Zito bora ukakaa kimya maana naona kila siku inaanzishwa thread mpya juu yako
Ni kweli bwana Belo. This all hogwash! Juzi juzi Zitto katoa thread ya mahojiano na gazeti moja na kutoa msimamo wake kwamba yeye ni Chadema na wote tumesoma hapa hapa. ili la uzushi ni diversionary tu. Zitto amekuwa kama punching bag. Jamani JF sio kama kijiwen!