Husyninyo is Back

Husyninyo is Back

Utanionyesha pa kwenda! Afu honey mie hata sikuelewi, mbona umebadilika, hasira kila wakati, kama kuna mahali nimekosea plz nisamehe then nambie ntajirekebisha! Wajua siwezi kuishi bila wewe mpenzi! (machozi yanatiririka hapa)

nataka tuhamie nyingine pale tunapoishi akina Mungi wanakusumbua sana
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe! Bado na mwanao uporoto01.

Upunguzege umbea mke mwenza, mkwe kaja leo tu tayari ushampokea na umbea juu juu khaaa. Ataaga tena ujue.
kwani akiaga nna hasara sana unadhani? Nyumba ndogo ya mwanangu nayo napatana nayo tu. Hehehe, sunna bibie. Na wewe nna kesi na wewe, ila tutamalizana tanga.
 
Last edited by a moderator:
Utanionyesha pa kwenda! Afu honey mie hata sikuelewi, mbona umebadilika, hasira kila wakati, kama kuna mahali nimekosea plz nisamehe then nambie ntajirekebisha! Wajua siwezi kuishi bila wewe mpenzi! (machozi yanatiririka hapa)
hahaha, yaani nimecheka hadi machozi. Ile advanced certificate of phd ya kuibia wanaume ulishagraduate? Khaaa!
 
kwani akiaga nna hasara sana unadhani? Nyumba ndogo ya mwanangu nayo napatana nayo tu. Hehehe, sunna bibie. Na wewe nna kesi na wewe, ila tutamalizana tanga.
Khaaa! Husninyo kazi anayo lol.

Usijali mke mwenza mie na wewe hatukosani kabisa, unibebee nguo za kuogekea tanga mie.
 
Last edited by a moderator:
hahaha, yaani nimecheka hadi machozi. Ile advanced certificate of phd ya kuibia wanaume ulishagraduate? Khaaa!
Hehehehe! Usicheke mke mwenza, mume katanganza ndoa ipo matatani ! Najenga ndoa mwenzio wanaume wa kuoa hapa mjini wameisha ujue, nkiachika ntakuwa mgeni wa nani?
 
cheka ndugu yangu wewe umjui arushaone yeye hayuko kama wewe unavyomfikiria
 
alifungwa jela,pole sana,naomba unipe story za jela sababu nilisikia habari tofaut nataka nijue,niko nafanya utafiti,hope utanisaidia
 
Hehehe mkwe mie sisemi kitu, manake ntaharibu. You are my xmas gift. Nna umbea kama km 1000 hivi. Inabidi tuende lindi then kigoma.

hahahaha! Mkwe mie nna umbea lita zote za tbl...
Halafu umeniban pm au? Usinköndeshe tafadhali.
 
Khaaa! Husninyo kazi anayo lol.

Usijali mke mwenza mie na wewe hatukosani kabisa, unibebee nguo za kuogekea tanga mie.

hujambo swahiba, huyo mkwe wangu anajishaua tu, ananilavu sana hata chakula kilikuwa hakipiti kwa kunimiss!
 
Last edited by a moderator:
alifungwa jela,pole sana,naomba unipe story za jela sababu nilisikia habari tofaut nataka nijue,niko nafanya utafiti,hope utanisaidia

jela kubaya, sio wote wanaoenda jela wana hatia... Ntaendelea.
 
Back
Top Bottom