To make a short story long: Hatari ya kuficha mahusiano

Siana Sia

New Member
Sep 16, 2023
3
26
Ni story fupi sana ila nimeirefusha makusudi. Inaweza kuwa ya ukweli au ya kutunga, we isome.

Mwaka jana mwezi September nikiwa kwenye shuguri zangu za kikazi Arusha, nilikutana na Side (au Said). Mara ya kwanza tulikutana ATM. Ilikua jmosi mchana, nilipata changamoto ya kadi yangu kumezwa wakati benki ikiwa tayari imefungwa. Nikiwa na stress za kusubiri hadi Monday, Side aliyekua amemaliza kutoa hela yake kwenye mashine ya Jirani, alinisaidia. Alikua anafahamiana na someone ambaye alimpigia simu, “usihofu sister, bado ni mapema wafanyakazi wako ndani ya benki, kuna ndugu yangu huwa anafanya kazi hapa ngoja nimuombe akusadie” so nikasaidiwa kupitia mlango wa nyuma. Alivohakikisha nimepata msaada, akapanda bodaboda akaondoka.

Mara ya pili namuona ilikua wiki kama moja after tumekutana mara ya kwanza. Nlikua nimeenda kununua kinywaji kwenye moja ya pombe shops za pale soko kuu. Wakati nasubiri huduma, nikasikia sauti ambayo haikua ngeni ikiagiza chupa ya kinywaji kilekile nlichokua nimekifuata pale. Kugeuka namuona yuleyule kaka aliyenisaidia ATM. Aliponiona akatabasamu kuonesha kuwa amenikumbuka. Baada ya kupata huduma (nilibadili kinywaji nlichoagiza asije akaona namuiga), tukatoka wote shop.

Akaniuliza kama nlifanikiwa kusolve shida yangu that day, na stori za kawaida za kufahamiana majina na kadhalika. Katika introduction fupi, nikamweleza kuwa nipo Arusha kwa kazi kama ya wiki mbili alafu narudi zangu Dar. Yeye akanambia pia ni mkazi wa DSM, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha kwenye issues za kuuza spares za magari.

Kwa kuwa siku ile niliona anatumia bodaboda, nikaona ni vyema nimpe offer ya lift (ofisi ilinipa gari ya kutumia nikiwa Arusha) anakoelekea kama shukrani ya kunisaidia siku ile. “Usijali Sia, naenda mtaa wa pili tu hapo, kuna jamaa zangu wanasubiri huu mzigo” akakataa offer. Ila akamalizia kwa kunipa namba yake ili kama nikihitaji msaada wa dharura niwe na mtu mwenyeji wa kumtafuta pale town. Sikumtafuta tena, maana sikupata dharura yoyote.

Mwezi November mwaka jana nikiwa home najiandaa kutoka weekend, gari ikawa haiwaki. Nikampigia fundi wangu akanambia yuko msibani Morogoro, nikamuomba anipe namba ya fundi mwingine anayemwamini, akanitumia. Kumpigia huyu fundi mwingine akawa hapokei. Nikawa nampiga kila baada ya dkk tano, bado ikawa simu haipokelewi. Nikaanza kupanick. Maana pamoja na kuwa mtoko wa mchana ule ulikuwa sio wa muhimu sana, Usiku wake kulikua na mtoko wa muhimu mno.

Nina cousin wangu anaitwa Mamuu, alikua ameniomba sana that day nimsindikize kwenye harusi ya best ake mitaa ya tegeta, na Mamuu kwangu ni kama dada wa tumbo moja, tunaheshimiana na kupendana sana. So gari ilikua lazima itengemae.

Baada ya kuhangaika kama saa zima, Jirani yangu mmoja tunashare apartment akanisaidia namba ya fundi mwingine. Fundi kweli akaja. Tatizo, switch imeungua inatakiwa ibadilishwe. Fundi akasema ingekua Toyota ni fasta tu, ila hiyo gari yako spare za kutafuta sana, akaahidi kunipigia akipata. Wakati ameondoka Kwenda kusaka spare, ndo nikamkumbuka Side wa Arusha. Nikampigia, baada ya kujitambulisha na kuomba samahani kwa kutomtafuta all this time, nikamueleza shida yangu, na kama anafahamiana na mtu anauza spares za gari nliyonayo hapa DSM anisaidie namba yake. “Kwani shida ni nini hasa” akaniuliza. “Switch inabidi ibadilishwe..” nikamuelezea. “Okok….. nakupigia muda sio mrefu”.

Baada ya dkk tano akapiga “Sasa sister, hiyo model itabidi usubiri kama siku tatu hivi, ziko njiani zinakuja” taarifa ikanisononesha ghafla. “Hatuwezi pata hata cha muda?, maana leo nahitaji sana kutoka na hii gari” nikamuuliza. “unasimamia harusi nini leo?” akatania, “Hapana, namsindikiza ndugu yangu wa karibu, na ni muhimu mno” nikajieleza kwa sauti ya kuonesha kukata tamaa. “nitumie location yako tuone tunasolve vipi”. Baada ya kumtumia location nikajua walau anaweza tuma mtu wa kufix temporary gari yangu. Baada ya one hr akanipigia, “hawajafika vijana hapo?” nikamjibu kuwa bado sijawaona. Baada ya dakika chache, nikasikia honi nje, nikafungua geti.

Kutoka nakutana na Toyota fortuner (nlikuja elewa baadae ni model ya 2020) nyeusi, nikajisemea hawa mafundi ndo wanakuja na mchuma mkali hivi….. nikawapeleka kwenye gari yangu mbovu. Wakiwa wanakagua nikampigia Side, “Vijana wamefika nashukuru…”, “Wamekuja na gari gani” akauliza. “Fortuner …” nikamjibu. “Okok, ulivonambia leo ni muhimu utoke na gari, nikatafuta alternative, maana gari yako huwezi tembelea kwa sasa, ukiweka kifaa kisicho original madhara yake ni makubwa zaidi kwenye system nzima ya umeme wa gari…” akawa ananipa maelezo pale but sikua naelewa elewa, “Mbona kama sielewi, so gari haiponi ila …….” “Tumia hiyo fortuner kwa siku hizi tukisubiri kutengeneza gari yako”. Kukubali naona noma, kukataa nashindwa. Ni kama alisoma Mawazo yangu, “Wala usijali sister, ni kawaida kwenye workshop yetu kuwapa wateja gari ya kutumia tukiwa tunatengeneza magari yao”. “gharama si itakua juu sana” nikamdadisi, “sio sana, na unaweza lipa kwa awamu usiwe na shaka”.

Fortuner was a nice car. Hadi Mamuu alishangaa alivyoiona.

Mamuu na mimi tulikua close. Sio ile ya kishosti, ni ile ya kindugu mnaoheshimiana na kupendana hadi mkawa marafiki. Ingawa nampaga stori zangu za mahusiano, hasa kama kuna mtu ananifukuzia, yeye hanihusishagi mambo yake ya mapenzi. Infact, Mamuu huwa haweki mahusiano yake, hata kwa rafiki zake wa rika moja. Utajua ana mwanaume pale tu ukimuona na kitu cha thamani, kama simu, ndo atakwambia “nimepewa zawadi na shemeji yako”, ukimwambia atambulishe atasema sio wakati wake, basi inaishia hapo. Nilichompendea Mamuu pamoja na kuwa tumepishana only 5 years, ushauri wake unakuaga very matured. She always looks out for me. Na simfichagi kitu, kabla sijaingia kwenye mahusiano huwa namshirikisha. “Mamuu, kuna this boy I am really interested in, he is so and so bla bla……..”, yeye atanambia “give it time, usirush kwa mahusiano, most of the time kama sio true love itapungua after few months” na inakuaga kweli. So kwa umri wangu huu, nishakua na only one man. Bahati mbaya the man died…….(that’s a story for another day). Na mara nyingi huwa anaweza detect gold diggers kabla hata sijashtukia. Maana kiuchumi siko vibaya sana, so men can pretend to love you just to get near to the available money, or kujiweka karibu na “ULISI”.

Siku hii tuliyokua kwenye fortuner akaanza nihoji kama it comes from a man. Nikamwambia kuwa ni ya kampuni siyo ya mtu. “besides, the guy amenisaidia is just an ordinary guy, anatumia usafiri wa bodaboda” ikaishia hapo.

Baada ya siku tatu, Side alinipigia kuuliza muda ntakaokuepo home. Actually niko very flexible kazini kwangu, so nikamwambia muda wote watakapokua tayari mafundi waniambie tu ntakua home. Tukakubaliana saa tisa. Muda ulivyofika wakaja watatu. Mmoja alikua ndo fundi kwa muonekano wake, mwingine alikua ni muhindi, so nikahisi ndo mmiliki wa ile fortuner, na watatu ni Side. Nikashangaa kumuona maana nlidhani yuko Arusha, akaniambia yupo DSM since last month, kwa hiyo hata tulivyoongea kwenye simu that day alikua town hapa. Basi tukawa tunapiga stori pale wakati fundi anarekebisha. Yule muhindi hakukaa sana, alichukua fortuner akaondoka.

Baada ya gari kuwa sawa, tukatoka kama kuitest, nikamrudisha fundi then tukawa tunaelekea sehem aliyosema nimuache, Tabata. Pamoja na kusisitiza nimfikishe hadi anapoenda, alisema haina shida hapo kituo cha daladala panatosha. Issue za malipo nilimalizana nae kabisa kwa kulipia benki the same day. Baada ya kuachana na Side pale Tabata bima, nikachukua Barabara ya kuja ubungo. Nilipofika pale External Side akanipigia tena. “Sister, nimedondosha simu yangu moja kwenye gari yako, nichekie then naifuata”, nikapaki gari. Baada ya kukagua kote sikuiona. Mawazoni kwangu nikajua yule fundi kapita nayo, ila sikumwambia hivyo nilivompigia kumpa feedback. “Sijaiona aisee, ni aina gani kwani…?”, “Ni S22 ultra…” akanijibu. Nikamwambia anitumie namba yake ya simu hiyo kubwa nijaribu kuipiga. Akasema iko vibration, but akanitumia namba. Nikajaribu kuipiga sikuisikia ikiita. Nikampigia simu kumpa pole, nikaendelea na safari.

Nlivoingia home baada ya kupaki gari nikiwa naenda ndani si nikaiona simu. Itakua alidondosha muda tunapiga stori akiwa amekaa kwenye vitofali vilivyopangwa kuzunguka garden hapa nnapoishi. Nikampigia kuwa nimeiona simu yake, ntampeleka baadae after eating. Akasema ataifuata nisisumbuke. So nikaihifadhi fresh, nikaanza kuandaa msosi wa jioni. Mida ya saa mbili hivi akaja. Alivyopiga simu kuwa yupo getini, nikashuka kumfungulia. Kufika getini ndo nagundua kaja na gari, Mawazo yangu angekuja na public transport. Sikushangaa sana, vijana wa magari wanakuaga na options nyingi. Pamoja na kuwa hakutaka hata kuingia, ila nilimsisitiza aingie ndani. Hakuishia parking, aliingia hadi ndani kwangu.

“Nice place you have” akanisifia pale, nikamshukuru. Tukaanza vistori vingine mob. Sema Side alikua very funny and nice to talk to. Ni mtu ambaye yuko deep kwenye a lot of subjects. Hadi umbea wa town anao, yani tulikaa pale kwangu muda mrefu, tukala pamoja, akaondoka muda umeenda baada ya mechi ya premier league, ambayo hata mm ni shabiki kindakindaki wa mpira.

After that week Side akawa a very close friend kwangu. Weekends nyingi mchana tulikua tunakua wote. Usiku mara nyingi hakua available. Ingawa akili ilihisi labda anakua na girlfriend wake, ila sikuwahi muuliza. Sikujua hata kwa nini akili haikuwahi kuuliza status yake ya mahusiano. Kitu kingine ni kuwa, tuliendelea kuwasiliana kwa namba ya simu aliyonipa Arusha. Ingawa nilijua anasimu nyingine, na namba alinitumia, ila sikua nimeisave kwenye phonebook yangu. Hivyo sikua nawasiliana nae kupitia whatsapp or any other chatting apps. Tuliwasiliana kwa message za kawaida na kupigiana simu. Then jumamosi moja ya January nikamtafuta hakawa hapokei. Mpaka jioni saa moja hapokei wala hajibu msgs. Baadae akanitumia msg kuwa alikua amelala. Kwa muda nliomfahamu Side sio mtu wa kulala mchana, so nlijua kabisa something is wrong. Nikampigia. Alivyopokea sikutaka kuanza kumpa maushauri, au kumuuliza whats wrong, nlimwambia tu ntafurahi tukiangalia wote mechi ya premier league together. Of course alikataa kuwa hayuko poa kutoka, nikamwambia it will be more helpful if akiwa na company, inshort nlitumia kile kisauti cha kubembeleza aone kuwa it’s a huge favor kwangu akikubali. Na kweli akakubali.

Alivyofika nikampikia akala. Alivyomaliza kula akanila.

Ni hivi, baada ya kufika pale home sikutaka tena kuanza kumuuliza what is wrong. Nikamwambia tu leo napika makange ya Samaki, so tutakula pamoja. Hakukataa. Baada ya kula, tukakaa kucheki mechi sasa. Akiwa amekaa kochi la pembeni la mtu mmoja, mimi nimejilaza kwenye kochi refu, nikaanza kumchimba taratibu. “Side, I know you, something seems off, ni nini?”, akajibu short tu kuwa it is nothing. Pamoja na uongeaji na uchangamfu wake, leo alikua off mood kabisa. “Au ni mm nlikuudhi kitu ?” nikatumia technique ya kumfanya guilty ili afunguke, na kweli kidogo akafunguka. “I think the person I love doesn’t love me, nimefanya everything I can but inaonesha kabisa hayuko tayari kusettle” Side alielezea. Akaendelea kusema amekua anamwambia wayarasimishe mahusiano yao, lakini girlfriend wake amekua anasita, yani hata kumtambulisha tu kwa rafiki zake hataki. Na wemekua kwenye mahusiano mwaka mmoja na miezi sita now. So jana ndo akampa malalamiko yake, huyo girl amemwambia atafute mwanamke mwingine.

Nikamhurumia sana. Ili kumpamoyo, nikampa stori yangu ya mapenzi. Ubaya wa stori yangu inasikitisha sana. Nikikumbuka yaliyotokea huwa lazima nilie. Sasa kile kilio kikafanya Side anisogelee nilipo anibembeleze. Nikawa nimejilaza kifuani kwake nikiwa nalia hadi nikanyamaza, nikapitiwa na usingizi. Nikastuka bado nipo kifuani kwake, tv bado inawaka ila yeye kasinzia pia. Nikarudisha kichwa kifuani, kuendelea kulala. Nikasikia anauliza kama nimeamka. Nikaitikia kwa kichwa. Hakua ameelewa, akaniuliza tena. Ikabidi niinue kichwa, nimuangalie. Ile kuangaliana kwa muda nikajikuta nampelekea denda. Akapokea lips. Akanitoa skin tight. Akatoa pichu. Sebule ilikua na mwanga wa kutosha, so nikawa fully exposed. Hakuangaika kutoa jezi ya Arsenal nliyokua nimevaa. Akanigeuza nikawa chini yake. Then he entered my kingdom.

Baada ya mechi, tukahamia bafuni. Tulioga tukaoga tena.

Asubuhi yake ikabidi nimwambie kuwa tupeane kwanza muda. Yani tuendelee kuwa friends hadi asettle mambo yake na girl wake.

Baada ya wiki mbili Mamuu akanipigia simu kuwa anaolewa. Akasema anamtambulisha mchumba wake home kwa mama yake kigamboni jumapili. Nikafurahi pale kwa ajili yake. Nikampigia simu immediately Side, kumuomba anisindikize jpili ijayo kwenye shughuri ya cousin wangu. Side akajibu kwa kuuliza nilipo, nlipomwambia nipo ofisini akasema anakuja. Alipofika akanichukua kunipeleka lunch. Baada ya lunch ndo ananiambia his girlfriend amejirudi na kukubali kurasimisha mahusiano. Nikasikitika ila siku ana jinsi. Ndo nikamuuliza sasa mhusika. Mamuu. My cousin. Nikachoka mwili, moyo na roho. Cant believe nmetembea na mume wa Mamuu.

Simlaumu Side. Sijilaumu mimi. Namlaumu Mamuu kumficha mpenzi wake. Ningekua namfahamu isingetokea. Hatujawahi ongelea hii issue tena. And one other thing ni kuwa kumbe Side yuko very rich, ila anaishi tu simple. Yaani ana nyumba, sio moja, magari tena sio ya kawaida. And he is a very good man.

