Wajumbe salaam,
Kuna mtu anaenda kwa jina la Manase Jackson anatumia tigo no. 0717915787 na no. 0676358855 ( mpk jana no. Zote zilikua hewani). Anatapeli watu kwa kudai anawaunganishia vifurushi vya dstv kwa gharama nafuu. Anafanya configuration za channel mbalimbali kwenye dish lako ikiwemo bein sports etc.
Watch out people, ni tapeli mkubwa na wa kimya kimya.
Vyombo husika kama mpo chukueni hatua. Ntawasaidia kupata ushahidi wa kufunga jela mbwa kama huyu. Hatuhitaji watu kama hawa dunia ya leo.
Kuna mtu anaenda kwa jina la Manase Jackson anatumia tigo no. 0717915787 na no. 0676358855 ( mpk jana no. Zote zilikua hewani). Anatapeli watu kwa kudai anawaunganishia vifurushi vya dstv kwa gharama nafuu. Anafanya configuration za channel mbalimbali kwenye dish lako ikiwemo bein sports etc.
Watch out people, ni tapeli mkubwa na wa kimya kimya.
Vyombo husika kama mpo chukueni hatua. Ntawasaidia kupata ushahidi wa kufunga jela mbwa kama huyu. Hatuhitaji watu kama hawa dunia ya leo.