IFM alumni...!!!!

IFM alumni...!!!!

Mwamburi Kamaliza Phd China Juzi,yule Mzee Wa Kamari Nawasiwasi Kama Hafanyi Forex
Haaahaaa....Jmall na new africa humkosi, ila ana mibahati anapigaga bingo balaa!
 
donlucchese nikakumbana tena na supp ya mkenda taxation sema nikaappleal nikachomoka,nikakumbana na Management ya Zawadi ila walimu wa pale ni shida mtu anawala vichwa zaidi ya robo 3 yaani yeye kuandika 0% anaona kawaida tu daaaa
Wengi vijana hawataki kijana utoboe!
 
Ungeenda kusoma pale uone kama semester ya kwanza tu hujadisco
Analeta masihara na kile chuo, anafikiri you dii ile sijui education mara sociology!

Kila course IFM ni mwendo wa calculation mpaka akili ikukae sawa!
 
hahaha walimzushia kaungua
Eeeh eti zilisambaa....walikuwa wanasema ana hasira kutokana na LUKU!....ila ngozi yake sio nzuri haina mng'ao kama mtu wa mshahara!

Ila yule jamaa ana stress balaa!

Kuna siku 1st year, tuko class eti kamsimamisha kijamaa kimwambie yy kabila gani, classmate akamjibu mi mmoroco haahaa....Kibacha akamwambia kuanzia leo ukiona naingia utoke nje sifundishi majeuri mimi ...nitaendelea!
 
Eeeh eti zilisambaa....walikuwa wanasema ana hasira kutokana na LUKU!....ila ngozi yake sio nzuri haina mng'ao kama mtu wa mshahara!

Ila yule jamaa ana stress balaa!

Kuna siku 1st year, tuko class eti kamsimamisha kijamaa kimwambie yy kabila gani, classmate akamjibu mi mmoroco haahaa....Kibacha akamwambia kuanzia leo ukiona naingia utoke nje sifundishi majeuri mimi ...nitaendelea!
hahahah labda kweli zilikua zinatokana na Luku,
 
Igakinga na kibacha ( kamati ya roho mbaya) jamani huyo mwl mwarabu n Abdul alikuwa mpole...taxation 2014 mpo mwambuli auditing qm 747 ilikuwa noma
 
Waliosoma IFM Kompyuta Sayansi hawamo humu?maana mpaka sasa naona ni watoto warembo wa Insuarance,Banking,Risk Management na Accounts tu ndo wanakumbushana habari zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom