PostGE2025 Jaji Chande: Hata Marekani watu wanapotea

PostGE2025 Jaji Chande: Hata Marekani watu wanapotea

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
912
Reaction score
3,171
Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.


 
Baba mjinga huwa anakuwa na kauli za kijinga zaidi...
Watoto wake wanalia njaa, baba ananyamazisha watoto wake anasema "msilie hata jirani yetu naye watoto wake hawajala chakula wana njaa kama nyie..."
 
Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.

Mkitaka kujilinganisha na mataifa kama Marekani jilinganisheni na mazuri yao, ila kama rais wa Marekani angeua kama alivyoua Samia asingekuwepo madarakani na pia Marekani matokeo yanapingwa na rais anashitakiwa.
 
Jaji Chande asizidi kujiabisha na asiendelee kudhani kwamba uhuni ni sifa nzuri.

Uhuni au mtu huitwa “crook” si jambo la uzuri hata kidogo, tena kwa mtu mzima na mwenye heshima kama Jaji Chande.

Na pia asiongee na kuwadanganya watanganyika kwamba hata Marekani watu hupotezwa.

Suala hapa ni kwamba October 29, 2025 watu wengi waliuawa wakiwemo watoto wadogo na serikali ilikataa kutoa idadi kamili ya watu walouawa na vyombo vyake vya ulinzi na usalama.

Kinowawasha hawa wazee wahuni ni kitu gani hadi waje na kauli na ufafanuzi wa kiunafiki na kihuni?
 
Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.

Marekani wanaruhusu ushoga sasa na sisi turuhusu kwa kuiga marekani? Mzee hana akili kabisa huyu.Watu wanapotezwa hapa kwa sababu za kisiasa na analijua hili lakini anakwepa na kwenda kujificha kwenye kwapa la Trump, pumbavu kabisa
 
Kwahiyo kwa angle hiyo wameamua wajilinganishe na Marekani .

Vipi uchaguzi wa kidemokrasia na haki ya kuandamana mbona hawajilinganishi na Marekani?

Ninaamini ile January 6 , 2021 wafuasi wa Trump walipovamia Capitol kama ndio ingekua mbinu za kuzuia maandamano za vibaka wa Mafwele basi kungekuwa na umwagaji mkubwa wa damu kuwahi kufanywa na polisi wa Marekani hiyo siku.


View: https://youtu.be/jWJVMoe7OY0?is=m9JTDTqyQ3W6mwcG
 
Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.


Mbona hawataki kutoa specific examples. Hata Tanzania watu hawajaanza kupotea leo. Na wanaolalamikiwa kupotea ni wale wanaohisiana na mambo ya kisiasa .... kwa nini wanataka kugeneralize hili jambo? Lengo lao ni kuficha nini? Hao wanaopotea kimapenzi wanauhusiano gani na machafuko... wasitufanye wajinga hapa. Lini Amerika amepotea Balozi halafu Rais akakaushia as if nothing has happened.

Malalamiko yote ya utekaji Tanzania yanahusiana na siasa .... watu wanazungumzia akina Ben Saanane, Soka, Mdude, Sativa, Polepole n.k.
 
Mabaya tujifananishe na wenzetu ila mazuri hatuwezi kujifananisha haha maana tukifananisha mazuri tutaumbuka kwani ni mbingu na ardhi...
 
Marekani wanaruhusu ushoga sasa na sisi turuhusu kwa kuiga marekani? Mzee hana akili kabisa huyu.Watu wanapotezwa hapa kwa sababu za kisiasa na analijua hili lakini anakwepa na kwenda kujificha kwenye kwapa la Trump, pumbavu kabisa

HIli tukio ndiyo limemwanika huyu mtu ili tujue ni mtu wa namna gani. Kauli zake ni aibu tupu! Kwa fikra kama hizi, huyu mtu kama hujaambiwa alikuwa nani, ni vigumu sana kufikiria kama aliwahi kuwa hata mjumbe wa baraza la mahakama, achilia mbali kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo. Kwa aina ya mtu kama huyi, na kwa nafasi aliyokuwa nayo, you can imagine atakuwa alidhulumu haki za wat kwa kiwango gani!!
 
Ndio maana watoto wanakata kusoma kwa sababu kama hizi.
Ukiambiwa sifa zetu ni kumeza..watu wanabisha...umeshatoa ripoti kaa ndani kula hela ya mafao..
 
Ndio maana watoto wanakata kusoma kwa sababu kama hizi.
Ukiambiwa sifa zetu ni kumeza..watu wanabisha...umeshatoa ripoti kaa ndani kula hela ya mafao..
 
Back
Top Bottom