Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.

NO,

Zitto yuko njiani kuelekea CCM.

and

Hell NO

Zitto ndiye amekutana na moto hadi anatishia kujiondoa JF. Ha ha ha, who is smiling now - burger king or McDonald?
 
Huyu Dr. Slaa anatia aibu. Yeye na utu uzima wake, Ph.D yake na umaarufu wake anapelekeshwa na form six failure? Amekwisha huyu, siku zake zinahesabika.


Haya ni maneno ya mwandishi na Slaa hajasema lolote kuhusiana na maamuzi yet unaweza kusema hovyo kama vile wewe umemsikia Slaa anasema ? Hujui kwamba hii nk vita na magazeti yako kazini ?
 
NO,

Zitto yuko njiani kuelekea CCM.

and

Hell NO

Zitto ndiye amekutana na moto hadi anatishia kujiondoa JF. Ha ha ha, who is smiling now - burger king or McDonald?
Yuko huru..kufanya hivyo kikatiba..are teriffied with that move...
 
Yuko huru..kufanya hivyo kikatiba..are teriffied with that move...

Nenda kwenye shule zinazoanza na St .. ukajifunze lugha hii kama una mpango wa kuitumia hapa. Haya mambo ya kutumia muda wako wote madrassa kutengeneza suicide bombs ndiyo yanakuabisha sasa.
 
Nenda kwenye shule zinazoanza na St .. ukajifunze lugha hii kama una mpango wa kuitumia hapa. Haya mambo ya kutumia muda wako wote madrassa kutengeneza suicide bombs ndiyo yanakuabisha sasa.
Wewe mwehu uko terrified na zitto mpaka huna raha utalia go on crying...
 

Mkuu,

Tuko pamoja sana. Ile film inaitwa 50 First Dates (2004) na amecheza Adam Sandler (Myahudi) na bibie Drew Barrymore kama Lucy Whitmore.
 
Mkuu,

Tuko pamoja sana. Ile film inaitwa 50 First Dates (2004) na amecheza Adam Sandler (Myahudi) na bibie Drew Barrymore kama Lucy Whitmore.

sawasawa ndio hii umeona jama alivyokua na kazi kila siku kuanza tena somo.
 
Mkuu Geoff, wewe angalia obsessive scenarios ni zitto asubuhi mpaka asubuhi!! Think about it we are slowly acquiring British bull-shit ya ku-dwell na kitu kimoja mpaka inaboa

LOL! labda kwa sababu walitutawala!
 
Haya ni maneno ya mwandishi na Slaa hajasema lolote kuhusiana na maamuzi yet unaweza kusema hovyo kama vile wewe umemsikia Slaa anasema ? Hujui kwamba hii nk vita na magazeti yako kazini ?

Mkulu Lunyungu,
Siku hizi hili gazeti la Wakenya ndio pekee lililobakia kuaminika wanayosema. Wakishaandika wewe subiri tu uone matokeo yake.

Hata hivyo, Dr. Slaa yumo humu mtandaoni, akisingiziwa anaweza kujibu mapigo.
 

Hizo namba tunazoweka ni utabiri wetu. Subiri kidogo hayawi hayawi yatakuwa.
 
Whatever it is let the people decide on whatever they want. Quiting from one party to another it's normal. Even zitto Kabwe is free to anywhere he likes.
 

I cant understand why people fail to figure out what is behind all this. Hizi ni pesa za mafisadi (CCM) zinafanya kazi. Hivi what did u expect? CCM waiache CHADEMA's popularity to linger into 2010 at its top gear? Hata hao CCM wenyewe wangejicheka. Am a CCM's dormant member and I know how our party machinery works. Target ya chama letu ni ku-identify opportunists (kama Zitto) kwenye opposition camp and use them. As simple as that.....
 
eeeh watu bwana ingieni na nyie kwenye siasa tuone mazuri na mabaya yenu
tunaongea wee vitendo hafifu
 

historia ya NCCR mageuzi itajirudia kiufikia mwaka 2010-that is devide and rule ...kwa kiasi kikubwa kuna nguvu kubwa ya pesa na PR inawekezwa NCCR kwa sasa........je historia ya watu wa kigoma itajirudia????......

KUMBUKENI NCCCR YA MREMA ILIVYOKUWA HOMA LA JIJI......JE VIJANA WA SASA WANAWEZA KUTUFIKISHA KWENYE MOTO WA 1995 MWAKANI???

HISTRIA YA USALITI NI USALITI ....WAPINZANI WANAVUNJWA VUNJWA!
 
Mnapoteza maana ya demokrasia.... kama wapinzani wanaungana mkono kuiondoa CCM madarakani, kinawauma nini? Wawe wa CUF, CHADEMA, TLP au NCCR, wakiungana na kusaidiana, kuna tatizo? Mimi namuunga mkono Zitto kwa kumsaidia Kafulila, kwa kuwa ametamka wazi malengo yake... wapinzani walipokuwa wanahasimiana, mlilalamika. Sasa wanaungana, mnalalamika tena? MNATAKA NINI ninyi binadam MSIOTOSHEKA? Mkiletewa mvua, mnalalamika, mnataka jua! Mkiletewa jua, mnalalamika, mnataka mvua! Waacheni waungane!

Hongera Zitto na Kafulila kwa kuweka MFANO BORA wa ushirikiano katika mapinduzi ya kisiasa nchini! Na wengine nao wafuate mfano wenu!

./Mwana wa Haki
 
Hivi kuna ubaya gani Zitto akimuunga mkono Kafulila ( mkimbizi wa kisiasa) kupambana na CCM? Kama Zitto na Kafulila ni marafiki huo urafiki wao hauwezi futika kwa vile Kafulila amefulia na kijiunga na NNCR-Mageuzi. Ni wajibu wa marafiki kusaidiana. Labda urafiki wao ni kama ule wa JK na EL ambao haukuanzia barabarani. Hata hivyo mimi nilidhani kuimarika kwa upinzani ndio kukua kwa Demokrasia hapa nchini.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…