Ikulu, Dodoma: Humphrey Polepole na Waziri Kindamba waapishwa

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan anawaapisha viongozi aliowateua kama ifuatavyo:
  1. WAZIRI KINDAMBA WAZIRI kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
  2. HUMPHREY HEZRON POLEPOLE kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.

View attachment 2151319
Picha: Humphrey Polepole akiapa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi

View attachment 2151318
Picha: Waziri Kindamba akithibitisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjombe



Polepole KICHINEH..
 
Ila kiukweli kwa hili mama kacheza kuliko Pele. Bora Nchimbi umri kidogo umesogea ila Polepole bado mdogo sana kufichwa na siasa za ndani. Akitoka huko hatokuwa na touch yeyote na siasa za ndani!

Samething happened to Nchimbi! Nchimbi akirudi awamu ijayo hata ofisi za Lumumba hatojua zilipo
 
Hivi ni vigezo gani vilitumika kuchagua watu wa kuvaa barakoa na wale ambao hawakuvaa hapo ukumbini?

Kuna mama mmoja hakuvaa barakoa na wa wanaumme wawili hawakuvaa barakoa.
 
Ila'malawi hata coster hamna Kuna vihiace - Mazda ndio daladala boda boda zipo Lilongwe tu.....


Ccm ...wanaijua french style ya draft
 
Haya mambo ya kuheshimu mamlaka ndio hutengeneza maraisi miungu huku afrika. Raisi anapaswa kupingwa ndani na nje ya chama.
Hiyo ndio demokrasia.
Kutokana na mapungufu yaliyopo hasa yanayoonekana kwa walio nje ya mfumo, ni ngumu kuweka katiba inayoweza kumsema ovyo rais na hakuna rais atakaye kubali litokee hilo kisa kuwaridhisha raia huku yeye akiwajibishwa.

Maybe litokee vuguvugu la wananchi kuchoka na kuwa tayari kwa lolote, siku ambayo hata jeshi la wananchi siyo la polisi watakaposema wapeni wenye nchi wanachotaka, hapo ndipo inaweza kuja nchi mpya na mabadiriko ya kweli, ila kwa hii movie it shows harder!.
 
Haya mambo ya kuheshimu mamlaka ndio hutengeneza maraisi miungu huku afrika. Raisi anapaswa kupingwa ndani na nje ya chama.
Hiyo ndio demokrasia.
Yuko mkubwa mmoja alitaka kuleta demokrasia ndani ya chama chake eti nyapara naye ashindanishwe na wengine. Kufumba na kufumbua kajikuta amekunywa cocktail.
 
Anaenda kukalishwa chini kupigwa mkwara na 'professionals' then ndiyo akaonane na 'taasisi ya urais'.
Nimeusikiliza kwa makini huo mkwara na umenitafakarisha sana.

Nimebaini bi Samia akitoa sauti ya 'authority' wakati anayatamka hayo maneno.
Tatizo la wanasiasa ni kuwaona wenzao hawajui kuliko wao, huyu mama kipindi akiwa chini ya Magufuli alitaka ku_resign ila kwa hekima mzee baba na watu fulani akarudi, hakuna sehemu inaonyesha entice management ambayo leo wanafanyiwa yatima!.
 
Huu ndio mchezo wa mahesabu ya kisiasa kuelekea 2025.

Kwa wale msiojua tu ni kuwa, Mikataba ya ajira za mabalozi ni miaka minne minne, hivyo mkataba wa Pole Pole utaisha 2026, wakati huo mama Samia anaweza akawa yuko muhula wa Pili wa urais wake ikiwa atashinda uchaguzi 2025. Lengo haswa la Pole Pole kupewa ubalozi ni kufungwa mdomo, miguu na akili, cheo cha ubalozi kinamfunga kwa 99%. Hiyo ndio imeisha.
 
Unaposema kahudumu vizuri una maanisha nini.Wakati nchi imekuwq ina makazi holela kupota kawaida.Kasi yq upimaji ni ndogo kuliko kasi ya ujenzi.Upimaji wa viwanja umejaq urasimu nq longolongo nyingi alaf leo mnasema Lukuvi kafanya vizuri.Kafanya nn hasa
Punguza hasira ili uweze kuandika vizuri mzee
 
Back
Top Bottom