Kama familia yakoHii serikali inaendeshwa kihuni
Kama familia yakoHii serikali inaendeshwa kihuni
Kabisaa mkuu,viongozi hawasemi ukweli tatizoHii serikali inaendeshwa kihuni
Yaani kuendesha nchi kwa matamko ni ngumu sana!!badala ya mifumo kufanya kazi yenyewe tu, yaani jambo linashindwa kufanyika kwa miezi sita, ila linaweza fanyika ndani ya siku mbili, endapo mkuu/waziri/katibu mkuu, RC, DC, atatoa tamko!!na ukiangalia wanayatoa matamko hadharani ili waonekane, na kama hizo pesa zilikuwepo ila kuna watu hawakutimiza majukumu yao, wanachukuliwa hatua gani?!!!Alikuwa wapi watuwameteseka hivi .jaziona siku za jafo hapo wizarani ni chache saana
Mshahara wa December mlilipwa?Nimeona niliseme hili kwa kifupi, ili wadau wengine waliona kwa upana zaidi. Haya ni sehemu ya maisha yanayogusa watu, mtu ndo kaanza ajira hana chochote, inakuwaje wakurugenzi na naafisa elimu wakae kimya!?
Nakuwa mwalimu aliyeanza kaziDogo tulia,
HELA YA SERIKALINI INATOKA KWA UTARATIBU MAALUMU.
Afisa elimu na mkurugenzi ni KAMA SISIMIZI TU.......!
Sasa hao ukiwaendea sijui wewe unakuwa NANI??
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Angeanza na madai mbalimbali ya watumishi yanayohatamiwa huko tamisemi !!Nchi hii ina watendaji wabovu sana tena na siasa inaingilia kati basi kila kitu huenda according to politics.