Komando tamimy
Senior Member
- Nov 18, 2020
- 108
- 121
Posho za Kujikimu kwa Ajira Mpya za Walimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanawalipa walimu wote wa ajira mpya walioripoti kwenye Halmashauri zao posho za kujikimu ndani ya muda wa wiki moja kuanzia leo tarehe 22/01/2021.
Waziri Jafo ameyasema hayo alipokua akitoa taarifa ya uboreshaji wa shule za Ufundi Tanzania mapema leo Kwenye Ofisi za TAMISEMI Jijini Dodoma.
Hii haingii akilini tangu tarehe 14/12/2020. Mpaka leo 22/01/2021 hao waalimu walikuwa wanaishije?! Ina maana halmshauri ziligoma kuwapa posho zao waalimu mpaka jaffo aseme?!
---
Sasa kama ni hivyo inamaana DED wa halmashauri wanatakiwa watumbuliwe kwa kuwatesa waalimu walimu wapya.Tunasubiria watumbuliwe tuchukue nafasi hizo.
Kaada mtiifu
Kwa sasa niko peramiho
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanawalipa walimu wote wa ajira mpya walioripoti kwenye Halmashauri zao posho za kujikimu ndani ya muda wa wiki moja kuanzia leo tarehe 22/01/2021.
Waziri Jafo ameyasema hayo alipokua akitoa taarifa ya uboreshaji wa shule za Ufundi Tanzania mapema leo Kwenye Ofisi za TAMISEMI Jijini Dodoma.
Hii haingii akilini tangu tarehe 14/12/2020. Mpaka leo 22/01/2021 hao waalimu walikuwa wanaishije?! Ina maana halmshauri ziligoma kuwapa posho zao waalimu mpaka jaffo aseme?!
---
Sasa kama ni hivyo inamaana DED wa halmashauri wanatakiwa watumbuliwe kwa kuwatesa waalimu walimu wapya.Tunasubiria watumbuliwe tuchukue nafasi hizo.
Kaada mtiifu
Kwa sasa niko peramiho