denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Hapa ndipo unapotofautisha maoni ya msomi, na mashabiki wanaotafuta madaraka na vyeo kwa kumshambulia Bashiru kwa ajili ya matumbo yao.
Utashangaa mpaka kina Msukuma na Lusinde leo wanaonekana wa maana kisa wanamshambulia Bashiru, tuna taifa la mihemko sana, ambalo kila siku linazidi kupoteza muelekeo.
Utashangaa mpaka kina Msukuma na Lusinde leo wanaonekana wa maana kisa wanamshambulia Bashiru, tuna taifa la mihemko sana, ambalo kila siku linazidi kupoteza muelekeo.