Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Jirani nakusalimia kwa mtima wangu wote.
Leo asubuhi nilikuona halo una haraka zaidi ya upesi kulikoni jirani?
Jirani nakusalimia kwa mtima wangu wote.
Inna wewe hauna wa kumuudumia?Nahisi anahudumia ndoa
Mpaka umeni quote mara 2 basi hali si shwari humuPokes Funguo kabisa maana humu pakuwa salama kwa uwepo wako mkuu
Saizi anafanya kile kitendoLabda inawezekana ikawa hivyo au la
Furaha yangu kusikia hivyo. dark angel sugu mwenzio wapi?Nzuri kipenzi
Unatumia vitenzi nyegeshi ujueHodi hodiiii popoz baridi linanitesaa nimelala nikizungukw na mito blanketi haifanyi kazi sjui Nitapata wapi jotoooooo jamn

Hahaaaaa.Unalipia membership...10000 kwa mwezi.me ndo katibu mwenyekiti Dingimtoto...mwekahazina ni Thad
Usimjaribu jiran yako.Inna wewe hauna wa kumuudumia?
Haha but karibu sanaaaa mgenHahaaaaa.
Bila shaka usingizi utakuja fasta
Unalipia membership...10000 kwa mwezi.me ndo katibu mwenyekiti Dingimtoto...mwekahazina ni Thad

Uyo sijui alipoteleaga wapFuraha yangu kusikia hivyo. dark angel sugu mwenzio wapi?
Nimtoe wap mimiInna wewe hauna wa kumuudumia?
Thad kuna balimi hukuNahisi anahudumia ndoa
Nilitaka kujua tuUsimjaribu jiran yako.
Window10 karibu tenaI'm in..!
Kashalipiwa uyoNilitaka kujua tu
Bado upo upoNimtoe wap mimi
Tutakua wangap. .nijue mapemaaanjoo umtoe kwangu![]()