Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
Mkuu nimesoma mambo haya kupitia gazeti la leo mwananchi kama ndio hivi hawa wakina Zitto wanatuhuzunisha sana katika siasa za Tanzania na pia kama ni kweli basi aje yeye mwenyewe Zitto hapa na kusema madai haya.. Maana mambo kama haya Sisi kama wadau tunahuzunishwa sanaMkuu umeshathibitisha? ukituthibitishia tutajadili kwa lugha zote. Hatuwezi tukajadili hali ya Chadema mpaka tuone nini kinaendelea ndani.