witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
KweliiMimi nili disco IFM ila nimetoka kimaisha.
Nasikia waalimu wa IFM wanawalala sana wanafunzi pale IFM
KweliiMimi nili disco IFM ila nimetoka kimaisha.
Nasikia waalimu wa IFM wanawalala sana wanafunzi pale IFM
Kuna yule Professa mifano yake ni ya mapenzi tu hahahKwelii
KAMA NILISOMA IFM ILA HAPO SEHEMU SIPAJUIHahaha ndio maana mkaambiwa huu uzi ni wa waliosoma IFM.
JADILI MATATIZO NA RAHA ZENU HAPATupo hatukuona uzi aise
hahahah duh sawaEneo la kuingilia IFM opposite na geti la makumbusho,
hahahah mkuu hilo neno jipya kwanguHahaha!! Yaani wew kweli hujasoma ifm maana huwezi kuacha kujua hilo neno!!
Salam wakuu,
Nimefungua uzi huu maalum kwa wakuu mbali mbali ambao tulipitia pale ifm kuweza kukutana hapa kujuliana hali na kufahamu mawili matatu na kushare experience mbalimbali kuhusu maisha at ifm na life after ifm. Karibuni wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, vp kibachaSiwezi msahau doriye ...... yule mpuuz alitutesa saana
Mkuu umesoma IFM afu huyajui hayo maeneo ya screen saver na Airport?screen saver ni zipi mkuu!?/
Kupita Mwambuli?Siwezi msahau doriye ...... yule mpuuz alitutesa saana
Hahaha, vp kibacha
Kupita Mwambuli?
Weee wasemaa sisi tupo mkuuuHaahaah JF hakuna waliosoma IFM
Ulipima liniii mkuuu au ulikuwa unakulaa tuuIFM nimekula sana totozi pale
Kao mwanafunzi wakeee huyoooSiwezi msahau doriye ...... yule mpuuz alitutesa saana