Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Katika kupitia mabandiko na michango ya wadau mbalimbali JF nimevutika kuangalia ni vipi michango hiyo inapokelewa na wasomao. Kilichonishangaza ni pattern hii:
Katika mabandiko ni nadra sana hata kwa wale magwiji kupewa thanks katika asilimia zaidi ya 30 ya mabandiko yote. Mathalani kama mtu kabandika mara 10,000, asante atakazopokea zinacheza kwenye mabandiko yasiyozidi 3,000!!
Ina maana mabandiko 7,000 ni pumba? Hebu angalieni wenyewe - chukua id ya mtu yeyote hasa wale mahiri wa kubandika, angalia kabandika mara ngapi kisha kapongezwa mara ngapi mtajionea wenyewe - inacheza kati ya asilimia 10 na 30, haizidi 1/3 ya mabandiko yake.
Mimi mwenyewe nimebandika mara 61, nimepongezwa mara 32 lakini katika mabandiko 24 tu. Nimeshangaa kiaina!
Nitatoa mifano michache as of today 15/6/2010:
1. Mzizimkavu :
Posts: 3,906
Thanks : 605
Thanked 518 Times in 352 Posts
2. Anyisile Obheli
Posts:1,257
Thanks : 516
Thanked 466 Times in 311 Posts
3.Mbu
Posts:5,164
Thanks : 538
Thanked 666 Times in 402 Posts
4 Buchanan
Posts:3,795
Thanks : 817
Thanked 1,510 Times in 913 Posts
5.Abduhalim
Posts:8,700
Thanks : 505
Thanked 1,319 Times in 881 Posts
Hizi takwimu zinatuambia nini jamani? Wengine hatufanyi kitu bila kutathmini.
Katika mabandiko ni nadra sana hata kwa wale magwiji kupewa thanks katika asilimia zaidi ya 30 ya mabandiko yote. Mathalani kama mtu kabandika mara 10,000, asante atakazopokea zinacheza kwenye mabandiko yasiyozidi 3,000!!
Ina maana mabandiko 7,000 ni pumba? Hebu angalieni wenyewe - chukua id ya mtu yeyote hasa wale mahiri wa kubandika, angalia kabandika mara ngapi kisha kapongezwa mara ngapi mtajionea wenyewe - inacheza kati ya asilimia 10 na 30, haizidi 1/3 ya mabandiko yake.
Mimi mwenyewe nimebandika mara 61, nimepongezwa mara 32 lakini katika mabandiko 24 tu. Nimeshangaa kiaina!
Nitatoa mifano michache as of today 15/6/2010:
1. Mzizimkavu :
Posts: 3,906
Thanks : 605
Thanked 518 Times in 352 Posts
2. Anyisile Obheli
Posts:1,257
Thanks : 516
Thanked 466 Times in 311 Posts
3.Mbu
Posts:5,164
Thanks : 538
Thanked 666 Times in 402 Posts
4 Buchanan
Posts:3,795
Thanks : 817
Thanked 1,510 Times in 913 Posts
5.Abduhalim
Posts:8,700
Thanks : 505
Thanked 1,319 Times in 881 Posts
Hizi takwimu zinatuambia nini jamani? Wengine hatufanyi kitu bila kutathmini.