IFM alumni...!!!!

IFM alumni...!!!!

Nimesikitika Sana kuhusu bukwimba
Alianza credo nafikiri Credo alivyotoka ndo akaja Bukwimba simfahamu Bukwimba pia kuna mbabu alikuwa anaitwa Nguma alitufundisha auditing nafikiri alikuwa anakunywa konyagi balaa na ana hasira mda wowote anaweza kukudukua konzi ukiwa hujaelewa,Nampenda sana Babu Nkoba very Humble person
 
Alianza credo nafikiri Credo alivyotoka ndo akaja Bukwimba simfahamu Bukwimba pia kuna mbabu alikuwa anaitwa Nguma alitufundisha auditing nafikiri alikuwa anakunywa konyagi balaa na ana hasira mda wowote anaweza kukudukua konzi ukiwa hujaelewa,Nampenda sana Babu Nkoba very Humble person
Haha eti atakudukua konzi...Mimi credo ndo simkumbuki
 
Yonazi anazidi kupata mashavu tu kwenye serekali ya magu...anaroho nzuri sana yule jamaa Mungu amzidishie
 
aiseeee usinkumbushe yule mbaba ndo wa kwanza kunila kichwa business law
Nashukuru hakuwahi kutufundisha. Alisababisha rafiki yangu ahame chuo maana alimshika halafu akaleta zile zake zileeeeee. Rafiki yangu akaona upuuzi arudie mwaka halafu mwalimu yule yule bora ahame tu
 
Chuo cha wajanja IFM wanaotoka pale wanamaisha full UDSM shamba kule wanafundishwa maisha na wtoto wa IFM kwanza kuishi maisha ya IFM ni mtihani tosha unapisha na mitoto mikaliiii kama haijazaliwa
Imeshushwa eeh
 
Mwambuli hafai mnyakyusa sijui anasifa sana mpaka walimu wenzie hua wanammaindi yan
Ndo maana hanenepi yule kwa sifa. amu mwambie rafiki ako apunguze
wewe itakuwa unapenda wanawake wazuri wazuri sana hongera
Anawapenda hatari huyo.
Nipo nipo hapa.
Ungeenda kusoma pale uone kama semester ya kwanza tu hujadisco
Aaah wapi. Hamna chuo kigumu wala kirahisi ni akili yako tu na kujitambua. Mi na bata zangu zote zile nilipata supp moja tu tena third year kwenye auditing ya mwambuli.
kucoment kwenye thread ya utoto nao ni utoto
Wewe hukufika chuo ?
Maana kamind kweli
 
Halafu balaa ni kwamba nyuma yale ndio makao makuu ya jeshi la magereza
Wewe chimbo lako lilikuaga wapi??
Hivi mwambuli alikua ni int. Finance eeh?
Accounts
Dah noma sana, ningekuwa naweza ningerudi IFM kusoma Phd (Kama ipo)
Rudi tuu
Mi narudi for Msc.Finance
Natamani hatari. Ngoja nijipange pange nirudi shule.
jiloge ukatishe pale wanapopandisha au kushusha ile bendera wakuone.. wakimaliza wanakuungia..
mungu akipenda tutakuwa pamoja
Vizuri
Naskia ukiwa enrolled IFM hupati mkopo??
Uongo huo. Mimi nilipataga mbona tena hela ya kutosha tuu
Natishwa hadi najuta why nimeapply pale bora ningeapply youdii na mzumbe pekee
Kuwa na amani
camp nyuma ya block d ilikua anaitwa backchaa,wewe ata jina ulijui ulikua wakupita tu,chimbo la tangu enzi hizo kina rado na cpwaa
Backchaa nilikua napaona kama kituo cha polisi
Yonazi anazidi kupata mashavu tu kwenye serekali ya magu...anaroho nzuri sana yule jamaa Mungu amzidishie
Yonazi ndo nani??
 
donlucchese nikakumbana tena na supp ya mkenda taxation sema nikaappleal nikachomoka,nikakumbana na Management ya Zawadi ila walimu wa pale ni shida mtu anawala vichwa zaidi ya robo 3 yaani yeye kuandika 0% anaona kawaida tu daaaa
Aisee, mkenda aliwakamata washkaj zangu kibao daah hafai yule. Bora hata sisi yule mama wetu wa BBF ilikuaga bata tu
 
Ndo maana hanenepi yule kwa sifa. amu mwambie rafiki ako apunguze Anawapenda hatari huyo. Nipo nipo hapa.Aaah wapi. Hamna chuo kigumu wala kirahisi ni akili yako tu na kujitambua. Mi na bata zangu zote zile nilipata supp moja tu tena third year kwenye auditing ya mwambuli.Maana kamind kweli
Nlimaanisha asiichukulie poa ifm, nini sup. Watu tumenyoosha GPA ukiangalia trans unakubali
 
Wewe chimbo lako lilikuaga wapi??Accounts Rudi tuuNatamani hatari. Ngoja nijipange pange nirudi shule.VizuriUongo huo. Mimi nilipataga mbona tena hela ya kutosha tuuKuwa na amaniBackchaa nilikua napaona kama kituo cha polisiYonazi ndo nani??
Chimbo langu lilikua kule ocean road
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom