipi shida![]()
![]()
![]()
mimi nimekuaj lindo hapa
Hahahaaa napata picha unavyokodolea kioo upate kuona ndaniYupo makao makuu au yan huku wanabebwa na gari full tinted kama hun macho huwez kuwajuaa
Sawa, basi mimi nalinda kimya kimyaTunalinda wasichan wenyew
Story yenyewe sasa gari imepaki mafichoni benten vidole viwili juu kufungua milango yoteeee amekaa karibia lisaa lizima mara ghafla gari Kali ikafiika ina tinted balaa ikafunguliwa mlango mm nikichungulia ghafla benten akafunga mlango gari yake akaingia kwenye gari Matata Uwiii wakachelewa kufunga kamlango na mm nikapiga jichoo refu mara paaap busu na dendaa matata na mlango ukafungwa nikakumbuka siku tumekaa hotel fulan saa 5usku Ben ten wakaingia na small house wakakaa sehem ya gizaa ile j3 ambayo dada alibreak internet kumbe benten Nipo makao makuu napetiwa machunguu usikutee dada aliamua kubreak ili nirud kwa makondaHahahaaa napata picha unavyokodolea kioo upate kuona ndani![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa mpambanaji yeye abakie kulea tu hamna namna
MahaabaShikamooo
Hapana Dear, nilikuwa huko kwenye uzi wa masaikolojia, nimemkuta na mwanasaikolojia demiss anatema cheche tuuHaha ndo umeashtuka nn?? Ulikua unaota
Yule kaka handsome wa vidole viwili juu aliyekuwa akisemwa na mkewe hatunzi Leo nimemuona akifanya mambo ya mahaba na mdada mwingne nahisi na yeye ni new benten huku makao makuu niliwafatilia mwanzo mwisho toka j3 mpaka Leo nabaki na swali shost analia ig Na Mengiii kibenten kinalelewa dom na mb aka viti maalumu mambo ni fireeee