And no, we didn’t do it again.
 
Ni story fupi sana ila nimeirefusha makusudi. Inaweza kuwa ya ukweli au ya kutunga, we isome.

Mwaka jana mwezi September nikiwa kwenye shuguri zangu za kikazi Arusha, nilikutana na Side (au Said). Mara ya kwanza tulikutana ATM. Ilikua jmosi mchana, nilipata changamoto ya kadi yangu kumezwa wakati benki ikiwa tayari imefungwa. Nikiwa na stress za kusubiri hadi Monday, Side aliyekua amemaliza kutoa hela yake kwenye mashine ya Jirani, alinisaidia. Alikua anafahamiana na someone ambaye alimpigia simu, “usihofu sister, bado ni mapema wafanyakazi wako ndani ya benki, kuna ndugu yangu huwa anafanya kazi hapa ngoja nimuombe akusadie” so nikasaidiwa kupitia mlango wa nyuma. Alivohakikisha nimepata msaada, akapanda bodaboda akaondoka.

Mara ya pili namuona ilikua wiki kama moja after tumekutana mara ya kwanza. Nlikua nimeenda kununua kinywaji kwenye moja ya pombe shops za pale soko kuu. Wakati nasubiri huduma, nikasikia sauti ambayo haikua ngeni ikiagiza chupa ya kinywaji kilekile nlichokua nimekifuata pale. Kugeuka namuona yuleyule kaka aliyenisaidia ATM. Aliponiona akatabasamu kuonesha kuwa amenikumbuka. Baada ya kupata huduma (nilibadili kinywaji nlichoagiza asije akaona namuiga), tukatoka wote shop.

Akaniuliza kama nlifanikiwa kusolve shida yangu that day, na stori za kawaida za kufahamiana majina na kadhalika. Katika introduction fupi, nikamweleza kuwa nipo Arusha kwa kazi kama ya wiki mbili alafu narudi zangu Dar. Yeye akanambia pia ni mkazi wa DSM, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha kwenye issues za kuuza spares za magari.

Kwa kuwa siku ile niliona anatumia bodaboda, nikaona ni vyema nimpe offer ya lift (ofisi ilinipa gari ya kutumia nikiwa Arusha) anakoelekea kama shukrani ya kunisaidia siku ile. “Usijali Sia, naenda mtaa wa pili tu hapo, kuna jamaa zangu wanasubiri huu mzigo” akakataa offer. Ila akamalizia kwa kunipa namba yake ili kama nikihitaji msaada wa dharura niwe na mtu mwenyeji wa kumtafuta pale town. Sikumtafuta tena, maana sikupata dharura yoyote.

Mwezi November mwaka jana nikiwa home najiandaa kutoka weekend, gari ikawa haiwaki. Nikampigia fundi wangu akanambia yuko msibani Morogoro, nikamuomba anipe namba ya fundi mwingine anayemwamini, akanitumia. Kumpigia huyu fundi mwingine akawa hapokei. Nikawa nampiga kila baada ya dkk tano, bado ikawa simu haipokelewi. Nikaanza kupanick. Maana pamoja na kuwa mtoko wa mchana ule ulikuwa sio wa muhimu sana, Usiku wake kulikua na mtoko wa muhimu mno.

Nina cousin wangu anaitwa Mamuu, alikua ameniomba sana that day nimsindikize kwenye harusi ya best ake mitaa ya tegeta, na Mamuu kwangu ni kama dada wa tumbo moja, tunaheshimiana na kupendana sana. So gari ilikua lazima itengemae.

Baada ya kuhangaika kama saa zima, Jirani yangu mmoja tunashare apartment akanisaidia namba ya fundi mwingine. Fundi kweli akaja. Tatizo, switch imeungua inatakiwa ibadilishwe. Fundi akasema ingekua Toyota ni fasta tu, ila hiyo gari yako spare za kutafuta sana, akaahidi kunipigia akipata. Wakati ameondoka Kwenda kusaka spare, ndo nikamkumbuka Side wa Arusha. Nikampigia, baada ya kujitambulisha na kuomba samahani kwa kutomtafuta all this time, nikamueleza shida yangu, na kama anafahamiana na mtu anauza spares za gari nliyonayo hapa DSM anisaidie namba yake. “Kwani shida ni nini hasa” akaniuliza. “Switch inabidi ibadilishwe..” nikamuelezea. “Okok….. nakupigia muda sio mrefu”.

Baada ya dkk tano akapiga “Sasa sister, hiyo model itabidi usubiri kama siku tatu hivi, ziko njiani zinakuja” taarifa ikanisononesha ghafla. “Hatuwezi pata hata cha muda?, maana leo nahitaji sana kutoka na hii gari” nikamuuliza. “unasimamia harusi nini leo?” akatania, “Hapana, namsindikiza ndugu yangu wa karibu, na ni muhimu mno” nikajieleza kwa sauti ya kuonesha kukata tamaa. “nitumie location yako tuone tunasolve vipi”. Baada ya kumtumia location nikajua walau anaweza tuma mtu wa kufix temporary gari yangu. Baada ya one hr akanipigia, “hawajafika vijana hapo?” nikamjibu kuwa bado sijawaona. Baada ya dakika chache, nikasikia honi nje, nikafungua geti.

Kutoka nakutana na Toyota fortuner (nlikuja elewa baadae ni model ya 2020) nyeusi, nikajisemea hawa mafundi ndo wanakuja na mchuma mkali hivi….. nikawapeleka kwenye gari yangu mbovu. Wakiwa wanakagua nikampigia Side, “Vijana wamefika nashukuru…”, “Wamekuja na gari gani” akauliza. “Fortuner …” nikamjibu. “Okok, ulivonambia leo ni muhimu utoke na gari, nikatafuta alternative, maana gari yako huwezi tembelea kwa sasa, ukiweka kifaa kisicho original madhara yake ni makubwa zaidi kwenye system nzima ya umeme wa gari…” akawa ananipa maelezo pale but sikua naelewa elewa, “Mbona kama sielewi, so gari haiponi ila …….” “Tumia hiyo fortuner kwa siku hizi tukisubiri kutengeneza gari yako”. Kukubali naona noma, kukataa nashindwa. Ni kama alisoma Mawazo yangu, “Wala usijali sister, ni kawaida kwenye workshop yetu kuwapa wateja gari ya kutumia tukiwa tunatengeneza magari yao”. “gharama si itakua juu sana” nikamdadisi, “sio sana, na unaweza lipa kwa awamu usiwe na shaka”.

Fortuner was a nice car. Hadi Mamuu alishangaa alivyoiona.

Mamuu na mimi tulikua close. Sio ile ya kishosti, ni ile ya kindugu mnaoheshimiana na kupendana hadi mkawa marafiki. Ingawa nampaga stori zangu za mahusiano, hasa kama kuna mtu ananifukuzia, yeye hanihusishagi mambo yake ya mapenzi. Infact, Mamuu huwa haweki mahusiano yake, hata kwa rafiki zake wa rika moja. Utajua ana mwanaume pale tu ukimuona na kitu cha thamani, kama simu, ndo atakwambia “nimepewa zawadi na shemeji yako”, ukimwambia atambulishe atasema sio wakati wake, basi inaishia hapo. Nilichompendea Mamuu pamoja na kuwa tumepishana only 5 years, ushauri wake unakuaga very matured. She always looks out for me. Na simfichagi kitu, kabla sijaingia kwenye mahusiano huwa namshirikisha. “Mamuu, kuna this boy I am really interested in, he is so and so bla bla……..”, yeye atanambia “give it time, usirush kwa mahusiano, most of the time kama sio true love itapungua after few months” na inakuaga kweli. So kwa umri wangu huu, nishakua na only one man. Bahati mbaya the man died…….(that’s a story for another day). Na mara nyingi huwa anaweza detect gold diggers kabla hata sijashtukia. Maana kiuchumi siko vibaya sana, so men can pretend to love you just to get near to the available money, or kujiweka karibu na “ULISI”.

Siku hii tuliyokua kwenye fortuner akaanza nihoji kama it comes from a man. Nikamwambia kuwa ni ya kampuni siyo ya mtu. “besides, the guy amenisaidia is just an ordinary guy, anatumia usafiri wa bodaboda” ikaishia hapo.

Baada ya siku tatu, Side alinipigia kuuliza muda ntakaokuepo home. Actually niko very flexible kazini kwangu, so nikamwambia muda wote watakapokua tayari mafundi waniambie tu ntakua home. Tukakubaliana saa tisa. Muda ulivyofika wakaja watatu. Mmoja alikua ndo fundi kwa muonekano wake, mwingine alikua ni muhindi, so nikahisi ndo mmiliki wa ile fortuner, na watatu ni Side. Nikashangaa kumuona maana nlidhani yuko Arusha, akaniambia yupo DSM since last month, kwa hiyo hata tulivyoongea kwenye simu that day alikua town hapa. Basi tukawa tunapiga stori pale wakati fundi anarekebisha. Yule muhindi hakukaa sana, alichukua fortuner akaondoka.

Baada ya gari kuwa sawa, tukatoka kama kuitest, nikamrudisha fundi then tukawa tunaelekea sehem aliyosema nimuache, Tabata. Pamoja na kusisitiza nimfikishe hadi anapoenda, alisema haina shida hapo kituo cha daladala panatosha. Issue za malipo nilimalizana nae kabisa kwa kulipia benki the same day. Baada ya kuachana na Side pale Tabata bima, nikachukua Barabara ya kuja ubungo. Nilipofika pale External Side akanipigia tena. “Sister, nimedondosha simu yangu moja kwenye gari yako, nichekie then naifuata”, nikapaki gari. Baada ya kukagua kote sikuiona. Mawazoni kwangu nikajua yule fundi kapita nayo, ila sikumwambia hivyo nilivompigia kumpa feedback. “Sijaiona aisee, ni aina gani kwani…?”, “Ni S22 ultra…” akanijibu. Nikamwambia anitumie namba yake ya simu hiyo kubwa nijaribu kuipiga. Akasema iko vibration, but akanitumia namba. Nikajaribu kuipiga sikuisikia ikiita. Nikampigia simu kumpa pole, nikaendelea na safari.

Nlivoingia home baada ya kupaki gari nikiwa naenda ndani si nikaiona simu. Itakua alidondosha muda tunapiga stori akiwa amekaa kwenye vitofali vilivyopangwa kuzunguka garden hapa nnapoishi. Nikampigia kuwa nimeiona simu yake, ntampeleka baadae after eating. Akasema ataifuata nisisumbuke. So nikaihifadhi fresh, nikaanza kuandaa msosi wa jioni. Mida ya saa mbili hivi akaja. Alivyopiga simu kuwa yupo getini, nikashuka kumfungulia. Kufika getini ndo nagundua kaja na gari, Mawazo yangu angekuja na public transport. Sikushangaa sana, vijana wa magari wanakuaga na options nyingi. Pamoja na kuwa hakutaka hata kuingia, ila nilimsisitiza aingie ndani. Hakuishia parking, aliingia hadi ndani kwangu.

“Nice place you have” akanisifia pale, nikamshukuru. Tukaanza vistori vingine mob. Sema Side alikua very funny and nice to talk to. Ni mtu ambaye yuko deep kwenye a lot of subjects. Hadi umbea wa town anao, yani tulikaa pale kwangu muda mrefu, tukala pamoja, akaondoka muda umeenda baada ya mechi ya premier league, ambayo hata mm ni shabiki kindakindaki wa mpira.

After that week Side akawa a very close friend kwangu. Weekends nyingi mchana tulikua tunakua wote. Usiku mara nyingi hakua available. Ingawa akili ilihisi labda anakua na girlfriend wake, ila sikuwahi muuliza. Sikujua hata kwa nini akili haikuwahi kuuliza status yake ya mahusiano. Kitu kingine ni kuwa, tuliendelea kuwasiliana kwa namba ya simu aliyonipa Arusha. Ingawa nilijua anasimu nyingine, na namba alinitumia, ila sikua nimeisave kwenye phonebook yangu. Hivyo sikua nawasiliana nae kupitia whatsapp or any other chatting apps. Tuliwasiliana kwa message za kawaida na kupigiana simu. Then jumamosi moja ya January nikamtafuta hakawa hapokei. Mpaka jioni saa moja hapokei wala hajibu msgs. Baadae akanitumia msg kuwa alikua amelala. Kwa muda nliomfahamu Side sio mtu wa kulala mchana, so nlijua kabisa something is wrong. Nikampigia. Alivyopokea sikutaka kuanza kumpa maushauri, au kumuuliza whats wrong, nlimwambia tu ntafurahi tukiangalia wote mechi ya premier league together. Of course alikataa kuwa hayuko poa kutoka, nikamwambia it will be more helpful if akiwa na company, inshort nlitumia kile kisauti cha kubembeleza aone kuwa it’s a huge favor kwangu akikubali. Na kweli akakubali.

Alivyofika nikampikia akala. Alivyomaliza kula akanila.

Ni hivi, baada ya kufika pale home sikutaka tena kuanza kumuuliza what is wrong. Nikamwambia tu leo napika makange ya Samaki, so tutakula pamoja. Hakukataa. Baada ya kula, tukakaa kucheki mechi sasa. Akiwa amekaa kochi la pembeni la mtu mmoja, mimi nimejilaza kwenye kochi refu, nikaanza kumchimba taratibu. “Side, I know you, something seems off, ni nini?”, akajibu short tu kuwa it is nothing. Pamoja na uongeaji na uchangamfu wake, leo alikua off mood kabisa. “Au ni mm nlikuudhi kitu ?” nikatumia technique ya kumfanya guilty ili afunguke, na kweli kidogo akafunguka. “I think the person I love doesn’t love me, nimefanya everything I can but inaonesha kabisa hayuko tayari kusettle” Side alielezea. Akaendelea kusema amekua anamwambia wayarasimishe mahusiano yao, lakini girlfriend wake amekua anasita, yani hata kumtambulisha tu kwa rafiki zake hataki. Na wemekua kwenye mahusiano mwaka mmoja na miezi sita now. So jana ndo akampa malalamiko yake, huyo girl amemwambia atafute mwanamke mwingine.

Nikamhurumia sana. Ili kumpamoyo, nikampa stori yangu ya mapenzi. Ubaya wa stori yangu inasikitisha sana. Nikikumbuka yaliyotokea huwa lazima nilie. Sasa kile kilio kikafanya Side anisogelee nilipo anibembeleze. Nikawa nimejilaza kifuani kwake nikiwa nalia hadi nikanyamaza, nikapitiwa na usingizi. Nikastuka bado nipo kifuani kwake, tv bado inawaka ila yeye kasinzia pia. Nikarudisha kichwa kifuani, kuendelea kulala. Nikasikia anauliza kama nimeamka. Nikaitikia kwa kichwa. Hakua ameelewa, akaniuliza tena. Ikabidi niinue kichwa, nimuangalie. Ile kuangaliana kwa muda nikajikuta nampelekea denda. Akapokea lips. Akanitoa skin tight. Akatoa pichu. Sebule ilikua na mwanga wa kutosha, so nikawa fully exposed. Hakuangaika kutoa jezi ya Arsenal nliyokua nimevaa. Akanigeuza nikawa chini yake. Then he entered my kingdom.

Baada ya mechi, tukahamia bafuni. Tulioga tukaoga tena.

Asubuhi yake ikabidi nimwambie kuwa tupeane kwanza muda. Yani tuendelee kuwa friends hadi asettle mambo yake na girl wake.

Baada ya wiki mbili Mamuu akanipigia simu kuwa anaolewa. Akasema anamtambulisha mchumba wake home kwa mama yake kigamboni jumapili. Nikafurahi pale kwa ajili yake. Nikampigia simu immediately Side, kumuomba anisindikize jpili ijayo kwenye shughuri ya cousin wangu. Side akajibu kwa kuuliza nilipo, nlipomwambia nipo ofisini akasema anakuja. Alipofika akanichukua kunipeleka lunch. Baada ya lunch ndo ananiambia his girlfriend amejirudi na kukubali kurasimisha mahusiano. Nikasikitika ila siku ana jinsi. Ndo nikamuuliza sasa mhusika. Mamuu. My cousin. Nikachoka mwili, moyo na roho. Cant believe nmetembea na mume wa Mamuu.

Simlaumu Side. Sijilaumu mimi. Namlaumu Mamuu kumficha mpenzi wake. Ningekua namfahamu isingetokea. Hatujawahi ongelea hii issue tena. And one other thing ni kuwa kumbe Side yuko very rich, ila anaishi tu simple. Yaani ana nyumba, sio moja, magari tena sio ya kawaida. And he is a very good man.

