Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Watanzania sisi ni shida tu. Hivi tcra watafanya kazi hii bila kuwa serious allegations?

Nashauri fanya hivi:-

1. Fungua kesi polisi. Perhaps Wizi kwa njia ya mtandao.
2. Fuatilia kesi yako na ushahidi wowote ulionao utoe kwa polisi.
3. Polisi itawasiliana na makampuni ya simu/tcra ili kumsaka akajibu tuhuma zake.
4. Akisha kamatwa uwe tayari kumtolea ushahidi mahakamani.

Athari ya ombi lako kumshtaki huyu kwa tcra, hata kama watalifanyia kazi, hatopelekwa mahakamani kwa uelewa wangu. Labda watazizuia simu hizo lkn mtu huyo atatafta line nyingine kuendeleza utapeli wake.

Mkuu nimewaza sana kwa polisi wetu na TCRA wetu ni umiza kichwa utajikuta unaingia hasara mara mia, ndugu zetu watataka chochote hata kabla hawajaanza kazi! Na unaweza usisaidiwe kwa lolote, mh waziri Mwigulu Nchemba bado ana kazi ya ziada mpaka tuendelee kuwaamini hawa jamaa. Maana naweza juta zaidi kwa kujiongezea gharama, mh Mwigulu Nchemba nimeshampatia data za kutosha hope atatumia vijana wake kuweza kumkamata na atatutangazia hapa hapa. Naiamini hii serikali inafanyia kazi kila taarifa inayotolewa hapa jf Mwigulu Nchemba
 
KUWASAIDIA ZAIDI

JINA LINGINE ANATUMIA FB VICKY

JINA LINGINE FB ANATUMIA

VICKY DAUDY

MSHINDWE WENYEWE

Duuuu kweli! Sura na profile ni ile ile, yupo pia telegram atakayeweza kumpata atuwekee hapa pia
 
Mkuu nimewaza sana kwa polisi wetu na TCRA wetu ni umiza kichwa utajikuta unaingia hasara mara mia, ndugu zetu watataka chochote hata kabla hawajaanza kazi! Na unaweza usisaidiwe kwa lolote, mh waziri Mwigulu Nchemba bado ana kazi ya ziada mpaka tuendelee kuwaamini hawa jamaa. Maana naweza juta zaidi kwa kujiongezea gharama, mh Mwigulu Nchemba nimeshampatia data za kutosha hope atatumia vijana wake kuweza kumkamata na atatutangazia hapa hapa. Naiamini hii serikali inafanyia kazi kila taarifa inayotolewa hapa jf Mwigulu Nchemba
hahahaha! Mwigulu Nchemba ashughulikie tatizo hili? utasubiri sana. lingekuwa suala la"UCHOCHEZI" lingeshughulikiwa haraka sana.
 
Mie mwenyewe aliniingilia inbox akataka kunitapeli anasema nimtumie 80, 000/= ataniletea raba kwa fast jet yeye yupo arusha.
 
ebay, alibaba, na website nyingine uwa unakagua?
Watanzania matapeli matapeli wanaharibu biashara ya mtandao kwa kutotuma mizigo ya watu au anakupa details za uongo otherwise ni biashara nzuri
Jaman na sie tunaopeleka bidhaa then jamaa anapokea mzigo halafu hatak kutuma pesa sijui inakuaje?
mi mwaka jana kuna jamaa alitaka nimpe kuku 200 mwenye thaman ya milioni mbili,nikamwambia atume pesa akajibu agiza kuku mi nikiwapata tu natuma hela,.dah baada ya kuwaagiza akapokea tatizo kwenye kulipa sasa yaan mpaka saiz ni zaid ya miez 14 full chenga na mara hapokei simu,.biashara ya mtandao ina changamoto nying sana.
 
MKAKA: Hi uwapi swity?
MDADA: Niko home
MKAKA: Unafanya nini?
MDADA: Nakula
MKAKA: Unakula nini?
MDADA: Mama katengeneza macaroni,
ambayo kanyunyizia chiizi na sausage fulani imported ambazo baba amenunua supermaketi Masaki, na saladi, kisha ntateremsha na Epo juisi,
ghafla ikasikika sauti ya mama yake
MAMA: Hivi we Gulo kaka yako atakula nini na we umemaliza ugali na maharage yote?[emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]

Uyo sio mie mwenyewe alishataka kunitapeli nikastuka [emoji2] [emoji2]
Wewe unaona ni nani hasa, mm nimeongea nae kama vp nawe mpigie kwa hizo namba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom