Husyninyo is Back

Husyninyo is Back

jela kubaya, sio wote wanaoenda jela wana hatia... Ntaendelea.

pole,pengine ulibambikiwa kesi siku nyingine ukipata kesi unishtue nitakuja na box la pesa niwamwagie mahakimu/majaji wenye ela atufungwi,nitakusaidia
 
pole,pengine ulibambikiwa kesi siku nyingine ukipata kesi unishtue nitakuja na box la pesa niwamwagie mahakimu/majaji wenye ela atufungwi,nitakusaidia

wacha weee! Pedeshee money stuna huyooo!
 
Husninyo karibu tena ila naomba nikae karibu yako
 
Last edited by a moderator:
Husninyo
WiseLady
FirstLady
King'asti
Dena Amsi
sweetlady
na Lizzy mimi huwa nawaheshimu sana. hawa ndo waasisi wa chit chat. enzi hizo tunachat kama fb. bila hawa nilio wataja hata wewe unaye soma hapa usinge ifahamu chit chat. hawa ndo maregendare wa cc. kama ilivyo Funza dume na Kimbweka kule jukwaa la kikubwa. na mimi ninaye andika hapa ndo monitor mkuu fulu manyota vidole vya robot asiye pigwa ban na Invisible wala Paw. labda @rullete ndo anaweza nipa onyo kwa lugha ya kubembeleza. mia
 
Last edited by a moderator:
Husninyo
WiseLady
FirstLady
King'asti
Dena Amsi
sweetlady
na Lizzy mimi huwa nawaheshimu sana. hawa ndo waasisi wa chit chat. enzi hizo tunachat kama fb. bila hawa nilio wataja hata wewe unaye soma hapa usinge ifahamu chit chat. hawa ndo maregendare wa cc. kama ilivyo Funza dume na Kimbweka kule jukwaa la kikubwa. na mimi ninaye andika hapa ndo monitor mkuu fulu manyota vidole vya robot asiye pigwa ban na Invisible wala Paw. labda @rullete ndo anaweza nipa onyo kwa lugha ya kubembeleza. mia

mia mia mia mia!
 
Last edited by a moderator:
halafu weweee! Mi nataka baby gelo! Lol. Mzima dia?

Heeeeh . . .!!!

Hivi kumbe ni kweli umerudi?
Mi nilijua ni kapasiwedi tu kamechakachuliwa!lol
Baby boy ndo mpango mzima, ukimuweka pale kwenye mataa anapiga mpaka engine za tractor ya kilimo kwanza!

BTW, Mie mzima wa afya. Karibu tena.
 
Husninyo
WiseLady
FirstLady
King'asti
Dena Amsi
sweetlady
na Lizzy mimi huwa nawaheshimu sana. hawa ndo waasisi wa chit chat. enzi hizo tunachat kama fb. bila hawa nilio wataja hata wewe unaye soma hapa usinge ifahamu chit chat. hawa ndo maregendare wa cc. kama ilivyo Funza dume na Kimbweka kule jukwaa la kikubwa. na mimi ninaye andika hapa ndo monitor mkuu fulu manyota vidole vya robot asiye pigwa ban na Invisible wala Paw. labda @rullete ndo anaweza nipa onyo kwa lugha ya kubembeleza. mia
Hehehehehe! Ahsante kwa ufyagio figganigga! Mwaaaaaaah!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom