Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Wewe na warembo wa IFM
Nishaokoka, nimeacha hizi mambo.
Ila kwako duh, shetani kanishinda.
Wewe na warembo wa IFM
Kwanza mimihadi leo sielewi imekuwaje wakaoana maana hawakuwa na mahusiano bidada Instgram kampamba tu yule mbabu aisee mbabu ana roho ngumu yule na majibu mabayaNasikia na mke wake alikuaga anapata supp eti ya somo lake![]()
Hapa unamuongelea Sinde,yule ni swala tano halafu muungwana sana mtuAisee we acha nimemiss sana babu bishangazi mzee wa cost accounting
Endelea kusali umfukuze shetani asikutie dhambini.Nishaokoka, nimeacha hizi mambo.
Ila kwako duh, shetani kanishinda.
Kwanza mimihadi leo sielewi imekuwaje wakaoana maana hawakuwa na mahusiano bidada Instgram kampamba tu yule mbabu aisee mbabu ana roho ngumu yule na majibu mabaya






. Aliona maisha bidadaMhhhh mimi siwezi jamani kuwa na mtu mwenye roho ngumu hata awe nani,namshukuru mwanaume anautu sana yule babu hapana jamani. Aliona maisha bidada
respect kwako mzigua ,taxation mziki wake sio wa mchezo mchezoNah nilipiga taxation.
Endelea kusali umfukuze shetani asikutie dhambini.
Shukrani mkuu ila mi naona ilikua kawaida tu mziki wake.respect kwako mzigua ,taxation mziki wake sio wa mchezo mchezo
Maombi yalishashindwa, ila nimeshaiungama hii dhambi in advance.
Na malipizi nimefanya kabisa.





ya mwaka wa pili ilikua heavy kwa wengiShukrani mkuu ila mi naona ilikua kawaida tu mziki wake.
ndo maana wahuni wa backchaa walikua wanavuta mno bangi na handout mkononi, mambo ya bangi ni bangue ,nimalize handout zote hahaha,kule mzigua ulikua hausogei kabisaShukrani mkuu ila mi naona ilikua kawaida tu mziki wake.
Mwaka wa pili palikua kidogo pazito na ndo paliponipa akili ya kuconcentrate na shuleya mwaka wa pili ilikua heavy kwa wengi
Kule nimeanza kuja third year mwishoni nilikua namfuata bby wangu wa class anipige kipindindo maana wahuni wa backchaa walikua wanavuta mno bangi na handout mkononi, mambo ya bangi ni bangue ,nimalize handout zote hahaha,kule mzigua ulikua hausogei kabisa



hahaha kule hatari ,watu alafu wanajiamini balaa ,wanavuta safi kabisa bila hofu na mtu mpaka mapusher kabisa walikua pale paleKule nimeanza kuja third year mwishoni nilikua namfuata bby wangu wa class anipige kipindi![]()
Sijui walikua wanajiamini nini kwanza.hahaha kule hatari ,watu alafu wanajiamini balaa ,wanavuta safi kabisa bila hofu na mtu mpaka mapusher kabisa walikua pale pale



Mahafali ya 37 ni Mwaka 2011.Dogo umemaliza na mke wangu kama ulisoma accountingDuuh! Nimekwisha sahau habari za mahafari ya 37,anyway mimi nilihitimu mwaka 2012.
Nilikutana naye udsm anafanya PhD nowaaaaaa mimi nlichomoa appeal jamaa ana roho ngumu ila mlaini sana yule kwenye chura