jaji chande

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande, Alidhamiria Ripoti Yake Iwe Public. Kwa Vile Rais ni Wetu, Ripoti Yetu!, Kwa Heshma na Unyenyekevu Tumuombe Rais Samia Ripoti Yetu? Au...

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo ambapo tunatuma maombi kwa Rais Samia, aiweke hadharani ile Ripoti ya Jaji Chande, kwasababu hata Jaji Chande Mwenyewe, alidhamiria iwe public. Mamlaka kuu au Boss wako, akikuomba kitu, hata kama atatumia lugha ya kistaarabu na...
  2. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Tumeipokea, tumeikubali Ripoti ya Jaji Chande, Tume imekiri yanayotusumbua kama Taifa

    Akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema anaikubali Ripoti ya Tume ya Jaji Chande kwa jinsi ilivyoweka wazi mambo mazito ambayo yamekuwa yakipigiwa kelele na wananchi, huku akisisitiza kuwa hakuna...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Ponda: Tume ya Jaji Chande ilipaswa iseme mauaji ya Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai

    Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema Tume ya Jaji Chande ilipaswa kuweka wazi iwapo mauaji yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai, pamoja na kueleza sababu zilizochangia kutokea kwa maandamano na kusababisha uvunjifu wa amani nchini. “Jaji...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni makosa kujadili nondo alizoshusha Jaji Warioba juu ya uongo ulioelezwa na tume ya Jaji Chande ukiwa kazini?

    Nimeshangaa sana mwalimu mwenzangu kunibwatukia na kunizuia kujadili suala muhimu kama hili Sawa tupo kazini. Ofisini tusijadili kisa tu sisi ni walimu? Kosa nini kuwa mtumishi wa umma usijadili mustakabali wa taifa lako?
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jaji Chande, Bado Haijaweza Kutibu Chuki ya October 29!, Chuki Hii Inaendelea Kulitafuna Taifa Kimya Kimya!, Tuitibu Haraka Vinginevyo...!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Hakuna ubishi kuwa kilichotokea October 29, kimesababishwa na chuki iliyopitiliza!. Japo Ripoti ya Jaji Chande, imepunguza kidogo kiu ya taarifa kwa kuitaja idadi ya vifo, lakini bado haijapunguza machungu ya October 29 na kupooza...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Tathmini ya TLS kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande na Kesi za Jinai zinazomkabili Tundu Lissu

    TAARIFA YA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TATHMINI YA TAARIFA YA TUME YA JAJI CHANDE KUHUSU MATUKIO YA OKTOBA 29 MWAKA 2025, ILIYOTOLEWA TAREHE 23 APRIL 2026 PAMOJA NA KESI ZA JINAI ZINAZOMKABILI TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU. 11 Mei 2026, Dar es Salaam 1.0...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Tume ya Jaji Chande imejibu kila swali la Watanzania na kuacha maoni nini chakufanya kwa weledi kabisa

    CCM OYEEE ,Kazi na Utu tunasonga mbele. Watanzania tume ya uchunguzi ya matukio ya octoba 29/2025 ya jaji chande ilishamaliza kazi yake na Ripoti ilishawasilishwa kwa mheshimiwa Rais . Hii tume ni ya watanzania ,na Mambo na uchunguzi umefanywa na wanasheria wetu nguli wakiongozwa na jaji jaji...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania TLS Wanatoa Tamko Juu ya Tume ya Jaji Chande na Tundu Lissu

    https://www.youtube.com/watch?v=ex4HupJgtOg
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast

    07 May 2026 Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast https://m.youtube.com/watch?v=uyaX4VGvwDM
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria mkuu wa Chadema atoa maamuzi ya kikao cha kamati kuu, yaitwanga vikali ripoti ya Jaji Chande, wamvaa Rais Samia

    05 May 2026 Maazimio ya Kamati kuu ya CHADEMA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA, ASOMA MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA WAIRARUA VIKALI RIPOTI YA JAJI CHANDE, WAMVAA RAIS SAMIA https://m.youtube.com/watch?v=WgE5hkLdB_s Kamati Kuu ya CHADEMA inasema imejiridhisha pasi kuwa na shaka kuwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nshala: Amri ya Tume ya jaji Chande kuchunguza vifo ni batili, uchunguzi urudiwe

    Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo akichambua ripoti ya Kuchunguza matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi ameeleza kuwa Tume hiyo haikuwa na mamlaka kisheria kutoa amri ya kuchunguza vifo, bali ilitakiwa kufanya kwa amri ya mahakama ya uchunguzi wa vifo “Coroner’s...
  12. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Je Tume ya Chande inahoji uwezo wa Tanzania Intelligence and Security Service pamoja na JWTZ ?

    Tume ya Chande imeeleza kuwa viashiria vya maandamano vilianza miezi 6 before - kauli hii imehoji uwezo wa TISS, are they really capable na espionnage kubaini na kuchukua neccesary Measure ! -Hii ni Hatari kubwa sana Kauli ya Chande kuwa kulikuwa na training za watu kujifunza uasi na ulipuaji -...
  13. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kufanya Uchambuzi wa Ripoti wa Jaji Chande Mei

    CHADEMA kufanya Uchambuzi wa Ripoti ya Jaji Chande Siku ya Jumanne Mei 5, 2026, Taarifa hiyo imetolewa leo Mei 5, 2026 na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, alipokuwa akifanya Mkutano na Waandishi wa habari kuhusu maazimio ya Kamati Kuu uliofanyika Aprili 28...
  14. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Kundecha: Wanaopinga Ripoti ya Tume ya Jaji Chande walihusika katika uchochezi

    Sheikh Mussa Kundecha, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Maimamu na Viongozi wa Kiislam Tanzania Baraza Kuu la Maimamu na Viongozi wa Kiislam Tanzania wanasema wanaopinga na kukosoa ripoti ya Chande ni wahalifu na walihusika katika matukio ya Oktoba 29, 2025 na baadaye wakageuka watetezi wa...
  15. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Huu wimbo kuhusu Mzee Chande uwe fundisho kwa wastaafu wote waliowahi kushika madaraka makubwa

    Guys Aisee watu wamevurugwa na hili liwe somo. Kwa watawala na wastaafu wasipende siasa rahisi na za uongo uongo. Kwa kwa sababu ya maudhui yake sitauweka hapa huo wimbo ila kama wewe ni mdau wa Tiktok utakuwa umeshausikia.. https://youtu.be/BF5yTtucVy0 Watu wameamuka hawataki tena cheap...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume imepokea ushahidi toka kwa Watu 63,603

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema Tume hiyo imepokea ushahidi kutoka kwa Watanzania 63,603 kwa njia mbalimbali. Amesema ushahidi huo umepatikana kupitia mahojiano...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Doyo akemea wanaobeza viongozi wa Tume ya Jaji Chande

    Aliyekuwa mgombea nafasi ya Urais mwaka 2025 kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan amewaasa Watanzania kuacha kuwatukana na kuwakejeli Wajumbe wa Tume ya Uchunguzi kwani kwanza ni wakubwa wa umri na ni wabobevu wa Kimataifa.
  18. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jaji Chande ni hatua moja mbele, Imepooza Tu, Haijakata Kiu!. Kazi Bado Ipo!, Tunyamaze Tuu na Kusubiria, au Tuseme Kitu na Tufanye Kitu?

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la leo nikiizungumzia Ripoti ya Jaji Chande ni hatua moja mbele, ripoti hiyo imepooza tuu kiu ya kujua kilichotokea, ila haijakata kiu ya alyetoa amri ya kutumia risasi za moto ni nani, vifo vyo 518 ni vifo halali vya haki?, wauwaji ni...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo awavaa vikali Jaji Chande na Jaji Juma kusema video za Oktoba 29 ni za Gaza! Acheni uongo!

    Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza. Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo...
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi Jaji Chande Othman hana kadi ya CCM?

    Ni maelezo ya kuwalinda watawala wa CCM wala sio ripoti ya uchuguzi. Jinsi watu walivyokuwa wanamiminiwa mijegejo kama Rambo yupo Vietnam halafu tunapewa maelezo kama haya Jaji Chande uwe na aibu basi.
Back
Top Bottom