Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
Hafu naona urembo wake unawakamatisha midume mingi. Mie biashara za mitandaoni sijui fb Instagram siziamini bei ziko juu kumbe vtu fake
Na yy mwenyewe feki feki feki tuBidhaa zenyewe feki feki feki tu.
Unaweza kutapeliwa lkn kijanja usilaumiwe,lkn cyo mtu hamjuani unamtumia pesa na bidhaa hujaikagua ni uboyaHujui uliongealo, watu wanatapeliwa nyumba! Tema mate chini hayajakukuta wewe! Haya mambo hayamkuti mbuzi yanamkuta mtu kama wewe
Usimcheke mamba kabla hujavuka mtoKwanza mtu mwenyewe ana namba nyingi sana inakuaje unamuamini h ha ha ha we muhaya wamekuingiza mjini
Pole sana mkuu, naona Mhaya umeumizwa. Ulipoona yale majambio pichani ukaona uanze kujisogeza taratibu kwa kujifanya unamuungisha ili aingie kingi.
Unaweza kutapeliwa lkn kijanja usilaumiwe,lkn cyo mtu hamjuani unamtumia pesa na bidhaa hujaikagua ni uboya
Yani huna ofisi ,website na wala siyo kampuni unapataje ujasiri kumtumia mtu usiyemjua ..
Hawa wachache hufanya business online siziaminike Ila yataka moyo kutuma hela Kwa mtu humfaham pole kupotea njia ndio kujua njia
Hivi kwanini asiende dukani, anunue kwa mtu asiyemfahamu?Kuibiwa ni ujinga wako mwenyewe.
Ukitaka kununua kitu sharti ukakague bidhaa kabla ya kutoa hela.
Mkuu ni hili hili tu au labda ulimwomba ' mbunye ' na ' akakutosa ' na sasa umemchenjia umeamua kumchafua? Hivi kwa mfano huo ' ushahidi ' wako wote ungeupeleka kwanza TCRA au Police ' kitengo ' maalum unadhani usingepata msaada mkubwa zaidi kuliko wa huku? Binafsi nahisi kama vile kuna lililojificha nyuma ya hili kwani naamini kama ni ' Matapeli ' au ' Wezi ' wa aina hii wapo wengi sana katika maeneo mbalimbali na wanajulikana tena hata kuliko huyo Dada wa Watu. Watanzania tumeshazoea ' kuibiwa ' Mkuu na tumeshaibiwa miaka 50+ iliyopita hivyo hatujaona ' jipya ' hapo. Na mwisho nikuambie tu kuwa unaweza ukadhani kuwa labda umemkomoa kwa kumchafua ila nikuhakikishie tu kuwa umempa ' promo ' ya kufa Mtu na atapata sasa ' Wateja ' wengi mno. Kwanza ana mvuto na ni mzuri hivyo hata akikuibia unaona sawa tu!
Nimeshaifaham njia kwa sasa, tuanawajuza wengine ambao walikuwa hawajui
Kitu kigumu kwenye kichwa changu ni kufanya biashara mitandaoni yaani huwa sithubutu kabisa! Pole sana mkuu muhimu tuwe makini[emoji33]