Habari wadau.
ukweli mchungu vibinti ya 2000 vijanja sana. hasa vilivyokuja na mbinu ya niagize china nikununulie mzigo wako.
Instagram na social media zingine zinatajirisha sana watu wanaojua kuzitumia kwa faida yao.
Mfano mdada wa miaka 23 anaejiita Kim china business. ameshusha mijengo ya nguvu Goba na salasala na kumiliki magari mazuri kwa mapato ya biashara ya niagize china
Mdada mwingine graduate wa udsm mwaka 2022 Niffer Jovin. na yeye nae anashusha mijengo na kuendesha gari kali kwa mapato ya biashara ya niagize china nikununulie mzigo wako.
Japo kuna malalamiko ya Utapeli kwa wateja wao ila hayana mashiko maana polisi na mahakama zipo mbona hawafungwi jela
na pia ile Kuweza kumtapeli mtu tu ni kipimo kwamba wewe una akili nyingi.
wafanyabiashara wote ni matapeli wa kimya kimya.
Vodacomm wanakuuzia GB moja ila uhalisia wanayokupatia haitimii GB 1 ndio maana inaisha haraka haraka
Dawasco wanakuletea bili ya maji elfu 50 kwa mwezi na unalipa huku uhalisia maji uliyotumia hayazidi hata elfu kumi.
mfano hata wewe ukipewa hela na watu wengi wa mikoani ukawanunulie vitu kariakoo lazima tu utaweka cha juu chako. ama utawanunulia vitu vya bei nafuu ili faida yako iwe kubwa. hicho ndicho wanachokifanya hawa wadada kina KIM Business
Funzo kubwa instagram na mitandao mingine inakupa ajira na maisha mazuri sana ukijua kuitumia kwa ujanja
ukweli mchungu vibinti ya 2000 vijanja sana. hasa vilivyokuja na mbinu ya niagize china nikununulie mzigo wako.
Instagram na social media zingine zinatajirisha sana watu wanaojua kuzitumia kwa faida yao.
Mfano mdada wa miaka 23 anaejiita Kim china business. ameshusha mijengo ya nguvu Goba na salasala na kumiliki magari mazuri kwa mapato ya biashara ya niagize china
Mdada mwingine graduate wa udsm mwaka 2022 Niffer Jovin. na yeye nae anashusha mijengo na kuendesha gari kali kwa mapato ya biashara ya niagize china nikununulie mzigo wako.
Japo kuna malalamiko ya Utapeli kwa wateja wao ila hayana mashiko maana polisi na mahakama zipo mbona hawafungwi jela
na pia ile Kuweza kumtapeli mtu tu ni kipimo kwamba wewe una akili nyingi.
wafanyabiashara wote ni matapeli wa kimya kimya.
Vodacomm wanakuuzia GB moja ila uhalisia wanayokupatia haitimii GB 1 ndio maana inaisha haraka haraka
Dawasco wanakuletea bili ya maji elfu 50 kwa mwezi na unalipa huku uhalisia maji uliyotumia hayazidi hata elfu kumi.
mfano hata wewe ukipewa hela na watu wengi wa mikoani ukawanunulie vitu kariakoo lazima tu utaweka cha juu chako. ama utawanunulia vitu vya bei nafuu ili faida yako iwe kubwa. hicho ndicho wanachokifanya hawa wadada kina KIM Business
Funzo kubwa instagram na mitandao mingine inakupa ajira na maisha mazuri sana ukijua kuitumia kwa ujanja