Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Zote hizo ni characteristics za demokrasia. Ulitaka wote wamuunge mkono au wote wampinge?Chama cha kidemokrasia ndiyo kinamshambulia mtu na kumtaka ajiuzulu kwasababu tu ametoa maoni yake yasiyopendwa na wapambe wa mtawala???