johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,073
Wewe ndio humsikiliziYaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Wewe ndio humsikiliziYaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Vilaza na Chawa kama wewe huwezi msikiliza na kumuelewa. Wewe endekelea kumsikiliza Kihongosi na Shaka.Yaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Yaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Huyu mzee kukataliwa miaka ya nyuma nadhani kabaki na maumivu yanamtesa. Mama nipe kitengo cha kuwashughulia kama unaona sifai muweke Makonda tu.Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Huyu mzee kukataliwa miaka ya nyuma nadhani kabaki na maumivu yanamtesa. Mama nipe kitengo cha kuwashughulia kama unaona sifai muweke Makonda tu.
CCM ni chama cha kidemokrasia ndio maana watu wanatofautiana na mwisho wanaelewana.
We nae punguza ukolaTunataka umeme, msitutoe kwenye reli.
Wewe ndie unaewaza kwa kutumia t*ko lako badala ya kichwa!Huyu nae akili saivi ziko retarded
Empty set
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Ndo walete umeme, sio wanamsifu Eti " Anaupiga mwingi'' wakati tupo gizani hata kombe la dunia hatuangalii".Tunataka umeme, msitutoe kwenye reli.
Kuna matapeli wa kisiasa kuliko kina nyinyi chiembe ?Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Nipe mfano mmoja wa kiongozi wa Chadema au ACT au CUF aliyekikosoa chama chake au kiongozi wake halafu akabaki salama kwa kigezo cha demokrasia. Unijibu ukimkumbuka Chacha Wangwe.Kama ndugai aliyeondoka uspika. Hakuna kuelewana ni maslahi ndio maana kinana ailsimamishwa uanchama na Membe kufukuzwa kwenye Chama.
Hivi wali angekuwa wa jinsia Ile nyingine angekuwa na watoto wangapi, maana si kwa kiherehere, hakuna PM mwenye kiherehere kama WaliMjibu Dr.Bashiru
Nilitarajia ungejibu hoja ya Dr Bashiri lakini kwa mshangao mkubwa sioni tofauti yako wewe na Msukuma.Ujinga umekujaaHuyu mzee kukataliwa miaka ya nyuma nadhani kabaki na maumivu yanamtesa. Mama nipe kitengo cha kuwashughulia kama unaona sifai muweke Makonda tu.