Husyninyo is Back

Husyninyo is Back

Hapa nakung'ang'ania mpaka unikubali na hakyamungu sikuachi. Achana na Mamndenyi ana visa nami. Husninyo karibu tena mpenzi, MAY to DECEMBER kuna umbali aisee karibu na busu mwaaah!

mwaaaaaaahhhh!!! umekuwa mbaba eeh! lol. ahsante mpenzi.
 
Last edited by a moderator:
mwaaaaaaahhhh!!! umekuwa mbaba eeh! lol. ahsante mpenzi.

Basi kuanzia sasa mimi nawe tuwe kama treni na reli! Usisikie la padri wala la shehe.....wenye wivu wajitoe muhanga wa kujilipua lolest.
 
Hehehe mkwe mie sisemi kitu, manake ntaharibu. You are my xmas gift. Nna umbea kama km 1000 hivi. Inabidi tuende lindi then kigoma.
 
uhame uende wapi?
Utanionyesha pa kwenda! Afu honey mie hata sikuelewi, mbona umebadilika, hasira kila wakati, kama kuna mahali nimekosea plz nisamehe then nambie ntajirekebisha! Wajua siwezi kuishi bila wewe mpenzi! (machozi yanatiririka hapa)
 
Hehehe mkwe mie sisemi kitu, manake ntaharibu. You are my xmas gift. Nna umbea kama km 1000 hivi. Inabidi tuende lindi then kigoma.
Hehehehe! Bado na mwanao uporoto01.

Upunguzege umbea mke mwenza, mkwe kaja leo tu tayari ushampokea na umbea juu juu khaaa. Ataaga tena ujue.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom