Huyu ndiye ‘the real’ Kikwete!

mjadala huu ni mrefu ni mtamu na wachangiaji nwameeleza vizuri,kama kiongozi JK amekuwa na mazuri yake na amekuwa na mapungufu yake,na wakati huo huo watendaji wa kawaida wa serikali wamekuwa na mapungufu yao ambayo kwa kiwango kikubwa yameshusha maendeleo hapa nchini. wengi mnachangia lakinia aidha hampo tanzania au hampo serikalini,kwetu sie tuliopo serikali za mitaa mawilayani tunaweza kuwapa picha kamili,ila kiukweli japo kidogo JK ameleta maendeleo tusiwe that much stereotyped,mfano idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni imeongezeka sana ingawa watu mnalalamika uhaba wa wahadhiri sijui kama mlisoma bongo,ila kwa sie tuliosoma bongo tunafahamu ni kwa namna gani wahadhiri wenyewe wamechangia kupoteza watu kwa kuifanya elimu iwe ngumu wakati kiukweli haiko hivyo,

serikali kuu inajitahidi sana kuzisaidia local goverments maana local govts ndizo mhimili mkuu wa maisha ya kila siku ya watanzania kuanzia afya,maji,elimu,barabara,kilimo ambazo ndo sekta kuu zinazomgusa mwanachi directly. lakini ni ukweli usiopingika kuwa serikali za mitaa nyingi ni dhaifu,watendaji wake wengi ndio wala rushwa wakubwa,shule hazijengwi inavyostahili,zahanati hazijengwi ipasavyo,mfamo pesa za ujenzi wa zahanati na ukarabati za mpango wa afya ya msingi MMAM,wakati mwingine zinaliwa na wajanja wachache,zabuni za barabara zinatolewa hovyo na ujenzi wa barabara wenyewe ni usanii mtupu,zikiletwa pembejeo au mbolea watendaji wa vijiji/kata au maafisa ugani hao ndio wanaoziuza badala ya kufikisha kwa wakulima,je hapo bado wa kulaumiwa ni JK au ni sisi watendaji tusio na maadili kwenye kazi yetu?watanzania ni wanafiki wakubwa hamuachi kumsifia nyerere lakini kwenye failure zake mnasema sio yeye isipokuwa watendaji ndo walimwangusha,kwa nini msiseme pia hata JK anaangushwa na sie watendaji wenyewe? wote tunafahamu kuwa TRA wamekuwa wakilea wakwepa kodi,kiasi kwamba wao wanachangia mapato ya serikali kutokuwa juu,
mimi simfagilii JK nilimpinga tangia 2005, na kura sikumpigia by then nilikuwa chuoni,leo nipo serikalini naona picha kamili ilivyo, nafahamu kabisa watendaji wa serikali ndio vikwazo kwa maendeleo ya kweli
mtasema ni jukumu la serikali kuukemea uchafu wote huo lakini serikali ni nani?watu ndio wachafu so ni jukumu letu sisi watendaji tutimize/tuplay our parts hapo ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana
 
mjadala huu ni mrefu ni mtamu na wachangiaji wameeleza vizuri,kama kiongozi JK amekuwa na mazuri yake na amekuwa na mapungufu yake,na wakati huo huo watendaji wa kawaida wa serikali wamekuwa na mapungufu yao ambayo kwa kiwango kikubwa yameshusha maendeleo hapa nchini. wengi mnachangia lakini aidha hampo tanzania au hampo serikalini,kwetu sie tuliopo serikali za mitaa mawilayani tunaweza kuwapa picha kamili,ila kiukweli japo kidogo JK ameleta maendeleo tusiwe that much stereotyped,mfano idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni na wanaopata mikopo imeongezeka sana ingawa watu mnalalamika uhaba wa wahadhiri sijui kama mlisoma bongo,ila kwa sie tuliosoma bongo tunafahamu ni kwa namna gani wahadhiri wenyewe wamechangia kupoteza watu kwa kuifanya elimu iwe ngumu wakati kiukweli haiko hivyo,

serikali kuu inajitahidi sana kuzisaidia local goverments maana local govts ndizo mhimili mkuu wa maisha ya kila siku ya watanzania kuanzia afya,maji,elimu,barabara,kilimo ambazo ndo sekta kuu zinazomgusa mwananchi directly. lakini ni ukweli usiopingika kuwa serikali za mitaa nyingi ni dhaifu,watendaji wake wengi ndio wala rushwa wakubwa,shule hazijengwi inavyostahili,zahanati hazijengwi ipasavyo,mfamo pesa za ujenzi wa zahanati na ukarabati za mpango wa afya ya msingi MMAM,wakati mwingine zinaliwa na wajanja wachache,zabuni za barabara zinatolewa hovyo na ujenzi wa barabara wenyewe ni usanii mtupu,zikiletwa pembejeo au mbolea watendaji wa vijiji/kata au maafisa ugani hao ndio wanaoziuza badala ya kufikisha kwa wakulima,je hapo bado wa kulaumiwa ni JK au ni sisi watendaji tusio na maadili kwenye kazi yetu?watanzania ni wanafiki wakubwa hamuachi kumsifia nyerere lakini kwenye failure zake mnasema sio yeye isipokuwa watendaji ndo walimwangusha,kwa nini msiseme pia hata JK anaangushwa na sie watendaji wenyewe? wote tunafahamu kuwa TRA wamekuwa wakilea wakwepa kodi,kiasi kwamba wao wanachangia mapato ya serikali kutokuwa juu,
mimi simfagilii JK nilimpinga tangia 2005, na kura sikumpigia by then nilikuwa chuoni,leo nipo serikalini naona picha kamili ilivyo, nafahamu kabisa watendaji wa serikali ndio vikwazo kwa maendeleo ya kweli,
mtasema ni jukumu la serikali kuukemea uchafu wote huo lakini serikali ni nani?watu ndio wachafu so ni jukumu letu sisi watendaji tutimize/tuplay our parts hapo ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana
 
Naona timu ya Uhuru publications sasa imetia nanga JF.

Huwezi kuamini kuwa mtu mwenye uelewa wa kiwango chochote kile anaweza kuandika utumbo kama huo hapo juu. Hivi unakataa kuwa si Kikwete na serikali yake ndio waliziwezesha Richmond, Kagoda, Deep Green, Tangold, Kiwira, Meremeta and oh, the list goes on !

Unawataka wakulima na wananchi kuwa waadilifu kwanza ndio viongozi wawe waadilifu, kweli una akili timamu na unajua kweli unachosema - jamani ni uenda wazimu gani unaweza kumfanya mtu atamke maneno ya kijinga kama haya. Unajua kweli wajibu wa serikali ama umeamua tu kuongea kama aliyetoka kukamata matap tap yakamkaa kisawasawa - unadai kwa mfano viongozi wetu wataacha tu kutibia kama nicolson naye ataacha wizi wake !

Naona JF inaanza kuwa kama kokoro kwani na akina nicolson nao wamo, tumpate wapi Ole tip tip atoe adabu !

Dah! Braza/ Dada, Mama/Baba naona umemjibu mwanajamii kwa hasira sana bila kutuliza akili yako na kuwaza kwa mapana zaidi. Jiulize kwanza maswali haya kabla ya kujibu hoja.
Je, wewe umewahi kutoa rushwa?
Je, wewe ni mchapakazi muadilifu?
Je, kutoka kwenye jamii yako, raia wote ni waadilifu wanaofuata sheria?
Je, kiongozi anotoka wapi?

Jamani wa-tz tuache longo longo nyingi instead tubadilike na tuwe watendaji basi. Acheni kuwalalamikia viongozi mliowachagua wenyewe coz ni product ya raia hao. Hata wewe unaweza kuwa kiongozi ukitaka! Binafsi, mi sipendezewi kabisa na uongozi wa kiafrika. Lakini si ndivo tulivowakuza ndugu zetu hawa? Ikiwa kama wewe hupokei wala kutoa rushwa, na unafanya kazi yako kwa uadilifu na umakini, ukafuata sheria husika inapobidi, basi mtoto wako atafuata nyayo zako. Na si ajabu huyo mtoto wako akaja kuwa kiongozi na kuwa kiongozi bora. Mtoto wa nyoka ni nyoka, na mtoto wa mwizi atakuwa mwizi tu! Coz sio ndivo alivokuzwa? Jamani wa-tz inabidi tubadilike sisi kwanza. Tukibadilika sisi kuanzia ngazi ya familia tutapata viongozi bora ambao wataongoza nchi kiuadilifu na matokeo yakaonekana. Hii haiwezi kutokea leo wala kesho but CHANGE IS POSSIBLE, JUST PLAY YOUR PART. It will take another 5 centuries for the outcome to be vivid.
 
mjadala huu ni mrefu ni mtamu na wachangiaji wameeleza vizuri,kama kiongozi JK amekuwa na mazuri yake na amekuwa na mapungufu yake,na wakati huo huo watendaji wa kawaida wa serikali wamekuwa na mapungufu yao ambayo kwa kiwango kikubwa yameshusha maendeleo hapa nchini. wengi mnachangia lakini aidha hampo tanzania au hampo serikalini,kwetu sie tuliopo serikali za mitaa mawilayani tunaweza kuwapa picha kamili,ila kiukweli japo kidogo JK ameleta maendeleo tusiwe that much stereotyped,mfano idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni na wanaopata mikopo imeongezeka sana ingawa watu mnalalamika uhaba wa wahadhiri sijui kama mlisoma bongo,ila kwa sie tuliosoma bongo tunafahamu ni kwa namna gani wahadhiri wenyewe wamechangia kupoteza watu kwa kuifanya elimu iwe ngumu wakati kiukweli haiko hivyo,

serikali kuu inajitahidi sana kuzisaidia local goverments maana local govts ndizo mhimili mkuu wa maisha ya kila siku ya watanzania kuanzia afya,maji,elimu,barabara,kilimo ambazo ndo sekta kuu zinazomgusa mwananchi directly. lakini ni ukweli usiopingika kuwa serikali za mitaa nyingi ni dhaifu,watendaji wake wengi ndio wala rushwa wakubwa,shule hazijengwi inavyostahili,zahanati hazijengwi ipasavyo,mfamo pesa za ujenzi wa zahanati na ukarabati za mpango wa afya ya msingi MMAM,wakati mwingine zinaliwa na wajanja wachache,zabuni za barabara zinatolewa hovyo na ujenzi wa barabara wenyewe ni usanii mtupu,zikiletwa pembejeo au mbolea watendaji wa vijiji/kata au maafisa ugani hao ndio wanaoziuza badala ya kufikisha kwa wakulima,je hapo bado wa kulaumiwa ni JK au ni sisi watendaji tusio na maadili kwenye kazi yetu?watanzania ni wanafiki wakubwa hamuachi kumsifia nyerere lakini kwenye failure zake mnasema sio yeye isipokuwa watendaji ndo walimwangusha,kwa nini msiseme pia hata JK anaangushwa na sie watendaji wenyewe? wote tunafahamu kuwa TRA wamekuwa wakilea wakwepa kodi,kiasi kwamba wao wanachangia mapato ya serikali kutokuwa juu,
mimi simfagilii JK nilimpinga tangia 2005, na kura sikumpigia by then nilikuwa chuoni,leo nipo serikalini naona picha kamili ilivyo, nafahamu kabisa watendaji wa serikali ndio vikwazo kwa maendeleo ya kweli,
mtasema ni jukumu la serikali kuukemea uchafu wote huo lakini serikali ni nani?watu ndio wachafu so ni jukumu letu sisi watendaji tutimize/tuplay our parts hapo ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana
Mwanadamu kwa hulka ni mbinafsi. Usitegemee mwanadamu ajali wengine bila kudhibitiwa au kusaidiwa ku-discipline egoism yake. Kazi ya kudhibiti ubinafsi wa raia/ watendaji wa serikali ni kazi ya serikali yenyewe. Lazima kuwe na taasisi za kudhibiti mianya ya rushwa, na kuhakikisha taasisi hizi zinafanya kazi yake sawasawa. Hii ni kazi ya serikali yoyote duniani. Hata katika nchi zilizoendelea si kwamba wale watu ni watakatifu ndo maana wanawajibika na kufikia maendeleo waliyo nayo leo. Ni kwa sababu serikali na taasisi zake zinawabana na kuwaajibisha watendaji wake ndo maana mambo yao yanaenda. Kumbe hapa kwetu, kuna udhaifu mkubwa katika hilo. Serikali haiwezi kukwepa lawama kwa hilo kwani ni kazi yake. Kumbe hao watendaji wabovu wanapaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria kwa mapungufu yao.
 
Dah! Braza/ Dada, Mama/Baba naona umemjibu mwanajamii kwa hasira sana bila kutuliza akili yako na kuwaza kwa mapana zaidi. Jiulize kwanza maswali haya kabla ya kujibu hoja.
Je, wewe umewahi kutoa rushwa?
Je, wewe ni mchapakazi muadilifu?
Je, kutoka kwenye jamii yako, raia wote ni waadilifu wanaofuata sheria?
Je, kiongozi anotoka wapi?

Jamani wa-tz tuache longo longo nyingi instead tubadilike na tuwe watendaji basi. Acheni kuwalalamikia viongozi mliowachagua wenyewe coz ni product ya raia hao. Hata wewe unaweza kuwa kiongozi ukitaka! Binafsi, mi sipendezewi kabisa na uongozi wa kiafrika. Lakini si ndivo tulivowakuza ndugu zetu hawa? Ikiwa kama wewe hupokei wala kutoa rushwa, na unafanya kazi yako kwa uadilifu na umakini, ukafuata sheria husika inapobidi, basi mtoto wako atafuata nyayo zako. Na si ajabu huyo mtoto wako akaja kuwa kiongozi na kuwa kiongozi bora. Mtoto wa nyoka ni nyoka, na mtoto wa mwizi atakuwa mwizi tu! Coz sio ndivo alivokuzwa? Jamani wa-tz inabidi tubadilike sisi kwanza. Tukibadilika sisi kuanzia ngazi ya familia tutapata viongozi bora ambao wataongoza nchi kiuadilifu na matokeo yakaonekana. Hii haiwezi kutokea leo wala kesho but CHANGE IS POSSIBLE, JUST PLAY YOUR PART. It will take another 5 centuries for the outcome to be vivid.
Uliyoyandika hapa kwa kiasi kikubwa ni mahubiri ya Kanisani au Msikitini. Unaita watu watubu, wajirudi wabadilike. Sawa! Lakini wito huu wa toba naamini sio uwanja wa serikali. Ni uwanja wa viongozi wa dini. Serikali makini inapaswa kuwa na mikakati yake ya kuwadhibiti wala rushwa, wakwepa kodi, nk kwa kuimarisha taasisi zake. Kusema tu watu wabadilike haitoshi lazima kuwabana inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria. Tatizo kubwa liko hapo.
 
Sorry lakini JK anahusika vipi kwani wakati wa kuzisign hizi contracts waziri mhusika alikuwa wapi?Katibu wake je? kule wizara ya Mipango na Fedha je? sasa kama JK atalaumiwa kwa kila kitu sidhani kama tutafika kwa sababu serikali ni kubwa na najua tunajuwa wahusika ni akina nani na kazi ya media ni kuwauliza hao wahusika pamoja na TANZA TRADE(USA) kama walihusika ndio maana ya SPECIALIZATIONS AND DIVISONS OF LABOUR
hapo kwenye bold na mie najiuliza kwa nini asilaumiwe ilhali USALAMA wapo na wanamjuza kila kitu?
 
Kikwete amekua rais wa ahadi ss hatutaki ahadi tunataka kweli hata kama atafanya jambo moja ila tuone mafanikio yake.sio ahadi lundo ambazo hata moja haitekelezeki.inaboa
 
Dawa ya ahadi hewa ni kumtoa kikwete madarakani...ahadi zake tutazitimiza wenyewe kwa kuleta umoja wa kweli kitaifa.sio indidually.team work ya ccm ilishapungua kitambo,watu wamebaki na makundi.we need changes.
 
mjadala huu ni mrefu ni mtamu na wachangiaji nwameeleza vizuri,kama kiongozi JK amekuwa na mazuri yake na amekuwa na mapungufu yake,na wakati huo huo watendaji wa kawaida wa serikali wamekuwa na mapungufu yao ambayo kwa kiwango kikubwa yameshusha maendeleo hapa nchini. wengi mnachangia lakinia aidha hampo tanzania au hampo serikalini,kwetu sie tuliopo serikali za mitaa mawilayani tunaweza kuwapa picha kamili,ila kiukweli japo kidogo JK ameleta maendeleo tusiwe that much stereotyped,mfano idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni imeongezeka sana ingawa watu mnalalamika uhaba wa wahadhiri sijui kama mlisoma bongo,ila kwa sie tuliosoma bongo tunafahamu ni kwa namna gani wahadhiri wenyewe wamechangia kupoteza watu kwa kuifanya elimu iwe ngumu wakati kiukweli haiko hivyo,

serikali kuu inajitahidi sana kuzisaidia local goverments maana local govts ndizo mhimili mkuu wa maisha ya kila siku ya watanzania kuanzia afya,maji,elimu,barabara,kilimo ambazo ndo sekta kuu zinazomgusa mwanachi directly. lakini ni ukweli usiopingika kuwa serikali za mitaa nyingi ni dhaifu,watendaji wake wengi ndio wala rushwa wakubwa,shule hazijengwi inavyostahili,zahanati hazijengwi ipasavyo,mfamo pesa za ujenzi wa zahanati na ukarabati za mpango wa afya ya msingi MMAM,wakati mwingine zinaliwa na wajanja wachache,zabuni za barabara zinatolewa hovyo na ujenzi wa barabara wenyewe ni usanii mtupu,zikiletwa pembejeo au mbolea watendaji wa vijiji/kata au maafisa ugani hao ndio wanaoziuza badala ya kufikisha kwa wakulima,je hapo bado wa kulaumiwa ni JK au ni sisi watendaji tusio na maadili kwenye kazi yetu?watanzania ni wanafiki wakubwa hamuachi kumsifia nyerere lakini kwenye failure zake mnasema sio yeye isipokuwa watendaji ndo walimwangusha,kwa nini msiseme pia hata JK anaangushwa na sie watendaji wenyewe? wote tunafahamu kuwa TRA wamekuwa wakilea wakwepa kodi,kiasi kwamba wao wanachangia mapato ya serikali kutokuwa juu,
mimi simfagilii JK nilimpinga tangia 2005, na kura sikumpigia by then nilikuwa chuoni,leo nipo serikalini naona picha kamili ilivyo, nafahamu kabisa watendaji wa serikali ndio vikwazo kwa maendeleo ya kweli
mtasema ni jukumu la serikali kuukemea uchafu wote huo lakini serikali ni nani?watu ndio wachafu so ni jukumu letu sisi watendaji tutimize/tuplay our parts hapo ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana

Serikali haisaidii bali inatimiza wajibu wake wa kumuhudumia mwananchi kwa kutumia makusanyo ya kodi. Kwenye utendaji wa kila siku wa Serikali, kuna majukumu yanayotekelezwa na Serikali kuu kupitia wizara zake na kuna majukumu yanayotekelezwa na Serikali za mitaa.
 
but let me ask you one thing guys. Hivi mnajua kwamba hata ashuke malaika kutoka mbinguni kuja kuwatawala watanzania bado hali hii ya manung'uniko, ho sijui viongozi ni wabaya na mengineo, haitakwisha? watanzania tuwe serious na maisha especially katika level ya familia na katika jamii inayotuzunguka. Kitu kimoja ambacho mimi ninaamini katika hicho ni kwamba hata wanoongozwa wana asilimia 90 ya kufanya uongozi uwe mbaya na wa kuchosha kwa wale wanaowaongoza. Sasa niulize tena swali jingine ni nani mnayemzania anaweza kuiongoza hii tanzania kuelekea kwenye kilele cha mafanikio? ni wewe au ni yule? mwizi au polisi magereza? mgonjwa au daktari ni sisi sote achane na mambo ya kupoteza wakati na badala yake fanya kazi kwa bidii na pale inapobidi chukuwa hatua ya kuwa wewe kiongozi kuzuia matukio ya kizembe.

mfano mzuri ni huu hapa kikwete na serikali yake ndio huwa ina agiza wauwaji wa wa albino kufanya vitendo vya kishetani? au yeye ndie anaye apanga njama na wote wanafanya ushenzi ushenzi wao na hatimaye wanalalamika maisha magumu kutokana na uongozi mbaya.
Nasema wewe mwananchi tena mkulima na mfanyabiashara iweni waadifuli kwanza ndio viongozi wenu watakuwa waadilifu


UCHUMIM WA NCHI HUJENGWA NA PATO LA TAIFA LITOKANALO NA VIWANDA,MADINI,KILIMO ,UVUVI ,etc etc.
JE ????????????? JK AMEKUWA MSAADA KTK HAYO AU MZIGO?????????????????????1
 
mjadala huu ni mrefu ni mtamu na wachangiaji nwameeleza vizuri,kama kiongozi JK amekuwa na mazuri yake na amekuwa na mapungufu yake,na wakati huo huo watendaji wa kawaida wa serikali wamekuwa na mapungufu yao ambayo kwa kiwango kikubwa yameshusha maendeleo hapa nchini. wengi mnachangia lakinia aidha hampo tanzania au hampo serikalini,kwetu sie tuliopo serikali za mitaa mawilayani tunaweza kuwapa picha kamili,ila kiukweli japo kidogo JK ameleta maendeleo tusiwe that much stereotyped,mfano idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni imeongezeka sana ingawa watu mnalalamika uhaba wa wahadhiri sijui kama mlisoma bongo,ila kwa sie tuliosoma bongo tunafahamu ni kwa namna gani wahadhiri wenyewe wamechangia kupoteza watu kwa kuifanya elimu iwe ngumu wakati kiukweli haiko hivyo,

serikali kuu inajitahidi sana kuzisaidia local goverments maana local govts ndizo mhimili mkuu wa maisha ya kila siku ya watanzania kuanzia afya,maji,elimu,barabara,kilimo ambazo ndo sekta kuu zinazomgusa mwanachi directly. lakini ni ukweli usiopingika kuwa serikali za mitaa nyingi ni dhaifu,watendaji wake wengi ndio wala rushwa wakubwa,shule hazijengwi inavyostahili,zahanati hazijengwi ipasavyo,mfamo pesa za ujenzi wa zahanati na ukarabati za mpango wa afya ya msingi MMAM,wakati mwingine zinaliwa na wajanja wachache,zabuni za barabara zinatolewa hovyo na ujenzi wa barabara wenyewe ni usanii mtupu,zikiletwa pembejeo au mbolea watendaji wa vijiji/kata au maafisa ugani hao ndio wanaoziuza badala ya kufikisha kwa wakulima,je hapo bado wa kulaumiwa ni JK au ni sisi watendaji tusio na maadili kwenye kazi yetu?watanzania ni wanafiki wakubwa hamuachi kumsifia nyerere lakini kwenye failure zake mnasema sio yeye isipokuwa watendaji ndo walimwangusha,kwa nini msiseme pia hata JK anaangushwa na sie watendaji wenyewe? wote tunafahamu kuwa TRA wamekuwa wakilea wakwepa kodi,kiasi kwamba wao wanachangia mapato ya serikali kutokuwa juu,
mimi simfagilii JK nilimpinga tangia 2005, na kura sikumpigia by then nilikuwa chuoni,leo nipo serikalini naona picha kamili ilivyo, nafahamu kabisa watendaji wa serikali ndio vikwazo kwa maendeleo ya kweli
mtasema ni jukumu la serikali kuukemea uchafu wote huo lakini serikali ni nani?watu ndio wachafu so ni jukumu letu sisi watendaji tutimize/tuplay our parts hapo ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana
Asante kwa kutuelewesha,umetufungua masikio.Wangekuwa na watumishiwa serekali mia,kama wewe,tungepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
 
hii thread nimeisoma imenifundisha vitu vingi sana! kuna member walivyokuwa wana comment 2006 kuhusu kikwete leo hii ni makada vihererhere wa CCM.yaani kama wakijisoma tena sijui watesemaje ,japo wengine wamebadili ID lakini mm nawajua
 
Back
Top Bottom