Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,499
- 19,539
Ambaye sio Mbunge (mwenye majukumu tayari) hata kama ni mbunge bora peleka yes Mam sio mtu anayeonekana kupinga / critical. Bila mawazo kinzani hatuwezi kujenga..Nani alistahili kuwa Balozi Malawi?
Au unataka kusema the only qualified individual Tanzania kuwa Balozi ni huyu dogo ?, Binafsi nadhani Balozi inabidi awe mtu mature na mwanadiplomasia sio mtu critical