Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
Ndoano humnasa samaki au samaki hunasa kwenye ndoano? - MM
ndoano humnasa samaki au samaki hunasa kwenye ndoano? - mm
Ndoano humnasa samaki au samaki hunasa kwenye ndoano? - MM
Wala. Bila chambo kwenye ndoano a na b hayawezi kuwa sawa.a na b yote ni sawa
Mbatia ukiona vyaelea vimeundwa! unda vyako pia.
Akija huko mkitofautiana hatutaki kusikia oooh zito mamluki, amekuja kutumaliza! kauli uliyoitoa leo itakuhukumu. Usikae chini kusubiri migogoro ikuletee wanachama makini....rudi kwenye historia ya chama chako ujifunze kitu fulani.
A woman can be strong, confident and sexy
Mbatia alipelekwa nje kusoma na kugharimiwa na Rostam, Kuhusu Zitto kugharimiwa na Rostam, sina uhakika lakini ni kawaida kwa RA kumwagilia miche yote maana hana hakika na utakao chipua!! Lipumba, Mrema, Mtikila,Mbatia nk wote wako kwenye payroll yake.
Mbatia alipelekwa nje kusoma na kugharimiwa na Rostam, Kuhusu Zitto kugharimiwa na Rostam, sina uhakika lakini ni kawaida kwa RA kumwagilia miche yote maana hana hakika na utakao chipua!! Lipumba, Mrema, Mtikila,Mbatia nk wote wako kwenye payroll yake.[/QUOTE]
Kuna mmoja umemsahau hapa. Na mkiendelea na huu ujinga, uvumulivu una mwisho.....
omarilyas
mbatia alipelekwa nje kusoma na kugharimiwa na rostam, kuhusu zitto kugharimiwa na rostam, sina uhakika lakini ni kawaida kwa ra kumwagilia miche yote maana hana hakika na utakao chipua!! Lipumba, mrema, mtikila,mbatia nk wote wako kwenye payroll yake.
Na CHADEMA aijenge CHADEMA kama chama cha siasa na si Family Corporate Company. Bora kuwa kwenye NGO kuliko kwenye Family Private comapny au?. Lazima aijenge NCCR kama chama cha siasa na si NGO yenye kutoa taarifa za utekelezaji pale Habari maelezo.
Mbatia hajajifunza somo la kuporomoka kwa NCCR MAGEUZI, Mrema alipokelewa kama Mungu Mtu, kisha akakisambaratisha kwa faida ya Usalama wa Taifa na kwa maslahi binafsi.
leo anatamani mamluki wa KUTOKA VYAMA VINGINE, ameshidwa kuijenga NCCR Mageuzi , ameshidwa kuisisimua, anatamani ustawi wa CHADEMA, hajipi muda kujenga chama toka kwa wanachama waaminifu.
Anapaswa ajifunze toka CHADEMA, wamejenga Chama chao taratibu ila kwa uhakika.
kina Zito wamelelewa pale, NCCR IMESHIDWA kuwajenga kina Bahati Tweve kua vijana IMARA kisiasa.
Mbatia amekua kama Mchawi anaeua mtoto wa jirani yake wakati hamli nyama, Anadhani utawi wa NNCR unategemea udhaifu wa CHADEMA. Lazima aijenge NCCR kama chama cha siasa na si NGO yenye kutoa taarifa za utekelezaji pale Habari maelezo.