Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Mzee wa ky kauza mechi 😀😀😀Daah!.....kmmk..
Mzee wa ky kauza mechi 😀😀😀Daah!.....kmmk..
Anaenda kukalishwa chini kupigwa mkwara na 'professionals' then ndiyo akaonane na 'taasisi ya urais'.What's this..?.
"Mh. Balozi najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia, utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe na tutazungumza kwa urefu..." Samia says.
Ila huyo mzee alijitahidi Sana migogoro ya wakulima na wafugaji aliitulizaSi mwenzetu na pia ni threat kwani anaonekana ana 'nguvu' ya kuweza kukigombania kiti cha unyapara mkuu.
Kiukweli nafasi yake aliitendea haki kwa kiwango kikubwa japo no one is perfect lakini alifanya kazi iliyoonekana.Ila huyo mzee alijitahidi Sana migogoro ya wakulima na wafugaji aliituliza
Si ajabu wengi wanamwonea wivu. Ukiwa balozi, heshima yako iko kwenye level moja na mkuu wa nchi unayoiwakilisha.Duh basi mabalozi wa Huko duniani wanakula mema Sana
Nadhani hata hapo malawi pia atapata neema kwa kiasi chake.
Mkapa alisema anashangaa katibu anapata wapi muda wa kucheza mziki ofisini na kujirekodi 🤣Akabinuke sarakasi ubalozini!
🤣🤣🤣🤣🤣watamfanyia kwanza kitchen party.dah CCM wahuni aisee
bangi zake akavutie huko, na mi v8 yakeShule ya uongozi imefia hapo
Polepole katupiga chenga ya mwili amekuwa kinyonga au ni tactical move hadi ametokea kwenye kiapo. Maumivu ya mataga hili la kati ni kama goal la offside la Berkane majuzi.
Mwamba sijamuelewa, tafadhari mliomwelewa Polepole pundits wa siasa tusaidieni.
That was an early morning spinning bird!
Yeah let's take it positive ni mamlaka ya mods, thanks though comrade.Pole. Wameunganisha uzi.
Bongo ukileta msimamo kwenye maslahi ya watu binafsi utang'olewa tuLakini lukuvi amehudumu wizara ya ardhi vizuri Sana karibu awamu tatu hivi why atumbuliwe alikosa nini?
Unaposema kahudumu vizuri una maanisha nini.Wakati nchi imekuwq ina makazi holela kupota kawaida.Kasi yq upimaji ni ndogo kuliko kasi ya ujenzi.Upimaji wa viwanja umejaq urasimu nq longolongo nyingi alaf leo mnasema Lukuvi kafanya vizuri.Kafanya nn hasaLakini lukuvi amehudumu wizara ya ardhi vizuri Sana karibu awamu tatu hivi why atumbuliwe alikosa nini?