Hatuna uhakika wa kujitoa Zitto ila inaonekana yuko over ambious na kwa umri wake angetulia na kuijenga Chadema Uenyekiti ungekuwa wake katika muda si mrefu ujao.
Vijana wanatuvunja moyo watu wote tunaopenda mageuzi na wakati mwingine unapata kichefuchefu.
Nilikutana na Tambwe Hiza akiwa CUF katika vijiji vya Kusini mwa Tanzania akiwaeleza wananchi kuhusu ununuzu wa rada na ndege ya Rais akilinganisha gharama zitazotumika na umaskini wa wanavijiji wale;leo yuko kwingine na anaponda alikotoka na kusifia alipo.Naamini dhamira zitawasuta wengi na hawatakuwa na amani ya moyoni kwa maisha yao yaliyobaki.
Vijana wanatuvunja moyo watu wote tunaopenda mageuzi na wakati mwingine unapata kichefuchefu.
Nilikutana na Tambwe Hiza akiwa CUF katika vijiji vya Kusini mwa Tanzania akiwaeleza wananchi kuhusu ununuzu wa rada na ndege ya Rais akilinganisha gharama zitazotumika na umaskini wa wanavijiji wale;leo yuko kwingine na anaponda alikotoka na kusifia alipo.Naamini dhamira zitawasuta wengi na hawatakuwa na amani ya moyoni kwa maisha yao yaliyobaki.