Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

Siasa ni Sayansi

Naona bashiru ni kama mbuzi alielala kuelekea kibra

Hoja yake ijibiwe na wa kujibu ndio hao wanasiasa

Kiuhalisi ni vigumu kuvitenganisha siasa na mwanasisa

In fact huwezi kujua ni wakati gani mwanasisa anafanya siasa na wakati gani utamjua kuwa huyu ni mwanasiasa

Hapa ndio kazi iendelee
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Huyu mzee kukataliwa miaka ya nyuma nadhani kabaki na maumivu yanamtesa. Mama nipe kitengo cha kuwashughulia kama unaona sifai muweke Makonda tu.
 
Ak
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki

Yule alikuwa waziri Mkuu mstaafu kwa hivyo anakula mpaka kuondoka kwake.
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Kuna matapeli wa kisiasa kuliko kina nyinyi chiembe ?

Shame on all of you!
 
Kama ndugai aliyeondoka uspika. Hakuna kuelewana ni maslahi ndio maana kinana ailsimamishwa uanchama na Membe kufukuzwa kwenye Chama.
Nipe mfano mmoja wa kiongozi wa Chadema au ACT au CUF aliyekikosoa chama chake au kiongozi wake halafu akabaki salama kwa kigezo cha demokrasia. Unijibu ukimkumbuka Chacha Wangwe.
 
Kapiga rungu ikiwa imepita miezi 18 ya mizani 😝

Ni muda muafaka kweli hoja isijibiwe kwa hisia kali au kupigwa na rungu as Jk said before.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom