- Thread starter
- #41
😀😅🤣😂 Maybe????
😀😅🤣😂 Maybe????
Maybe🤷🏽♂️🤷🏽♂️😀😅🤣😂 Maybe????
Jamaa alifariki kwenye maandamanoSimuoni hapa JF
Yulo wapi?
Atakuwa alikula shaba October 29-31.Huenda ndiyo alikuwa Sheikh Sharif MajiniSimuoni hapa JF
Yulo wapi?
Hawezi kuwa Nape😀😅🤣😂 kwani huyu ni Nape? All is possible
Kama ni washenzi watu wanyamaze? After all who are you? Kuwa ex president ndiyo unakuwa immune to criticism oama unafira watu au watu wako wanafira watu, wanaua watu? Shenzi kabisa!
Yupo Bukheri wa Afya kwake Mbweni. Na kutokana na yaliyotokea 29Oktoba familia yake imemzuia kuwepo JF.Hawezi kuwa Nape
Huyu sote tunaweza kuwa tunamfahamu
Nimeandika kwa codes.Yupo Bukheri wa Afya kwake Mbweni. Na kutokana na yaliyotokea 29Oktoba familia yake imemzuia kuwepo JF.
Na inawezekana pia yumo humu kwa jina jingine. Ninachojua Mimi kwa hakika yupo hai na salama kabisa.
Nimezisoma ila hizo "codes" hazina uhusiano na johnthebaptist kwani ni watu wawili tofauti.Nimeandika kwa codes.
Umekwepa kuzinakili
Funika FunikaNimezisoma ila hizo "codes" hazina uhusiano na johnthebaptist kwani ni watu wawili tofauti.
johnthebaptist ni Classmate na Wassira "The Tyson" kwa umri wake hana sababu ya kuomba Green Card. Ila hana hizi shida zetu za kuwaza kesho atakula nini.Alipata GreenCard, ndio hao ICA wanawasaka huko Marekani, mda wowote wanarudishwa
Ameandamwa ssana , hajaemda kutafutavmaisha ila anataka utulivujohnthebaptist ni Classmate na Wassira "The Tyson" kwa umri wake hana sababu ya kuomba Green Card. Ila hana hizi shida zetu za kuwaza kesho atakula nini.
Mitaa ya yule mama ndiko na yeye nyumba yake kule Mbweni ilipo.