Nashukuru kwa kunikumbusha, mimi nilikua BTX, unaniita dogo una umri gani mkuu?Mahafali ya 37 ni Mwaka 2011.Dogo umemaliza na mke wangu kama ulisoma accounting
Nashukuru kwa kunikumbusha, mimi nilikua BTX, unaniita dogo una umri gani mkuu?Mahafali ya 37 ni Mwaka 2011.Dogo umemaliza na mke wangu kama ulisoma accounting
Rudi tuu
Ukikutana nae tena muambie aache roho mbaya na mambo ya kishambaNilikutana naye udsm anafanya PhD now
Walimu Wa Ifm ukikutana nao mtaani wote mnaendesha Magari mazuri full kujichekesha na kujifanya marafiki.Ukikutana nae tena muambie aache roho mbaya na mambo ya kishamba
Ali retire 2013 km sikosei!Huyo ndendekisye si ndo yule mbabu ana sura ngumu kweli kweli na roho ngumu ila kaoa mwanamke mrembo sana jamani tulisoma nae mwaka mmoja.Nakumbuka kama hujamaliza ada utaisoma no kwake utakumbana na majibu mpaka akupe kibali cha mtihani nusu saa imeshaisha
Ni sitaAta lemutuz anadai ana digirii zaidi ya moja
Nilisikia hvy pia, jamaa mkakisi balaaa!Nasikia na mke wake alikuaga anapata supp eti ya somo lake![]()
Michael nilikutana nae Dom ni full UVCCM!Nimemkumbuka Rais wangu Michael, anyone know whereabouts ?
Michael yule mweupe alikuaga rais 2012-2013?Nimemkumbuka Rais wangu Michael, anyone know whereabouts ?
Anaitwa N. Abdu. Yupo vizuri mnoMmmmmmh kuna mbaba fulani hivi wa QM mpole mweupe mnene mnene kidogo nasikia amefariki mwaka jana sooo sad![]()
Yap huyo huyoMichael yule mweupe alikuaga rais 2012-2013?
Hahaahahahaaaaa.. malaika na majini ni vitu viwili tofauti kabisaakuna jamaa alikuwa anafundishaga property & percuniary insurance..
anachofundisha na anachotoa kwenye mtihani ni kama malaika & majini!
halafu lilikuwa linaona sifa tu kutugawia ma-supp kama faza xmas!
Haaahaaa...disco IFM ni kama uji na mgonjwa!Broh angu kadisco hapo kwa umalaya tu
Doooh! Yule mbaba kafa!Anaitwa N. Abdu. Yupo vizuri mno
kuna jamaa alikuwa anafundishaga property & percuniary insurance..
anachofundisha na anachotoa kwenye mtihani ni kama malaika & majini!
halafu lilikuwa linaona sifa tu kutugawia ma-supp kama faza xmas!
malecturer wa pale ni wana sifa balaa, almost wote!Kibacha mzee wa Bus. law sijui bado yupo?Hahaha, vp kibacha