Kikwete Afanye Nini Katika Utawala Wake ili aweze kujinusuru 2010, Wana JF tumezungumza mengi sana kuhusu utawala wa Rais Jakaya M.Kikwete sasa katika yale mapungufu tuliyo yaona katika safu ya Baraza la Mawaziri ,Ma DC, Ma RC, Katibu Wakuu, na Waziri Mkuu,Wakurugenzi, Safari za Nje, Mikataba,Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Mapanki, Ahadi za Kipindi Cha Kampeni, Madarasa, Umeme, Ajira kwa vijana, Wastaafu na Wazee,Kakina Mama na Watoto, Afya, Elimu, Richmond na Rada na mengine mnisaidie,
kiongozi wetu mpendwa, kipenzi cha wengi ,changuo la mungu, kisura,mpenda watu, afanye nini kulinusuru taifa letu.
Sasa tujadili hilikwa kina ninaomba kutoa hoja......
Heshima wanaJF
Hasara kaleta changamoto nzuri ambayo wengi walikuwa wanafikiria siku wakimuona JK watamuuliza au kumpa ushauri lakini kumuona ni vigumu kwa nafasi aliyo nayo ,
mimi binafisi na nina machache ya kuongea na mkuu huyu kama ingewezekana au tupate E-mail yake hapa JF au namba ya simu basi aweze kusikia sauti zetu,
rais wetu hana makosa au ajajulishwa kwamba tumefikia wapi kivitendo atakuwa anakaratasi mengi ofisini kwake yenye vitendo au kazi ambazo hazijafanyika ili kumpamba,
serikali ya JK imepoteza muelekeo pale alipo onyesha ukali baada ya kuingia madarakani,alikujaribu kuwa karibu na wapiga kura na kujenga uwadui na wasaidizi aliyo wateuwa , sasa hii nikama mke mwenye tabia baya alafu umegundua na amejua anachokifanya sasa anakuonyesha kile ambacho unakipenda,
wasaidizi wa Kikwete wanamuonyesha kile anachotaka akijue ,akuna kitu kibaya kama mtu kujua uzaifu wako, ndiyo sababu anapo safiri wote wako AIR PORT awabanduki kumpelekea umbeya, muungwana anapenda kusikia mambo kama hayo ; siyo ripoti za kazi,
jingine 80% ya wasaidizi wake wanamjua fika, awezi ku-act kwao wanamjua ilopia ni kosa kufanya kazi na watu ambao uwezi kuwakemea, kila waziri au hasara aliye wataja hapo juu kwa vyeo anahistoria ya kuwa na JK mahali fulani na kufurai pamoja, hapo kazi itafanyika kweli,
kwa sasa hivyi wako watu 600 wanatakiwa kusaidiwa na JK wanaokiri kumusaidia kwenye kampeni wengine tukiwa wamoja wapo, je muheshimiwa hutu atayaweza na kazi itafanyika na hizo nafasi za kuwasaidia zipo?
ninafikiri JK arudinjia panda aanze safari yake upya bado
mapema sana ili asome ramani upya akizidi kwenda mbele atapotea akija kurudi nyuma ni 2010 muda umeisha anala kutuambia wanaJF na watanzania kwaujumla,
jingene
changa kabisa wasaidizi wako wamepanga kukumaliza kisiasa wewe umekuwa mkali sana sasa wanakuwachia ufanye mwenyewe wao wanaendelea kutumia pesa za walipa kodi kufanya kampeni za kisiri wanajua siri ya wewe kushinda,
haiwezekani mwanasheria mkuu kupitisha mikataba mibovu na mikitu unakikemea kila siku RUSHWA na imefanywa mbele ya macho yako mkuu swali hilo pesa za hiyo mikata ndizo zitakazo kumaliza 2010,
muheshimiwa zamira yako ilikuwa nzuri sana kipindi chote cha kampeni tunajua wewe siyo mfanya biashara lakini wasaidizi wako wote ni wafanya biashara wanajua pesa wewe umezoea kutumikia wananchi nivitu viwili haviingiliani, ndiyo sababu wana sema wewe ni mtoto wa kiswahili unavuta raha tu na familia yako,
sasa mkuu ukuona kabisa watu wana weza kuwatumikia wananchi,wenye uchungu na hii nchi, umeishi na mwalimu nyerere, mbona yeye amekufa masikini kwa mwalimu alikuwa apendipesa, angalia watoto wake akuna ayeyoko kwenye serikali yako na mama nyerere amekufuata mara kibao kukusalimia mkuu hile akuwa salam alikuwa anakukumbushia umpe atamtoto wake mmoja nafasi ili ile heshima ya baba wa taifa isipotee na jina liwepo hewani,
huyo mwingine rose marry ameamua kuotesha mboga kwenye madoo ili na wewe ulione hilo, mimi siyo msemaji wa familia ya baba wa taifa, hivi nivitu ambayo vyakuangalia,
kama rais yeyote ni mtumishi wa umma, makamu wa rais na waziri mkuu ni lazima watumikie umma 100% kama wote ni wanya biashara wote wawe ni wafanya biashara kama wamarekani kama ni mafia basi wote wawe mafia.
hapa kwetu ni zigizaga rais ajui pesa, waziri mkuu anajua pesa, makamu wa rais ajui pesa, kuna viongozi wafanya biashara kama waziri mkuu rushwa haita isha mpaka yesu arudi,
muheshimiwa ujapotea sana unaweza kurudi njia panda na ukaanza tena na utamaliza vizuri, tuko pamoja na una suport kubwa sana kwa watanzania akuna mtuwakujilinganisha na wewe lakini usibweteke na hili,kuna ahadi ujakamilisha lakini tuna kupa muda wasaidizi wako wanatutia kichefu chefu sana haswa waziri mkuu na vitabia tabia vyake alivyo anzisha, japo kuwa kazi anafanya mwambie awache kabisa, msafishe la richmond na rada kwanza.
ili uwe safi,