Husyninyo is Back

Husyninyo is Back

Thubutu yake

Acha kujinyima utamu, bado mdogo sana wewe

Kuna madhara yake huwezi amini, kwa sasa hutajua ila baada ya muda mrefu utagundua

Na utatesa wanao kama nini, take it from me

Kwa ushauri zaidi nione kwenye ofisi yangu ya PM

Hata kama huolewi tena, chakachua tu kwa mbali

Am not Joking

Kongosho mie sitaki tena mwanaume hata unipe na hela juu sitaki katu.
 
Kongosho unataka kuniambia nirudishe mkanda nianze tena, loooh.

Thubutu yake

Acha kujinyima utamu, bado mdogo sana wewe

Kuna madhara yake huwezi amini, kwa sasa hutajua ila baada ya muda mrefu utagundua

Na utatesa wanao kama nini, take it from me

Kwa ushauri zaidi nione kwenye ofisi yangu ya PM

Hata kama huolewi tena, chakachua tu kwa mbali

Am not Joking
 
Last edited by a moderator:
Seriously, Yes

Once in a while, uwe na mtu ambaye uta-bond naye kihisia
Effect yake ni kubwa kwa kweli, mbaya zaidi huioini siku moja
Ila kwa 10years na kuendelea, you feel it, very hard!

Kongosho unataka kuniambia nirudishe mkanda nianze tena, loooh.
 
Back
Top Bottom