And no, we didn’t do it again.
Kama hii story ni ya kweli then i know you
 
Ni story fupi sana ila nimeirefusha makusudi. Inaweza kuwa ya ukweli au ya kutunga, we isome.

Mwaka jana mwezi September nikiwa kwenye shuguri zangu za kikazi Arusha, nilikutana na Side (au Said). Mara ya kwanza tulikutana ATM. Ilikua jmosi mchana, nilipata changamoto ya kadi yangu kumezwa wakati benki ikiwa tayari imefungwa. Nikiwa na stress za kusubiri hadi Monday, Side aliyekua amemaliza kutoa hela yake kwenye mashine ya Jirani, alinisaidia. Alikua anafahamiana na someone ambaye alimpigia simu, “usihofu sister, bado ni mapema wafanyakazi wako ndani ya benki, kuna ndugu yangu huwa anafanya kazi hapa ngoja nimuombe akusadie” so nikasaidiwa kupitia mlango wa nyuma. Alivohakikisha nimepata msaada, akapanda bodaboda akaondoka.

Mara ya pili namuona ilikua wiki kama moja after tumekutana mara ya kwanza. Nlikua nimeenda kununua kinywaji kwenye moja ya pombe shops za pale soko kuu. Wakati nasubiri huduma, nikasikia sauti ambayo haikua ngeni ikiagiza chupa ya kinywaji kilekile nlichokua nimekifuata pale. Kugeuka namuona yuleyule kaka aliyenisaidia ATM. Aliponiona akatabasamu kuonesha kuwa amenikumbuka. Baada ya kupata huduma (nilibadili kinywaji nlichoagiza asije akaona namuiga), tukatoka wote shop.

Akaniuliza kama nlifanikiwa kusolve shida yangu that day, na stori za kawaida za kufahamiana majina na kadhalika. Katika introduction fupi, nikamweleza kuwa nipo Arusha kwa kazi kama ya wiki mbili alafu narudi zangu Dar. Yeye akanambia pia ni mkazi wa DSM, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha kwenye issues za kuuza spares za magari.

Kwa kuwa siku ile niliona anatumia bodaboda, nikaona ni vyema nimpe offer ya lift (ofisi ilinipa gari ya kutumia nikiwa Arusha) anakoelekea kama shukrani ya kunisaidia siku ile. “Usijali Sia, naenda mtaa wa pili tu hapo, kuna jamaa zangu wanasubiri huu mzigo” akakataa offer. Ila akamalizia kwa kunipa namba yake ili kama nikihitaji msaada wa dharura niwe na mtu mwenyeji wa kumtafuta pale town. Sikumtafuta tena, maana sikupata dharura yoyote.

Mwezi November mwaka jana nikiwa home najiandaa kutoka weekend, gari ikawa haiwaki. Nikampigia fundi wangu akanambia yuko msibani Morogoro, nikamuomba anipe namba ya fundi mwingine anayemwamini, akanitumia. Kumpigia huyu fundi mwingine akawa hapokei. Nikawa nampiga kila baada ya dkk tano, bado ikawa simu haipokelewi. Nikaanza kupanick. Maana pamoja na kuwa mtoko wa mchana ule ulikuwa sio wa muhimu sana, Usiku wake kulikua na mtoko wa muhimu mno.

Nina cousin wangu anaitwa Mamuu, alikua ameniomba sana that day nimsindikize kwenye harusi ya best ake mitaa ya tegeta, na Mamuu kwangu ni kama dada wa tumbo moja, tunaheshimiana na kupendana sana. So gari ilikua lazima itengemae.

Baada ya kuhangaika kama saa zima, Jirani yangu mmoja tunashare apartment akanisaidia namba ya fundi mwingine. Fundi kweli akaja. Tatizo, switch imeungua inatakiwa ibadilishwe. Fundi akasema ingekua Toyota ni fasta tu, ila hiyo gari yako spare za kutafuta sana, akaahidi kunipigia akipata. Wakati ameondoka Kwenda kusaka spare, ndo nikamkumbuka Side wa Arusha. Nikampigia, baada ya kujitambulisha na kuomba samahani kwa kutomtafuta all this time, nikamueleza shida yangu, na kama anafahamiana na mtu anauza spares za gari nliyonayo hapa DSM anisaidie namba yake. “Kwani shida ni nini hasa” akaniuliza. “Switch inabidi ibadilishwe..” nikamuelezea. “Okok….. nakupigia muda sio mrefu”.

Baada ya dkk tano akapiga “Sasa sister, hiyo model itabidi usubiri kama siku tatu hivi, ziko njiani zinakuja” taarifa ikanisononesha ghafla. “Hatuwezi pata hata cha muda?, maana leo nahitaji sana kutoka na hii gari” nikamuuliza. “unasimamia harusi nini leo?” akatania, “Hapana, namsindikiza ndugu yangu wa karibu, na ni muhimu mno” nikajieleza kwa sauti ya kuonesha kukata tamaa. “nitumie location yako tuone tunasolve vipi”. Baada ya kumtumia location nikajua walau anaweza tuma mtu wa kufix temporary gari yangu. Baada ya one hr akanipigia, “hawajafika vijana hapo?” nikamjibu kuwa bado sijawaona. Baada ya dakika chache, nikasikia honi nje, nikafungua geti.

Kutoka nakutana na Toyota fortuner (nlikuja elewa baadae ni model ya 2020) nyeusi, nikajisemea hawa mafundi ndo wanakuja na mchuma mkali hivi….. nikawapeleka kwenye gari yangu mbovu. Wakiwa wanakagua nikampigia Side, “Vijana wamefika nashukuru…”, “Wamekuja na gari gani” akauliza. “Fortuner …” nikamjibu. “Okok, ulivonambia leo ni muhimu utoke na gari, nikatafuta alternative, maana gari yako huwezi tembelea kwa sasa, ukiweka kifaa kisicho original madhara yake ni makubwa zaidi kwenye system nzima ya umeme wa gari…” akawa ananipa maelezo pale but sikua naelewa elewa, “Mbona kama sielewi, so gari haiponi ila …….” “Tumia hiyo fortuner kwa siku hizi tukisubiri kutengeneza gari yako”. Kukubali naona noma, kukataa nashindwa. Ni kama alisoma Mawazo yangu, “Wala usijali sister, ni kawaida kwenye workshop yetu kuwapa wateja gari ya kutumia tukiwa tunatengeneza magari yao”. “gharama si itakua juu sana” nikamdadisi, “sio sana, na unaweza lipa kwa awamu usiwe na shaka”.

Fortuner was a nice car. Hadi Mamuu alishangaa alivyoiona.

Mamuu na mimi tulikua close. Sio ile ya kishosti, ni ile ya kindugu mnaoheshimiana na kupendana hadi mkawa marafiki. Ingawa nampaga stori zangu za mahusiano, hasa kama kuna mtu ananifukuzia, yeye hanihusishagi mambo yake ya mapenzi. Infact, Mamuu huwa haweki mahusiano yake, hata kwa rafiki zake wa rika moja. Utajua ana mwanaume pale tu ukimuona na kitu cha thamani, kama simu, ndo atakwambia “nimepewa zawadi na shemeji yako”, ukimwambia atambulishe atasema sio wakati wake, basi inaishia hapo. Nilichompendea Mamuu pamoja na kuwa tumepishana only 5 years, ushauri wake unakuaga very matured. She always looks out for me. Na simfichagi kitu, kabla sijaingia kwenye mahusiano huwa namshirikisha. “Mamuu, kuna this boy I am really interested in, he is so and so bla bla……..”, yeye atanambia “give it time, usirush kwa mahusiano, most of the time kama sio true love itapungua after few months” na inakuaga kweli. So kwa umri wangu huu, nishakua na only one man. Bahati mbaya the man died…….(that’s a story for another day). Na mara nyingi huwa anaweza detect gold diggers kabla hata sijashtukia. Maana kiuchumi siko vibaya sana, so men can pretend to love you just to get near to the available money, or kujiweka karibu na “ULISI”.

Siku hii tuliyokua kwenye fortuner akaanza nihoji kama it comes from a man. Nikamwambia kuwa ni ya kampuni siyo ya mtu. “besides, the guy amenisaidia is just an ordinary guy, anatumia usafiri wa bodaboda” ikaishia hapo.

Baada ya siku tatu, Side alinipigia kuuliza muda ntakaokuepo home. Actually niko very flexible kazini kwangu, so nikamwambia muda wote watakapokua tayari mafundi waniambie tu ntakua home. Tukakubaliana saa tisa. Muda ulivyofika wakaja watatu. Mmoja alikua ndo fundi kwa muonekano wake, mwingine alikua ni muhindi, so nikahisi ndo mmiliki wa ile fortuner, na watatu ni Side. Nikashangaa kumuona maana nlidhani yuko Arusha, akaniambia yupo DSM since last month, kwa hiyo hata tulivyoongea kwenye simu that day alikua town hapa. Basi tukawa tunapiga stori pale wakati fundi anarekebisha. Yule muhindi hakukaa sana, alichukua fortuner akaondoka.

Baada ya gari kuwa sawa, tukatoka kama kuitest, nikamrudisha fundi then tukawa tunaelekea sehem aliyosema nimuache, Tabata. Pamoja na kusisitiza nimfikishe hadi anapoenda, alisema haina shida hapo kituo cha daladala panatosha. Issue za malipo nilimalizana nae kabisa kwa kulipia benki the same day. Baada ya kuachana na Side pale Tabata bima, nikachukua Barabara ya kuja ubungo. Nilipofika pale External Side akanipigia tena. “Sister, nimedondosha simu yangu moja kwenye gari yako, nichekie then naifuata”, nikapaki gari. Baada ya kukagua kote sikuiona. Mawazoni kwangu nikajua yule fundi kapita nayo, ila sikumwambia hivyo nilivompigia kumpa feedback. “Sijaiona aisee, ni aina gani kwani…?”, “Ni S22 ultra…” akanijibu. Nikamwambia anitumie namba yake ya simu hiyo kubwa nijaribu kuipiga. Akasema iko vibration, but akanitumia namba. Nikajaribu kuipiga sikuisikia ikiita. Nikampigia simu kumpa pole, nikaendelea na safari.

Nlivoingia home baada ya kupaki gari nikiwa naenda ndani si nikaiona simu. Itakua alidondosha muda tunapiga stori akiwa amekaa kwenye vitofali vilivyopangwa kuzunguka garden hapa nnapoishi. Nikampigia kuwa nimeiona simu yake, ntampeleka baadae after eating. Akasema ataifuata nisisumbuke. So nikaihifadhi fresh, nikaanza kuandaa msosi wa jioni. Mida ya saa mbili hivi akaja. Alivyopiga simu kuwa yupo getini, nikashuka kumfungulia. Kufika getini ndo nagundua kaja na gari, Mawazo yangu angekuja na public transport. Sikushangaa sana, vijana wa magari wanakuaga na options nyingi. Pamoja na kuwa hakutaka hata kuingia, ila nilimsisitiza aingie ndani. Hakuishia parking, aliingia hadi ndani kwangu.

“Nice place you have” akanisifia pale, nikamshukuru. Tukaanza vistori vingine mob. Sema Side alikua very funny and nice to talk to. Ni mtu ambaye yuko deep kwenye a lot of subjects. Hadi umbea wa town anao, yani tulikaa pale kwangu muda mrefu, tukala pamoja, akaondoka muda umeenda baada ya mechi ya premier league, ambayo hata mm ni shabiki kindakindaki wa mpira.

After that week Side akawa a very close friend kwangu. Weekends nyingi mchana tulikua tunakua wote. Usiku mara nyingi hakua available. Ingawa akili ilihisi labda anakua na girlfriend wake, ila sikuwahi muuliza. Sikujua hata kwa nini akili haikuwahi kuuliza status yake ya mahusiano. Kitu kingine ni kuwa, tuliendelea kuwasiliana kwa namba ya simu aliyonipa Arusha. Ingawa nilijua anasimu nyingine, na namba alinitumia, ila sikua nimeisave kwenye phonebook yangu. Hivyo sikua nawasiliana nae kupitia whatsapp or any other chatting apps. Tuliwasiliana kwa message za kawaida na kupigiana simu. Then jumamosi moja ya January nikamtafuta hakawa hapokei. Mpaka jioni saa moja hapokei wala hajibu msgs. Baadae akanitumia msg kuwa alikua amelala. Kwa muda nliomfahamu Side sio mtu wa kulala mchana, so nlijua kabisa something is wrong. Nikampigia. Alivyopokea sikutaka kuanza kumpa maushauri, au kumuuliza whats wrong, nlimwambia tu ntafurahi tukiangalia wote mechi ya premier league together. Of course alikataa kuwa hayuko poa kutoka, nikamwambia it will be more helpful if akiwa na company, inshort nlitumia kile kisauti cha kubembeleza aone kuwa it’s a huge favor kwangu akikubali. Na kweli akakubali.

Alivyofika nikampikia akala. Alivyomaliza kula akanila.

Ni hivi, baada ya kufika pale home sikutaka tena kuanza kumuuliza what is wrong. Nikamwambia tu leo napika makange ya Samaki, so tutakula pamoja. Hakukataa. Baada ya kula, tukakaa kucheki mechi sasa. Akiwa amekaa kochi la pembeni la mtu mmoja, mimi nimejilaza kwenye kochi refu, nikaanza kumchimba taratibu. “Side, I know you, something seems off, ni nini?”, akajibu short tu kuwa it is nothing. Pamoja na uongeaji na uchangamfu wake, leo alikua off mood kabisa. “Au ni mm nlikuudhi kitu ?” nikatumia technique ya kumfanya guilty ili afunguke, na kweli kidogo akafunguka. “I think the person I love doesn’t love me, nimefanya everything I can but inaonesha kabisa hayuko tayari kusettle” Side alielezea. Akaendelea kusema amekua anamwambia wayarasimishe mahusiano yao, lakini girlfriend wake amekua anasita, yani hata kumtambulisha tu kwa rafiki zake hataki. Na wemekua kwenye mahusiano mwaka mmoja na miezi sita now. So jana ndo akampa malalamiko yake, huyo girl amemwambia atafute mwanamke mwingine.

Nikamhurumia sana. Ili kumpamoyo, nikampa stori yangu ya mapenzi. Ubaya wa stori yangu inasikitisha sana. Nikikumbuka yaliyotokea huwa lazima nilie. Sasa kile kilio kikafanya Side anisogelee nilipo anibembeleze. Nikawa nimejilaza kifuani kwake nikiwa nalia hadi nikanyamaza, nikapitiwa na usingizi. Nikastuka bado nipo kifuani kwake, tv bado inawaka ila yeye kasinzia pia. Nikarudisha kichwa kifuani, kuendelea kulala. Nikasikia anauliza kama nimeamka. Nikaitikia kwa kichwa. Hakua ameelewa, akaniuliza tena. Ikabidi niinue kichwa, nimuangalie. Ile kuangaliana kwa muda nikajikuta nampelekea denda. Akapokea lips. Akanitoa skin tight. Akatoa pichu. Sebule ilikua na mwanga wa kutosha, so nikawa fully exposed. Hakuangaika kutoa jezi ya Arsenal nliyokua nimevaa. Akanigeuza nikawa chini yake. Then he entered my kingdom.

Baada ya mechi, tukahamia bafuni. Tulioga tukaoga tena.

Asubuhi yake ikabidi nimwambie kuwa tupeane kwanza muda. Yani tuendelee kuwa friends hadi asettle mambo yake na girl wake.

Baada ya wiki mbili Mamuu akanipigia simu kuwa anaolewa. Akasema anamtambulisha mchumba wake home kwa mama yake kigamboni jumapili. Nikafurahi pale kwa ajili yake. Nikampigia simu immediately Side, kumuomba anisindikize jpili ijayo kwenye shughuri ya cousin wangu. Side akajibu kwa kuuliza nilipo, nlipomwambia nipo ofisini akasema anakuja. Alipofika akanichukua kunipeleka lunch. Baada ya lunch ndo ananiambia his girlfriend amejirudi na kukubali kurasimisha mahusiano. Nikasikitika ila siku ana jinsi. Ndo nikamuuliza sasa mhusika. Mamuu. My cousin. Nikachoka mwili, moyo na roho. Cant believe nmetembea na mume wa Mamuu.

Simlaumu Side. Sijilaumu mimi. Namlaumu Mamuu kumficha mpenzi wake. Ningekua namfahamu isingetokea. Hatujawahi ongelea hii issue tena. And one other thing ni kuwa kumbe Side yuko very rich, ila anaishi tu simple. Yaani ana nyumba, sio moja, magari tena sio ya kawaida. And he is a very good man.

And no, we didn’t do it again.
Thanks sia
 
Ni story fupi sana ila nimeirefusha makusudi. Inaweza kuwa ya ukweli au ya kutunga, we isome.

Mwaka jana mwezi September nikiwa kwenye shuguri zangu za kikazi Arusha, nilikutana na Side (au Said). Mara ya kwanza tulikutana ATM. Ilikua jmosi mchana, nilipata changamoto ya kadi yangu kumezwa wakati benki ikiwa tayari imefungwa. Nikiwa na stress za kusubiri hadi Monday, Side aliyekua amemaliza kutoa hela yake kwenye mashine ya Jirani, alinisaidia. Alikua anafahamiana na someone ambaye alimpigia simu, “usihofu sister, bado ni mapema wafanyakazi wako ndani ya benki, kuna ndugu yangu huwa anafanya kazi hapa ngoja nimuombe akusadie” so nikasaidiwa kupitia mlango wa nyuma. Alivohakikisha nimepata msaada, akapanda bodaboda akaondoka.

Mara ya pili namuona ilikua wiki kama moja after tumekutana mara ya kwanza. Nlikua nimeenda kununua kinywaji kwenye moja ya pombe shops za pale soko kuu. Wakati nasubiri huduma, nikasikia sauti ambayo haikua ngeni ikiagiza chupa ya kinywaji kilekile nlichokua nimekifuata pale. Kugeuka namuona yuleyule kaka aliyenisaidia ATM. Aliponiona akatabasamu kuonesha kuwa amenikumbuka. Baada ya kupata huduma (nilibadili kinywaji nlichoagiza asije akaona namuiga), tukatoka wote shop.

Akaniuliza kama nlifanikiwa kusolve shida yangu that day, na stori za kawaida za kufahamiana majina na kadhalika. Katika introduction fupi, nikamweleza kuwa nipo Arusha kwa kazi kama ya wiki mbili alafu narudi zangu Dar. Yeye akanambia pia ni mkazi wa DSM, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha kwenye issues za kuuza spares za magari.

Kwa kuwa siku ile niliona anatumia bodaboda, nikaona ni vyema nimpe offer ya lift (ofisi ilinipa gari ya kutumia nikiwa Arusha) anakoelekea kama shukrani ya kunisaidia siku ile. “Usijali Sia, naenda mtaa wa pili tu hapo, kuna jamaa zangu wanasubiri huu mzigo” akakataa offer. Ila akamalizia kwa kunipa namba yake ili kama nikihitaji msaada wa dharura niwe na mtu mwenyeji wa kumtafuta pale town. Sikumtafuta tena, maana sikupata dharura yoyote.

Mwezi November mwaka jana nikiwa home najiandaa kutoka weekend, gari ikawa haiwaki. Nikampigia fundi wangu akanambia yuko msibani Morogoro, nikamuomba anipe namba ya fundi mwingine anayemwamini, akanitumia. Kumpigia huyu fundi mwingine akawa hapokei. Nikawa nampiga kila baada ya dkk tano, bado ikawa simu haipokelewi. Nikaanza kupanick. Maana pamoja na kuwa mtoko wa mchana ule ulikuwa sio wa muhimu sana, Usiku wake kulikua na mtoko wa muhimu mno.

Nina cousin wangu anaitwa Mamuu, alikua ameniomba sana that day nimsindikize kwenye harusi ya best ake mitaa ya tegeta, na Mamuu kwangu ni kama dada wa tumbo moja, tunaheshimiana na kupendana sana. So gari ilikua lazima itengemae.

Baada ya kuhangaika kama saa zima, Jirani yangu mmoja tunashare apartment akanisaidia namba ya fundi mwingine. Fundi kweli akaja. Tatizo, switch imeungua inatakiwa ibadilishwe. Fundi akasema ingekua Toyota ni fasta tu, ila hiyo gari yako spare za kutafuta sana, akaahidi kunipigia akipata. Wakati ameondoka Kwenda kusaka spare, ndo nikamkumbuka Side wa Arusha. Nikampigia, baada ya kujitambulisha na kuomba samahani kwa kutomtafuta all this time, nikamueleza shida yangu, na kama anafahamiana na mtu anauza spares za gari nliyonayo hapa DSM anisaidie namba yake. “Kwani shida ni nini hasa” akaniuliza. “Switch inabidi ibadilishwe..” nikamuelezea. “Okok….. nakupigia muda sio mrefu”.

Baada ya dkk tano akapiga “Sasa sister, hiyo model itabidi usubiri kama siku tatu hivi, ziko njiani zinakuja” taarifa ikanisononesha ghafla. “Hatuwezi pata hata cha muda?, maana leo nahitaji sana kutoka na hii gari” nikamuuliza. “unasimamia harusi nini leo?” akatania, “Hapana, namsindikiza ndugu yangu wa karibu, na ni muhimu mno” nikajieleza kwa sauti ya kuonesha kukata tamaa. “nitumie location yako tuone tunasolve vipi”. Baada ya kumtumia location nikajua walau anaweza tuma mtu wa kufix temporary gari yangu. Baada ya one hr akanipigia, “hawajafika vijana hapo?” nikamjibu kuwa bado sijawaona. Baada ya dakika chache, nikasikia honi nje, nikafungua geti.

Kutoka nakutana na Toyota fortuner (nlikuja elewa baadae ni model ya 2020) nyeusi, nikajisemea hawa mafundi ndo wanakuja na mchuma mkali hivi….. nikawapeleka kwenye gari yangu mbovu. Wakiwa wanakagua nikampigia Side, “Vijana wamefika nashukuru…”, “Wamekuja na gari gani” akauliza. “Fortuner …” nikamjibu. “Okok, ulivonambia leo ni muhimu utoke na gari, nikatafuta alternative, maana gari yako huwezi tembelea kwa sasa, ukiweka kifaa kisicho original madhara yake ni makubwa zaidi kwenye system nzima ya umeme wa gari…” akawa ananipa maelezo pale but sikua naelewa elewa, “Mbona kama sielewi, so gari haiponi ila …….” “Tumia hiyo fortuner kwa siku hizi tukisubiri kutengeneza gari yako”. Kukubali naona noma, kukataa nashindwa. Ni kama alisoma Mawazo yangu, “Wala usijali sister, ni kawaida kwenye workshop yetu kuwapa wateja gari ya kutumia tukiwa tunatengeneza magari yao”. “gharama si itakua juu sana” nikamdadisi, “sio sana, na unaweza lipa kwa awamu usiwe na shaka”.

Fortuner was a nice car. Hadi Mamuu alishangaa alivyoiona.

Mamuu na mimi tulikua close. Sio ile ya kishosti, ni ile ya kindugu mnaoheshimiana na kupendana hadi mkawa marafiki. Ingawa nampaga stori zangu za mahusiano, hasa kama kuna mtu ananifukuzia, yeye hanihusishagi mambo yake ya mapenzi. Infact, Mamuu huwa haweki mahusiano yake, hata kwa rafiki zake wa rika moja. Utajua ana mwanaume pale tu ukimuona na kitu cha thamani, kama simu, ndo atakwambia “nimepewa zawadi na shemeji yako”, ukimwambia atambulishe atasema sio wakati wake, basi inaishia hapo. Nilichompendea Mamuu pamoja na kuwa tumepishana only 5 years, ushauri wake unakuaga very matured. She always looks out for me. Na simfichagi kitu, kabla sijaingia kwenye mahusiano huwa namshirikisha. “Mamuu, kuna this boy I am really interested in, he is so and so bla bla……..”, yeye atanambia “give it time, usirush kwa mahusiano, most of the time kama sio true love itapungua after few months” na inakuaga kweli. So kwa umri wangu huu, nishakua na only one man. Bahati mbaya the man died…….(that’s a story for another day). Na mara nyingi huwa anaweza detect gold diggers kabla hata sijashtukia. Maana kiuchumi siko vibaya sana, so men can pretend to love you just to get near to the available money, or kujiweka karibu na “ULISI”.

Siku hii tuliyokua kwenye fortuner akaanza nihoji kama it comes from a man. Nikamwambia kuwa ni ya kampuni siyo ya mtu. “besides, the guy amenisaidia is just an ordinary guy, anatumia usafiri wa bodaboda” ikaishia hapo.

Baada ya siku tatu, Side alinipigia kuuliza muda ntakaokuepo home. Actually niko very flexible kazini kwangu, so nikamwambia muda wote watakapokua tayari mafundi waniambie tu ntakua home. Tukakubaliana saa tisa. Muda ulivyofika wakaja watatu. Mmoja alikua ndo fundi kwa muonekano wake, mwingine alikua ni muhindi, so nikahisi ndo mmiliki wa ile fortuner, na watatu ni Side. Nikashangaa kumuona maana nlidhani yuko Arusha, akaniambia yupo DSM since last month, kwa hiyo hata tulivyoongea kwenye simu that day alikua town hapa. Basi tukawa tunapiga stori pale wakati fundi anarekebisha. Yule muhindi hakukaa sana, alichukua fortuner akaondoka.

Baada ya gari kuwa sawa, tukatoka kama kuitest, nikamrudisha fundi then tukawa tunaelekea sehem aliyosema nimuache, Tabata. Pamoja na kusisitiza nimfikishe hadi anapoenda, alisema haina shida hapo kituo cha daladala panatosha. Issue za malipo nilimalizana nae kabisa kwa kulipia benki the same day. Baada ya kuachana na Side pale Tabata bima, nikachukua Barabara ya kuja ubungo. Nilipofika pale External Side akanipigia tena. “Sister, nimedondosha simu yangu moja kwenye gari yako, nichekie then naifuata”, nikapaki gari. Baada ya kukagua kote sikuiona. Mawazoni kwangu nikajua yule fundi kapita nayo, ila sikumwambia hivyo nilivompigia kumpa feedback. “Sijaiona aisee, ni aina gani kwani…?”, “Ni S22 ultra…” akanijibu. Nikamwambia anitumie namba yake ya simu hiyo kubwa nijaribu kuipiga. Akasema iko vibration, but akanitumia namba. Nikajaribu kuipiga sikuisikia ikiita. Nikampigia simu kumpa pole, nikaendelea na safari.

Nlivoingia home baada ya kupaki gari nikiwa naenda ndani si nikaiona simu. Itakua alidondosha muda tunapiga stori akiwa amekaa kwenye vitofali vilivyopangwa kuzunguka garden hapa nnapoishi. Nikampigia kuwa nimeiona simu yake, ntampeleka baadae after eating. Akasema ataifuata nisisumbuke. So nikaihifadhi fresh, nikaanza kuandaa msosi wa jioni. Mida ya saa mbili hivi akaja. Alivyopiga simu kuwa yupo getini, nikashuka kumfungulia. Kufika getini ndo nagundua kaja na gari, Mawazo yangu angekuja na public transport. Sikushangaa sana, vijana wa magari wanakuaga na options nyingi. Pamoja na kuwa hakutaka hata kuingia, ila nilimsisitiza aingie ndani. Hakuishia parking, aliingia hadi ndani kwangu.

“Nice place you have” akanisifia pale, nikamshukuru. Tukaanza vistori vingine mob. Sema Side alikua very funny and nice to talk to. Ni mtu ambaye yuko deep kwenye a lot of subjects. Hadi umbea wa town anao, yani tulikaa pale kwangu muda mrefu, tukala pamoja, akaondoka muda umeenda baada ya mechi ya premier league, ambayo hata mm ni shabiki kindakindaki wa mpira.

After that week Side akawa a very close friend kwangu. Weekends nyingi mchana tulikua tunakua wote. Usiku mara nyingi hakua available. Ingawa akili ilihisi labda anakua na girlfriend wake, ila sikuwahi muuliza. Sikujua hata kwa nini akili haikuwahi kuuliza status yake ya mahusiano. Kitu kingine ni kuwa, tuliendelea kuwasiliana kwa namba ya simu aliyonipa Arusha. Ingawa nilijua anasimu nyingine, na namba alinitumia, ila sikua nimeisave kwenye phonebook yangu. Hivyo sikua nawasiliana nae kupitia whatsapp or any other chatting apps. Tuliwasiliana kwa message za kawaida na kupigiana simu. Then jumamosi moja ya January nikamtafuta hakawa hapokei. Mpaka jioni saa moja hapokei wala hajibu msgs. Baadae akanitumia msg kuwa alikua amelala. Kwa muda nliomfahamu Side sio mtu wa kulala mchana, so nlijua kabisa something is wrong. Nikampigia. Alivyopokea sikutaka kuanza kumpa maushauri, au kumuuliza whats wrong, nlimwambia tu ntafurahi tukiangalia wote mechi ya premier league together. Of course alikataa kuwa hayuko poa kutoka, nikamwambia it will be more helpful if akiwa na company, inshort nlitumia kile kisauti cha kubembeleza aone kuwa it’s a huge favor kwangu akikubali. Na kweli akakubali.

Alivyofika nikampikia akala. Alivyomaliza kula akanila.

Ni hivi, baada ya kufika pale home sikutaka tena kuanza kumuuliza what is wrong. Nikamwambia tu leo napika makange ya Samaki, so tutakula pamoja. Hakukataa. Baada ya kula, tukakaa kucheki mechi sasa. Akiwa amekaa kochi la pembeni la mtu mmoja, mimi nimejilaza kwenye kochi refu, nikaanza kumchimba taratibu. “Side, I know you, something seems off, ni nini?”, akajibu short tu kuwa it is nothing. Pamoja na uongeaji na uchangamfu wake, leo alikua off mood kabisa. “Au ni mm nlikuudhi kitu ?” nikatumia technique ya kumfanya guilty ili afunguke, na kweli kidogo akafunguka. “I think the person I love doesn’t love me, nimefanya everything I can but inaonesha kabisa hayuko tayari kusettle” Side alielezea. Akaendelea kusema amekua anamwambia wayarasimishe mahusiano yao, lakini girlfriend wake amekua anasita, yani hata kumtambulisha tu kwa rafiki zake hataki. Na wemekua kwenye mahusiano mwaka mmoja na miezi sita now. So jana ndo akampa malalamiko yake, huyo girl amemwambia atafute mwanamke mwingine.

Nikamhurumia sana. Ili kumpamoyo, nikampa stori yangu ya mapenzi. Ubaya wa stori yangu inasikitisha sana. Nikikumbuka yaliyotokea huwa lazima nilie. Sasa kile kilio kikafanya Side anisogelee nilipo anibembeleze. Nikawa nimejilaza kifuani kwake nikiwa nalia hadi nikanyamaza, nikapitiwa na usingizi. Nikastuka bado nipo kifuani kwake, tv bado inawaka ila yeye kasinzia pia. Nikarudisha kichwa kifuani, kuendelea kulala. Nikasikia anauliza kama nimeamka. Nikaitikia kwa kichwa. Hakua ameelewa, akaniuliza tena. Ikabidi niinue kichwa, nimuangalie. Ile kuangaliana kwa muda nikajikuta nampelekea denda. Akapokea lips. Akanitoa skin tight. Akatoa pichu. Sebule ilikua na mwanga wa kutosha, so nikawa fully exposed. Hakuangaika kutoa jezi ya Arsenal nliyokua nimevaa. Akanigeuza nikawa chini yake. Then he entered my kingdom.

Baada ya mechi, tukahamia bafuni. Tulioga tukaoga tena.

Asubuhi yake ikabidi nimwambie kuwa tupeane kwanza muda. Yani tuendelee kuwa friends hadi asettle mambo yake na girl wake.

Baada ya wiki mbili Mamuu akanipigia simu kuwa anaolewa. Akasema anamtambulisha mchumba wake home kwa mama yake kigamboni jumapili. Nikafurahi pale kwa ajili yake. Nikampigia simu immediately Side, kumuomba anisindikize jpili ijayo kwenye shughuri ya cousin wangu. Side akajibu kwa kuuliza nilipo, nlipomwambia nipo ofisini akasema anakuja. Alipofika akanichukua kunipeleka lunch. Baada ya lunch ndo ananiambia his girlfriend amejirudi na kukubali kurasimisha mahusiano. Nikasikitika ila siku ana jinsi. Ndo nikamuuliza sasa mhusika. Mamuu. My cousin. Nikachoka mwili, moyo na roho. Cant believe nmetembea na mume wa Mamuu.

Simlaumu Side. Sijilaumu mimi. Namlaumu Mamuu kumficha mpenzi wake. Ningekua namfahamu isingetokea. Hatujawahi ongelea hii issue tena. And one other thing ni kuwa kumbe Side yuko very rich, ila anaishi tu simple. Yaani ana nyumba, sio moja, magari tena sio ya kawaida. And he is a very good man.

And no, we didn’t do it again.
riwaya tamu mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom